haha dogo umemwambia kweli huyo manzi. mimi kaka yako mzee niliwahi kumnasa mrembo mtoto wa kihaya kwa kujifanya sio mbongoland natema lugha ya beberu ile first time tu namsarandia. mrembo akanasa kwa ulimbo na ni pisi ya kwenda mwilini mpaka kichwani. basi nikaila kindezi tu namna hiyo.Hata wew kuna baadhi ya mitego ya wanaume ulinasa kwa vitu vya kijinga sana sema huwez kuweka wazi tu hapa jamvini