Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Hata wew kuna baadhi ya mitego ya wanaume ulinasa kwa vitu vya kijinga sana sema huwez kuweka wazi tu hapa jamvini
haha dogo umemwambia kweli huyo manzi. mimi kaka yako mzee niliwahi kumnasa mrembo mtoto wa kihaya kwa kujifanya sio mbongoland natema lugha ya beberu ile first time tu namsarandia. mrembo akanasa kwa ulimbo na ni pisi ya kwenda mwilini mpaka kichwani. basi nikaila kindezi tu namna hiyo.
 
Umenikumbusha mbali sana jinsi mwalimu alivyo nizidi kete,kumpiga mimba na kumuoa binti ambae nilimtoa bikra na tulikuwa na ahadi ya kuoana.
Wanaosema bikra ni wako mwenyewe huwa nawachungulia na kusema iiiiiiiiiiiiiiii .
Ulipitia maumivu makali sana, Pole sana.
 
Amani mkuu. Only that I never take these mitandao seriously….
 
Hahahahah
 
Punguza hasira story tamu dogo endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…