Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Yaani sijui wa mkoa Gani Hawa walikuwa hebu otea ni chuo Gani mdogo wangu😁😁?
SUA πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Mimi nafuta namba naweka yangu ila jina naliacha ili nione dhambi zake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nafuta namba naweka yangu ila jina naliacha ili nione dhambi zake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Waaaoooh!hii kiboko....ila hamna kitu naogopa kama kujua dhambi za mywangu maana zitanikata stimu huku bado namtaka😁😁😁
 
Manyoya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hii story why nilichelewa kuiona imenikumbusha mbali sana aiseee..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…