Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Tungekua tunajitoa namna hii kwenye kufanya maendeleo tungekua mbali.

Vijana tuamke.

Chakukushauri now wekeza izo akili na commitment ulizowekeza kwenye mapenzi. Ziamishie kwenye kutafuta pesa achana na kuuza dagaa.

Tafuta pesa ukamkomoe dokta yani hakikisha unanunua nyumba anayoishi alafu unaibomoa unafungua bar
 
Nakuelewa Mkuu
 
Hahahaha, au unabomoa unajenga eneo lako kwaajili ya kusomea Novels.
 
45k chumba uko chronic
Hù mkojooo a.ma mavi??
Napitatu
 
45k chumba uko chronic
Hù mkojooo a.ma mavi??
Napitatu
😂😂😂 Duh mbna cheap sana 45k kuna vyumba mpk billion kwa usiku mmoja
In fact nililipia mpka ya msos palepale acha makasiriko kijana tutafute pesa
 
Mie na mshukuru sana mwamba kwa kutenga muda wake kuandika simulizi yake na una ujasiri sana kuandika maana kuna mafala mengine hata hayawezi kuandika kazi kuponda wengine wanaoandika aisee Mungu awafanyie nini hawa watu zaidi ya kuwapanika, Mungu akubariki uwe na maisha mema mwamba☺️☺️☺️
 
Amina!!! Watu wanaponda lakini I am sure kungekuwa na filamu inayooneshs maisha ya kila mtu hapa dunian tungeona mengi sana
 
HELLO NDUGU ZANGU/WADAU NADHANI NI MUDA MUAFAKA WA KUPATA MREJESHO KUHUSU MERCY LAKINI PIA UCHUMBA WANGU MIMI NA MAGE WANGU KUPENZI.

WANAWAKE NI WATU WA AJABU SANA HAKI NASEMA NA NAJIFUNZA MENGI SANA ILA NACHOSHURKURU I AM STRONG NA NAUWEZO WA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI.

TUKUTANE SAA TATU USIKU NITAKUJA NA EPISODE MOJA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…