Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Nakuja unisimulie PM, Nimekuwa interested kusikia
Sina story yoyote ila kuna ujinga nimeukumbuka wa shosti yangu alivyoganganisha wanaume, nikisimulia atanijua ni mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii ndo story bora ya mapenzi kuwahi kusoma daaah hadi machozi yamenilenga hasa pale mercy alivyomtumia meseji doctor na kumuuliza "baby where are you now mbona kimya"". Hiii kitu isikie tu kwa wengine usiombe ikutokee
 
Bado hujakoma kumbe 😏😏
 
Debe tupu huyo muache anadhani ye ndo wa kwanza kupenda anapenda hizi Pole na kuonewa huruma ndo maana alitombewa kijinga
Yani anavyolia lia km jinga vile, ndiomana mwanamke alikuwa mpk na jeuri ya kukigawa kwa dokta. Halafu tunamshauri anatuona maboya yy anawajua sana wanawake kuliko sisi wanawke wenzake!!! Na watamtombea sana asipojitambua.
Huyo demu kashakuwa cha wote, leo kavua chupi kwa gari lisilozidi hata 20mln vipi akitokea mwenye range?? Si ndo atabeba mimba za mapacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…