Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Safi sana umeongea point, huyo dogo hana akili..
 
Nimependa huu uandishi wako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyu jamaaa mjinga sana,anapoelekea atarudiana na uyo mesi then ndoani atapigwa matukio hadi apararase jumla...

Uyo mwanamke akupendi bali anakuitaji baada ya Kuona mambo yake Kwa dokta hayaendi sawa..wewe endelea kutumia hisia kufikiri..
 
Keng
Kenge hawaelewagi mpaka atoke damu
 
and the vice versa
na sisi tunafundishana hivi hivi
 
Huyo DeMostAdmired ni lipumbavu mno, nayeye anaridhika na sababu ya kwamba eti Mercy alihadaiwa na pesa za Doctor, huyo mercy ni malaya na ni Lucifer kabisa maana pesa mbona hata kwao zipo? Ni umalaya tu ndo umempeleka kwa Doctor.

Halafu demu akikupenda, hawezi akala sana Hela zako, dogo alikuwa anachangia kodi na kutoa matumizi, mpaka akaombwa laki akawa hana, hadi mercy akakasirika. Pia demu akikupenda, atakupa K yake kirahisi, sasa dogo anadai alikuwa anamkula mara mbili kwa semister.

Cha ajabu zaidi ni kwamba, mpaka sasa huyo dogo anawaza kumuoa Single mother aitwaye Mercy, ambaye pia ni malaya mbwa na ni shetani mkubwa (Lucifer mkuu), eti mpaka sasa anajichatisha chatisha kwa mercy pmj na kulia lia. Yaani ukikutana na mwanamke Malaya anapambana na nyoka, unatakiwa umsaidie nyoka, kwahiyo dogo unatakiwa uact kama mwanaume kamili unayedindisha, acha kulia lia pumbavu zako.
 
Pumbavu wewe...sasa unafoka nini...kwani huwezi toa ushauri kistaarabu..

Malaya mwenyewe....kakojoe ulale ngurue pori wewe.
 
Pole sana, huo ndiyo ukubwa mambo mengine hayatakusumbua japo uliumia sana.
 
Kwahiyo utarudi lini! Ukirudi unitafute sawa mdogo wake na nihii.....
 
Pole sana, ila majibu yatatoka tu.
 
Duu licha ya yote hayo ukamrudia, nilijua ni wanawake ndiyo hawajielewagi kumbe hata wanaume mpo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…