Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Unajua tatizo lako ni nini?
Unachukulia comments ,za watu Serious Sana [emoji28][emoji28]..
Pole sana Nimeona You are too Emotional!!

Kwa hicho kitu kama unataka kweli kuwa mwanaume shupavu Hupaswi kabisa Kucatch feelings..
SIfa kuu ya Mwanaume (Masculine Aspects) ni Ngozi Ngumu kwa mambo yote..

Na ndo maana hata kama mtoto wa kiume akiwa na Miaka 14 na mwanamke akiwa na miaka 30 kukitokea kitu cha Hatari bhasi yule mwanamke mwenye Miaka 30 ataenda kujificha nyuma ya Mwanaume mwenye miaka 14..

Unajua kwanini?
Anahisi yuko.salama zaidi kwa sababu anaamini mwanaume haogopi kitu..

Sasa na wewe unaniangusha kuogopa Comments za watu ambazo hazichubui wala hazikung'oi hata Unyoya wa nywele..

So You have to be A man, Son..
Its Time to Man up..
Stop Acting Weird
[emoji95]Big point,full respect for you and Bravoo broooo[emoji107][emoji817]
 
Mkuu! Ukimaliza na Mimi nishushe nondo, nianze kuandaa kabisa niweke na code.... Uzi utakwenda kwa jina "JINSI CHUO KILIVYOHARIBU MAISHA YANGU" au "MAISHA YANGU YALIVYOHARIBIKA CHUONI" au "WASICHANA WALIVYOHARIBU MAISHA YANGU CHUONI". Umenivutia na kunishawishi sana na mimi nitoe ya moyoni.
Karibuni mchague TITLE wakuu [emoji3].
Ila Wanawake ni au basi[emoji3064]

Sent from my F-02L using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja.

Asipo kushtua nitakushtua mm.

Tushushe story jamani
 
🤣🤣🤣Umeanza!ulifanyaga Mpwayungu akasusa uzi
Hapana. Namwelekeza tu dogo kuwa awe anatunga visa vingi vingi. Maana ni wazi hii ni story ya kutunga. So asi sikilizie sana maoni na kutwist kulingana na maoni ya wasomaji. Asichelewe wasomaji wakaanza kulalamika. Mimi natetea wasomaji. Na asijaribu kususa hapo ndo ataniona mimi mbaya sasa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240225_055302_Chrome.png
    Screenshot_20240225_055302_Chrome.png
    530.2 KB · Views: 37
Hapana. Namwelekeza tu dogo kuwa awe anatunga visa vingi vingi. Maana nj wazi hii ni story ya kutunga. So asi sikilizie sana maoni na kutwist kulingana na maoni ya wasomaji. Asichelewe wasomaji wakaanza kulalamika. Mimi natetea wasomaji. Na asijaribu kususa hapo ndo ataniona mimi mbaya sasa.
🤣🤣🤣Uchokozi
 
Tuendelee kunywa chai.
Kwani we unajua alikuwa anasoma course gani na Faculty gani?
Au hujui kama Chemistry pia Chuoni watu wanasoma?

Sijaona Logic yako kusema Ni chai kwa sababu tu DeMostAdmired kataja kuwa alikuwa na mtihani wa chemistry..

Sijui Elimu yako ila naanza kupata Mashaka nayo kwa sbabu your Logical Point of View iko Very Non sequitor
 
Kwani we unajua alikuwa anasoma course gani na Faculty gani?
Au hujui kama Chemistry pia Chuoni watu wanasoma?

Sijaona Logic yako kusema Ni chai kwa sababu tu DeMostAdmired kataja kuwa alikuwa na mtihani wa chemistry..

Sijui Elimu yako ila naanza kupata Mashaka nayo kwa sbabu your Logical Point of View iko Very Non sequitor
Hajui kwamba organic chemistry pia ni chemistry, inorganic pia ni chemistry, analytical pia ni chemistry, stereochemistry pia ni chemistry yeye alitaka nimfafanulie ni chemistry ipi
 
Hajui kwamba organic chemistry pia ni chemistry, inorganic pia ni chemistry, analytical pia ni chemistry, sterio chemistry pia ni chemistry yeye alitaka nimfafanulie ni chemistry ipi
Usipoteze muda kuwajibu....Tuandalie nondo. By the way nimeshakua na situation kama hio but upande wa Dr. Dogo alisafiri all the way from mzumbe kuja kunisihi nisivuruge penzi lake, thanks God nilikua msikivu, nikaumiza Binti wa watu for him ila alivyo fala akashindwa m keep Immaculata wangu.
 
Usipoteze muda kuwajibu....Tuandalie nondo. By the way nimeshakua na situation kama hio but upande wa Dr. Dogo alisafiri all the way from mzumbe kuja kunisihi nisivuruge penzi lake, thanks God nilikua msikivu, nikaumiza Binti wa watu for him ila alivyo fala akashindwa m keep Immaculata wangu.
Hapo ndo unajua shida haikua kwako. Shida ilikua kwao wenyewe. [emoji16][emoji16]
 
Usipoteze muda kuwajibu....Tuandalie nondo. By the way nimeshakua na situation kama hio but upande wa Dr. Dogo alisafiri all the way from mzumbe kuja kunisihi nisivuruge penzi lake, thanks God nilikua msikivu, nikaumiza Binti wa watu for him ila alivyo fala akashindwa m keep Immaculata wangu.
Guuud
 
Back
Top Bottom