Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Hii inshu nilichelewa kuipitia ila imekuja kunitokea kwa kimchepuko changu nilichokuwa nakiamini sana,mpaka sasa naamin hakuna mwanamke ambae wajuba wakimtaka na akarukaPole sana mdogo wangu DeMostAdmired,
Kila mwanaume huwa ni lazima apitie hali hiyo ila ni mara moja tu kwa mtu mmoja.
Ukija kuipitia tena, basi utakuwa umejitakia.
Yaani alitakiwa awashe moto mpaka Mercy mwenyewe aombe pooo....eti katulia Hadi kamegewa kizembe jamani....Ilitakiwa usiku ule ule alivyoona meseji za lodge amuashe na kibao Cha ujinga pale alipolala mbona kesho yake hata kanisani asingeendaSio wakuja mjini, huyu hajawahi kufika mjini, waliowahi kufika mjini hawawi washamba kupindukia kiasi hichi, hivi ameshindwaje hata kumwambia ukweli alipokosea ili kutatua matatizo yao, na pia kama mwanamke unampenda kweli linapotokea tatizo la kuhatarisha mahusiano yenu hushindwi kumwambia ukweli demu wako, huyu jamaa sio tu alikuwa hajui mapenzi, hata, na ukweli hajawahi kumpenda huyo demu, ni kisingizio tu baada ya kumkosa, hiyi kusema ukweli ni vitu vinakuja automatic kama mtu unampenda, wala huhitaji kushauriwa
Kwel kabisa mkuu,hakuna haja ya kujichoshaMm ikishafika hii stage. Kama manzi ni pisi. Naishusha grade tu, then naendekea kua najipigia tu mpaka siku itakapo shtuka
Maaana nilishajua hata ukiacha utafute nyingine ni matter ya muda tu cycle ni ile ile.
Nacheka ila hii situation ilishanipitia chief saivi mm ndio nimekua Bwana Dokta sasa [emoji16] maana hivi viumbe pasua kichwa[emoji1787][emoji1787]
Mercy alichange into Messy...
Sasa kila mmoja akapata Mesi anayetaka [emoji1787][emoji1787]
Hivi mchepuko nae anauma?Hii inshu nilichelewa kuipitia ila imekuja kunitokea kwa kimchepuko changu nilichokuwa nakiamini sana,mpaka sasa naamin hakuna mwanamke ambae wajuba wakimtaka na akaruka
Kwanza nilishangaa kinabadili funicha za ndani haraka haraka tu nikaanza kupata wasi wasi
Imeniumaaaaa...Oya,Mercy keshaliwa huku na Dr kajifanya kaenda kanisani kumbe imooooooo
Huyu nilimuamini sana na nilikuwa nimepanga kumfanya mke wa piliHivi mchepuko nae anauma?
Dogo amezidi upoleYaani alitakiwa awashe moto mpaka Mercy mwenyewe aombe pooo....eti katulia Hadi kamegewa kizembe jamani....Ilitakiwa usiku ule ule alivyoona meseji za lodge amuashe na kibao Cha ujinga pale alipolala mbona kesho yake hata kanisani asingeenda
Ni kweli vimichepuko vinauma asee, kwanza sababu tunavigharamia sana kuliko hata mke.Hivi mchepuko nae anauma?
Ukiona manyoya ujue ameshaliwa.Hii inshu nilichelewa kuipitia ila imekuja kunitokea kwa kimchepuko changu nilichokuwa nakiamini sana,mpaka sasa naamin hakuna mwanamke ambae wajuba wakimtaka na akaruka
Kwanza nilishangaa kinabadili funicha za ndani haraka haraka tu nikaanza kupata wasi wasi
Hahahaha 🤣🤣Ila huyo Dr ni wewe kiukweli my instinct tells me so🤔🤔🤣🤣🤣
Kwan wangapi wanatimiza majukumu yao na bado wanachapiwa.Kama unalijua Hilo timiza majukumu yako MPE SUKARI MKEO APIKE KEKI,usipojipanga,utapangwa!
Nilikuwa nasoma tu, sijacoment kitu kwenye huu uzi ila kwa neno ulilioanza nalo hapa ndo limenifanya nikoment. Majini yetu yananyonya damuuuuu[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]HONGERENI WANANCHI.
Tuendeleee..............
Nilimuliza anauhakika ile namba ni ya Mercy wangu? Akajibu kwamba asilimia 100 ni ya Mercy na hakuwa na haja ya kunidanganya kunivuruga kichwa.
Basi nikamwambia inatosha na tukaagana nikasepa zangu home. To be honest siwez kuelezea maumivu ambayo niliyapata baada ya kugundua kile kitu japo sikuwa nimethibitisna mwenyewe kwa macho yangu lakini yaliniingia sana.
Nakumbuka siku hii nilitoka machoz kwasabb ya mapenzi (wakunitukana anitukane tu ila wanaoyajua mapenz wanaelewa namanisha nini).
Pamoja na maumivu haya sikutaka kabisa Mercy agundue kwamba kuna vitu nimejua kuhusu yeye na Dokta. Usiku huu ulikuwa ni mref sana na wamateso mengi mno. Kabla ya kulala Mercy alinichek kunitakia usiku mwema tukaagana.
Hapa nikaja kugundua kwamba watu wapole na wasio waongeaji sana hawa ni watu wa vitendo zaid maana Mercy kuna siku niliwambia kwamba alinambia maneno haya "nikichoka namimi nikaanza mambo yasiyofaa usije shangaa".
Japo Mercy hakuwa na haki ya kunikasirikia wala kunifikiria vibaya kwasabb sikuwahi kumsalit.
Nilivokumbuka haya maneno basi nikaanza kuona kila dalili ya ndoto zangu na Mercy zinaenda kufa. Nilijikaza nikalala na uzuri kesho yake kulikuwa na mtihani mmoja tu na ulikuwa ni jioni kwahiyo nikajipa imani nitasoma kesho asubuhi mpka mchana.
Kesho yake nikaamka nikapiga piga msuli kwa kuunga unga hivo hivo ili kujiandaa na mtihani. Mercy alinipigia tukaongea akanambia niende chai tayar nikamwambia sawa naenda. Nikajiandaa then baiki yangu mpka kwa Mercy.
Tulikunywa chai lakini akili yangu ilikuwa ishasinyaa kabisa haina muamko kabisa. Mercy akaniuliza kama nipo sawa nikamwambia nipo poa. Akanambia hapana kuna kitu hakipo sawa ebu niambie, hapa nilimgusia kidogo japo sio direct nikamuliza hivi Mercy unanipenda kweli? Mercy akajibu ndio tena sana, nikamuliza tena haunisalit? Akanijibu unadhani kila mmoja yupo kama wewe ulivo?
Basi stor ikaisha pale lakini nikaona kabisa kwa kiasi flan imemuingia japo amevunga lakini ujumbe ushafika.
Mercy akanambia baby usiwe na wasiwasi nakupenda na siwez kukusaliti kama hauamini basi sina cha kufanya kikafanya uamini Zaid. Nilikuwa nishajiapiza kutokujiweka karibu na cm ya Mercy tena kwahyo sikupata nguvu za kuchukua cm ya Mercy hata kama tukiwa tunasoma nilijitahidi kama ni notes au past papers niwe nazo katika cm yangu.
Basi ilifika mchana tukasema tujisogeze skul ili tukadiscuss na wengine katika kufinal touch kabla ya kuingia kwenye mtihani. Nikampakiza katika baik tukala road moka chuo.
Nilishangaa kwanzia muda ule nimeuliza Mercy yake maswali kuhusu kunipenda na kunisaliti Mercy aliongea sana upendo na kunijali (nahisi alifanya hivi ili kuniweka sana na nisimfikirie vibaya).
Mercy alibarika akaanza kusuprize na vizawad (boxer, perfume, viatu, majeans, n.k). Namimi nikawa napokea tu lakini moyoni nikawa najua kabisa zile pesa ni from Dokta mtu mbaya.
Tulifanya UE ikaisha nakumbuka ilikuwa j5, na kesho yake Mercy akawa anaratiba ya kwenda kwao. Nilimsindikiza mpaka stand nikahakikisha anapanda bus kabisa mpak gari iliposepa namimi ndo nikasepa.
Tukawa tunachat nikamtakia safar njema na nikamwambia awe makini. Mimi nilipanda boda nikarudi magetoni sikuwa na muda wa kupoteza town ukizingatia nilikuwa sipo sawa.
Nilifikiria kumtafuta Mercy feki nile naye mission anithibitishie kwamba kweli Mercy ananisalit na Dokta.
Lakini nikajiona kwamba nitakuwa mtumwa wa mapenzi na hisia nikaamua kupiga chini ule mpango. Likizo ilikuwa ni week moja na kama siku mbili hivi. Basi maisha yaliendelea na kwa Ile wiki nilikuwa na pika mara moja moja sana magetoni kwan sambamba na muda mwingi kuwa tunapika na kula kwa Mercy mimi pia nilikuwa na jiko na baadhi ya vyombo kwahyo nikanunua baadhi ya mahitaji nikawa najipikia kagetoni.
Nikiwa magetoni nasikiliza mziki nikapata wazo la kuanza kwenda chuoni kuchukua mazoez ya mpira wa miguu ili angalau niwe natoa yale mawazo kuhusu Mercy na Dokta.
See you.............
Siku zote pesa huwa inapindua sana mamboPengine demu alikua na njaa mana dokta anaonekana katumia pesa nyingi hadi kuichakata mbususu
🤣🤣🤣🤣🤣MiImeniumaaaaa...
He hee hee nilijua tu mwisho utakuwa ni huo,waliharibu walivyoenda kumpiga mkwara Dr ye
Sio upole,alimpenda sana Hadi akawa anamuogopa....UOGA ndio chanzoDogo amezidi AA a2w
Mmmmh🤦🤦🤦hebu ngoja tuone...maana hata nikiamka usiku nakukuta umetulia kwenye Uzi huuHahahaha 🤣🤣
Hapana sio mimi..Mimi huwa sina roho mbaya hivyo kwa Vijana..😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni vizuri kuhadithia upate farajaNi kweli vimichepuko vinauma asee, kwanza sababu tunavigharamia sana kuliko hata mke.
Yani Kuna muda vinakupiga na kitu kizito mpaka unatamani kumuhadithia mkeo[emoji23]