Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Mapicha picha yako na kutojiamini ndio kumepelekea yote hayo…!!
Wanawake tukiona red flag nyingi kifuatacho ni kufanya cha kupooza moyo
 
NATAKA NIMALIZIE HUU MKASA WANGU NIFUTIKE KABISA NIKAE KANDO, NIMECHOSHWA NA TABIA ZA BAADHI YA WANAJF HAPA.
Wana jf hujawazoea?? Mimi kuna kibaka aliniandama na uzi wangu mmoja mpk nikaishia kumpa mbususu. Ndio amani ikapatikana 🀣🀣🀣🀣
 
Sio kwamba anakupenda,hana kwa kwenda...isipokuwa kwako bwana mdogo,waelewe hawa raia

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Nikamuliza mimba ya nani, Mercy hakutaka kunidanganya alinambia kwamba mimba anahisi ni ya Dokta sio yangu.
Ufala sasa huu yani mwanamke nimeumia hivi, vipi kwa ww mwanaume?? We jinga sana nyie ndio mnapewaga na watoto sio wenu mfyuuuu!!!! Nimekupa na dislike umenikera kishenzy 😑😑😑
 
USIMUOE ACHANA NAYE, OYAA NIMEONGEA KWA CAPITAL LETTER UJUE NAMAANISHA UMENIUDHI MWISHONI HAPO 😏😏😏😏
 
Ukianza kusimulia stori yako plz ni tag
Sina story yoyote ila kuna ujinga nimeukumbuka wa shosti yangu alivyoganganisha wanaume, nikisimulia atanijua ni mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…