Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Acha mipasho leta story dogo.

Tatizo lako unataka kila mtu awe anawaza kama utakavyo, haipo hiyo.

Kuna wanaoendeshwa na hisia, hata kama ni story yako mtu anakutukana, kuna wenye wivu walioona ulifaidi sana hawa nao hawako nyuma utapingwa kua ni chai na utatukanwa vilevile.

Kuna wenye arosto na story, sisi tutakusakama upost epsodes bila kujali kama una majukumu au lah.

Mwisho kabisa, dogo leta story.
 
Nawewe unajibu sana comments za watu
 
Sasa si mlikuwa kama waimba kwaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kitu ambacho siwazi kukifanya ndio hiki cha kushoneana sare.

Nipo chamani kwa mwaka wa 4 na miezi kadhaa ila sijawahi kufikiria kushona sare
 
Mimi ni mojawapo tunaokerwa na ujinga uliokuwa nao wakati ukiwa chuo kwa mujibu wa unachosimulia.
 
Umenikumbusha mbali sana jinsi mwalimu alivyo nizidi kete,kumpiga mimba na kumuoa binti ambae nilimtoa bikra na tulikuwa na ahadi ya kuoana.
Wanaosema bikra ni wako mwenyewe huwa nawachungulia na kusema iiiiiiiiiiiiiiii .
 
Hapa darasa la 7 failures kina Chizi Maarifa huwezi kuwakuta wanakosoa
Jamaa yangu mmoja huwa anasema anionea wivu sana. Jinsi mademu wa JF wanavyonipenda. Namwambia ni Nyota tu. Nyota yangu ina ng'ara mimi darasa la 7 z nliye fail, sina pesa hohehahe lakini jina langu mademu wanalo midomoni mwao. Ni nyota tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…