Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Binafsi nimewahi kukutana na hawa wadudu WABAYA doctors kwenye anga zangu Mara tatu Mara mbili nikiwa mchuo kama ulivyokua wew Mara moja nilipokua kibaruani. Hyo ya chuo ilikua miaka hyo ya 2018 nakumbuka niliimwa sanaa ikapelekea kulazwa hospital fln hv ya private sasa aliekua ananitake care ni mpenzi wangu (nikiri tu huyu mtoto alikua mzuri sana yan pisi kweli ) nakumbuka siku hyo ilikua usiku nimelala nimetundikiwa drip zile af kitanda cha pili alikua amekaa dem Wang anajisomea coz next day alikua na pepa la chuo.yule doctor aliekuwa anicheki hali yangu pamoja na zile drip akaanza kumtongoza dem wangu IN MY PRESENCE aisee !nahisi alijua nimesinzia au nimezidiwa so nisingeweza kuskia , alikua anamsifia alivyo mzuri pia ni mtu mwenye kujali sana na blaa blaa zngne . nilimsikia akimwambia kwakua huyo mpenz wako anaumwa naomba mm nichukue majukum yake ikiwa ni pamoja na kuclear bills zote na pia kama kuna shida binafsi basi anaweza kumsaidia na pia akamuahidi angempatia sehem ya kufanyia kazi kwani anarafiki yake ambae ni Hr manager kitengo flani(jina kapuni) yan yule doctor nakumbuka alikaa pale sio chini ya masaa manne anapanga mistari yake , muda huo Mimi kimyaa! Napambana na drip zangu.jamaa alifanikiwa kukwara namba doh Ila dem hakutoka pale mpaka asubh alivyoenda kwa pepa . Alivyorudi bdae akanikuta Nimepata nafuu kdg na ningeweza kuruhusiwa mda mchache tu. To cut the story mda Nimeruhusiwa nilimfata yule doctor nikiwa na Lzy nikamchana mbele ya dem na nikamwambia upuuzi wote aliokua anamwambia manzi yangu na nikamtishia ntaenda kumreport kwa mkuu wake wa kazi. Kiukwel jamaa aliniomba samahan na ngoma ikaisha . nilivyofika nje nikamwambia lz nipe hyo namba ya huyu qummer Fanya fasta , nikaichukua af nikamwambia iblock kila tundu then futa. Bdae dem alinieleza kila kitu kumbe jamaa alikua anamtumia matext ya kulia lia . (hii battle niliwin kiurahisi coz nilikua na mm sio mchovu financially or biologically) .
 
Ulipona wewe mwenzangu mimi sikuachwa salama
 
Kuwin hii pia inataka pia demu asie na njaa
 
Duuh na kweli,ila umri wake bado maana ni chali hajafika hata 28 huyu
 
Mkuu naomba nıandıke kwa erufi kubwa ili unijibu "WAKATI UNATAFUTA NJIA YA KUFANYA DOCTOR AMUACHE MPENZI WAKO, HAUKUWAZA LABDA KUMPELELEZA DOCTOR ANAPOKAA UPATE NAMBA YA MKEWE ILI WAKATI ANAPIGA PIGA SIMU KWA MPENZI WAKO NA WEWE UNAMWAGA UPUPU KWA MKEWE KUWA MUME WAKO ANASUMBUA MPENZI WAKO"???
 
Niliona vita ingezd kuwa ngum
 
Nimependa namba nne pamoja na itimisho big up sana mzee kwa kuwaza kama mimi
 
No comment umemaliliza kila kitu hongera sana mtumishi
 
Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya


Wewe ulifaa kumrise huyu dogo ili baraka na kisasi Cha wema uishi like nothing happened before, kama kakufanyia ubaya yeye atajijua na MUNGU wake as longer as unampenda demi wako ilifaa umchukue tu KULIKO kuumia moyo na umri huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…