Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

MERCY anazingua sana utaona huko mbele
 
Mahusiano yakiwa ya kuombana misamaha sana, hayanogi... Ila pia huenda anakuwa hivyo kwa sababu anahitaji ndoa.. labda utuambie huyo madam ana miaka mingapi
 
Mission complete tunaashukuru kwa Somo zuri....
 
Kuna muendelezo endelea ku scroll chin utazipata episoiji des
Naendelea kuscroll kwenye ushauri Kuna inshu Moja sijaona hapa imezungumzwa

•Nakushauri umtangulize Mungu katika safari yako ....Nikisema umtangulize sio kwenda kanisani yaani katika maombi yako omba Sana kukutana watu sahihi wa kukusukuma au kukuinua n.k

•Mercy kwa kwl Yuko very depressed kwa sasa yaani kama ulivoteseka kipindi anakufanyia maidoido chuo kila rangi haachi kuiona sasa mtaani hii iwe kama alert kwako unapofanya jambo litakaloleta au changia maisha yako tumia akili zaidi na rudia pointi ya kwanza .

•Mwisho,maisha ni fumbo kubwa hauwezi kufanikiwa kirahisi rahisi lazima usote au watu kadhaa wasote Ili upate kilicho bora .Umeaswa mengi na bado utaaswa Ili kufikia kilele chako cha mafanikio maishani,jijenge kwa sasa uwe na kesho ilio bora

Good luck!!!
 
Nilitaka nikustue nikakumbuka husomagi story 🤣🤣🤣🤣🤣kwenye baiskeli nililia sana
Ya huyu Mr lava lava imenifanya nitake kujua alivyo mjinga…!!! 😂😂😂

Eti wanawake tunapenda baiskeli khaaa!! Labda huyo wake na Anitha wa Matonya 😂😂😂
Wengine asitusingizie hatupendi phonex wala mkangafu
 
Ya huyu Mr lava lava imenifanya nitake kujua alivyo mjinga…!!! 😂😂😂

Eti wanawake tunapenda baiskeli khaaa!! Labda huyo wake na Anitha wa Matonya 😂😂😂
Wengine asitusingizie hatupendi phonex wala mkangafu
Mahaba ya mkoani haya baiskeli wanaiona kama rangeee ya Mobeto🤣🤣
 
Ya huyu Mr lava lava imenifanya nitake kujua alivyo mjinga…!!! 😂😂😂

Eti wanawake tunapenda baiskeli khaaa!! Labda huyo wake na Anitha wa Matonya 😂😂😂
Wengine asitusingizie hatupendi phonex wala mkangafu
🤣🤣🤣Eti Anitha una kumbuka vitu vya kijinga sana
 
Natania bana kuchangamsha genge wala sio kweli, kutoa mbusus unafikiri mchezo mchezo 🤣🤣🤣🤣
Kutoa si unatoa tu kwani naondoka nayo, yaani kitumbua nacho ni kitu cha kumnyima mtu kweli, nahuku raha tunapata wote, tena mwanamke ndo anapata raha zaidi ya mwanaume. Halafu PM yako umeifunga dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…