Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Shwari brooWe jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shwari brooWe jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona mercy mwenyewe ni siyo ki viiile mkuu.Mercy......
Dogo wa Mecy wangu(Immaculate) alinifuata kwa style hio, actual alinifuata kazini nikamuomba anisubirie till lunch break tukaenda nae steers makumbusho tukagonga lunch tukamaliza, dogo akaongaea kwa uchungu mkubwa kama mwanaume nikamuelewa as pia nilikua na recover toka kwenye machungu divorce. Dogo tuka shake hand na akapromise hata nisumbua au kunitafuta tena. Na nikweli tangu 2012 sijawah muona au msikia tena kipindi hicho wapo 2nd year Mzumbe. Mecy wangu once in a while huwa tunasalimianaHuyu dogo atakua alimfata Dr kibabe, kwamba achana na kumfatilia demu wangu, huwezi kumpata, demu ananizimia sana Mimi, utapoteza tu muda wako ila angeenda Kwa adabu. Akamwambia bro najua wewe una Hela na unaweza kufanya lolote Kwa Mercy ila mdogo wako nampenda Mercy na Nina mpango wa kumuoa, naomba niachie bro. Angemuelewa Kwan sisi wanaume ni waelewa sana hasa kama ndo unaanza tu kumfatilia demu Bado hujapiga. Naamini approach yake Kwa Dr haikua Nzuri na ndio maana Dr alipofanikiwa akaanza kumtumia sms za dharau maana alitaka kumuonesha dogo hakuna kinachoshindikana
Kapo na jicho zuriiiMercy......
You did as a broDogo wa Mecy wangu(Immaculate) alinifuata kwa style hio, actual alinifuata kazini nikamuomba anisubirie till lunch break tukaenda nae steers makumbusho tukagonga lunch tukamaliza, dogo akaongaea kwa uchungu mkubwa kama mwanaume nikamuelewa as pia nilikua na recover toka kwenye machungu divorce. Dogo tuka shake hand na akapromise hata nisumbua au kunitafuta tena. Na nikweli tangu 2012 sijawah muona au msikia tena kipindi hicho wapo 2nd year Mzumbe. Mecy wangu once in a while huwa tunasalimiana
Hujamuona in a complete pictureMbona mercy mwenyewe ni siyo ki viiile mkuu.
Sema mapenzi upofu kaka ila siyo mwanamke wa kutisha kiasi hicho.
Sawa bhnaHivi wewe DeMostAdmired na huyo dakatari mnapata wapi nguvu ya kugombania mwanamke mmoja, yaan mimi ni huu uvivu wangu wa kutongoza wanawake, nianze kugombania mwanamke mmoja aisee naona kama ni kazi ngumu kupita maelezo.
Kutongoza tuu mwanamke nahic kama ni tiresome process, sembuse kugombania.
Kwanza nikiona tuu mwanamke ana mtu mwingine interest yote inapotea, pia nikiona mwanamke niliyokuwa nae ana interest na wanaume wengine interest huondoka(hapa nazungumzia ku-reply message za wanaume ambao anajua kabisa wanamtaka), sasa nyie wanang mkoje????
Ningekuwa wewe baada ya kupata ushahidi wa usaliti, ningeenda kwake kiroho safi tuu, ningechukua vitu vyangu vyote, ningehakikisha na yeye hajaacha kitu kwangu, then ningekata mawasiliano, sio kum-block wala sio kutopokea simu zake, ni kukaa tuu kimya, simpigii na sijibu text zake, akipiga napokea namsikiliza, akituma message sijibu, akiniuliza shida nn namjibu "Niko sawa".
Najua inauma lakini if a woman doesn't want to be what you want her to be, don't force or cry about it, just move on, yes it's going to hurt but that's life, life is not supposed to be easy, especially when dealing with emotions, kuna muda ndio utam-miss na uta tamani umpigie lakini utakapo fanya hivo utashusha dhamani yako, wanaume tuelewe kwamba mwanamke aliyekusaliti ukamsamehe hatakuona una upendo au mvumilivu atakuona mpumbavu na huna uanaume kwasababu mwanaume wa kweli hasamei usaliti, unapomsamehe au kumchekea au kumkalia kimya mwanamke aliyekusaliti ni kama vile unamwambia "Mimi sio mwanaume" na hio kitu naona wanaume wengi wanafanya.
Mwanamke aliekusaliti ukaachana nae pamoja na yeye kuomba msamaha hata kutoa machozi yote atabaki anakuheshimu milele, lakini mwanamke aliyekusaliti na ukamsamehe atabaki anakudharau milele.
dokta alipokutumia hio meseji ungemjibu '"nina ubao hatari, fanya kutuma 50 hapo nikapige mdudu......."NIPO KANISANI LAKINI NIMETOKA KIDOGO NJE NIWAIPANDISHIE EPISODE MOJA.
Tuendeleee.......
Hapo nilianza kumuona Mercy mtu tofauti sana na mwanzo kwasababu sikutarajia kama angefanya ule upuuzi.
Basi nikajikaza tu huku nasikiza mziki, nakumbuka nilikuwa nimeweka playlist ya nyimbo za FireboyDML, (need you, what if I say, energy, gbas gbos, champion, vibration, wait and see n.k).
Kuchek saa ni saa nane na nusu Mercy bado hajanichek nikaona namimi nikaushe tu mpka anitafute. Kichwani zile mesej za Dokta zilikuwa hazipungui muda wote zinajirudia. Nikamkumbuka mpka yule bro wa tanapa japo nikaona hata angekuepo msaada wake isingeweza kumrudisha Mercy kwangu.
Siku ile kusemazaukweli nilipanga niachane na Mercy nijikite katika masomo yangu nitoke na GPA nzuri. Kidogo mara cm yangu ikaita kichek ni Mercy, nikapokea akanambia niende kwake tyr kasharud. Lakini nikamwambia sitakwenda muda ule nitaenda jioni.
Alijistukia akaniuliza vipi kuna shida nikamwambia hakuna tatzo.
Nilipanga nisiende muda ule kwasababu nilikuwa ninahasira sana na Mercy tungejikuta tunagonbana tu hafu ingekuwa jau.
Basi jioni ilipofika nikajikusakusanya kwenda kwa Mercy, nilimkuta anachezea cm yake iphone seven ya gold mpauko. Alikuwa keshapika ilikuwa na wali na samaki, tukavunga kwanza tuvute muda ndo tule.
Nilikiamsha nikamuliza kwanini alikuwa hapatikani na kachelewa sana, akajibu cm ilizima chaj na kwa anko wake kunashida ya umeme kulitokea shot. Nikajikaza kumuelewa lakini nikawa nawaza nimuoneshe zile texts za Dokta ila nikaona haitasaidia ila itabomoa nitamfanya Mercy aniache mazima direct maana nilikuwa cna uhakika kama ile battle ningeiweza na kumfanya Mercy amuache Dokta.
Hapa nikaanza kujiona mimi ni mpenz mtazamaji hata show alikuwa ananipa kuniridhisha tu ndo jinsi nilivokuwa nahisi.
Siku zilisogea semester ikasonga vitimbwi vikaendelea. Hakika Dokta alimteka Mercy kwa kutumia pesa zake, ilifika hatua Mercy akawa ananiomba pesa nyingi ili nishindwe kumpa then aanze complain. Nikaona kama ni kitu cha ajabu maana
Mercy hakuwa anaomba pesa ndefu kias cha kunikomoa. Mwanzo alikuwa anaomba labda pesa ya kusuka alikuwa ananitajia kiasi labda naomba elf15 nikasuke, labda elf10 ya kitu flani, elf20 ya jambo flan na haikuwa mara kwa mara.
Sasa ghafla nikakutana na ombi la laki moja anasema anahitaj kubadir cm auze ile aongezee anunue kubwa zaid. Nikamwambia aniwait kidogo boom likitoka nimpe hiyo pesa aliitikia kwa unyonge sana na kama dizain ya kukomplain kidogo. Nikaona huyu kashaingiwa na tamaa baada ya kuonja utam wa penz la pesa la Dokta. Nikaona kabisa huyu mtu simuwez kwasasa na kifupi sio level zangu.
Nikaanza kupanga mikakat ya kujiondoa kwake taratibu lakini nikawaza nikusanye evidence juu ya mahusiano yake na Dokta ili siku akiona nimejitoa niambatanishe zile evidence ili aone makosa yapo wapi. Nikapanga kumchek Mercy feki ili akikutana tena na Dokta apige picha chats zote then anitumie tsap. Hakuwa na noma yule dem plus alikuwa anahitaj rungu langu mpka kesho bas hakunipinga akaona pia ni fursa maana yalikuwa ni mazingira ya kuandaa kuachana kwetu mimi na Mercy og.
Huku mimi nikaanza kumkataa Mercy taratibu, nikawa sometimes nampitia na baiki siku nyingne simpitiii, somedays naenda kula kwake siku nyingine siendi yani nikawa nafanya vile ili siku tukiachana niwe nishazoea.
Siku zilienda tukawa tunaishi hvohvo kwa kuforce ilifika muda mawasiliano yakapungua kwa kiasi kikubwa. Mercy alikuwa anamuliza shida nini namimi namjibu hapana nipo sawa kabisa asiwaze. Lakini nikawa namuona kama mnafiki kuuliza kitu anachokijua.
Siku moja Mercy alinitumia ujumbe kwamba anaenda kwa anko wake na atalala hukohuko maana mamaake mzaz kaja kwahyo Hana uhakika kama atarudi siku ileile. Nikakubali lakini kinawa najua kabisa Mercy kanidanganya ila anaenda kuliwa.
Nakumbuka ilikuwa ni weekend, nikapata wazo nimwambia Mercy fek amchek Dokta aombe mtoko siku ile. Nilipomchek akanijibu alikuwa na mpango huo yeye binafs kabla hata ya mimi kuwaza hilo na alikuwa ashamuomba watoke na Dokta kamjibu siku hiyo atakuwa yupo bize sana na hatokuwa na muda, tayari nikahitimisha Mercy anaenda kwa Dokta. Nikarelax nikaona Haina haja ya kuendelea kuumia nikawa nafanya mambo yangu tu.
Ndugu yangu hakuna kitu nilikuwa nacho makini kama kusoma, Mercy aliniumiza sana lakini sikuwahi kufeli hili ndo naloshukuru mpka Mercy mwenyewe na marafiki zake wakawa wananiita mimi mchawi wa masomo. Kwasabb sikuruhusu mambo yangu yaingiliane na masomo yangu.
Asee siku Ile Dokta alituma tena mesej "dogo vipi umeshindwa kumdhibiti Mercy". Nikaona Dokta sasa hata kama ni ROHO mbaya kazidisha na hiyo sas ni arrogance. Nikamjibu kistarabu tu "tumia muda wako vizur enjoy" then nikakaa zangu kimya.
Seeee you.......
Punguza domo.🤣🤣🤣🤣Au mwenzangu unapenda kupandishwa baiskeli na bby wako?
Mkuu kubali dem wa kawaida huyo, ..inaonekana ulivyotoka kwenu huko kwenye maparachichi ndo ukaangukia hapo na kuona ndo dem mkaliHujamuona in a complete picture
MwambiePunguza domo.
Kazi kujishebedua Uzi mzima.
SawaMkuu kubali dem wa kawaida huyo, ..inaonekana ulivyotoka kwenu huko kwenye maparachichi ndo ukaangukia hapo na kuona ndo dem mkali
We tunafanana kwa mbali.Hivi wewe DeMostAdmired na huyo dakatari mnapata wapi nguvu ya kugombania mwanamke mmoja, yaan mimi ni huu uvivu wangu wa kutongoza wanawake, nianze kugombania mwanamke mmoja aisee naona kama ni kazi ngumu kupita maelezo.
Kutongoza tuu mwanamke nahic kama ni tiresome process, sembuse kugombania.
Kwanza nikiona tuu mwanamke ana mtu mwingine interest yote inapotea, pia nikiona mwanamke niliyokuwa nae ana interest na wanaume wengine interest huondoka(hapa nazungumzia ku-reply message za wanaume ambao anajua kabisa wanamtaka), sasa nyie wanang mkoje????
Ningekuwa wewe baada ya kupata ushahidi wa usaliti, ningeenda kwake kiroho safi tuu, ningechukua vitu vyangu vyote, ningehakikisha na yeye hajaacha kitu kwangu, then ningekata mawasiliano, sio kum-block wala sio kutopokea simu zake, ni kukaa tuu kimya, simpigii na sijibu text zake, akipiga napokea namsikiliza, akituma message sijibu, akiniuliza shida nn namjibu "Niko sawa".
Najua inauma lakini if a woman doesn't want to be what you want her to be, don't force or cry about it, just move on, yes it's going to hurt but that's life, life is not supposed to be easy, especially when dealing with emotions, kuna muda ndio utam-miss na uta tamani umpigie lakini utakapo fanya hivo utashusha dhamani yako, wanaume tuelewe kwamba mwanamke aliyekusaliti ukamsamehe hatakuona una upendo au mvumilivu atakuona mpumbavu na huna uanaume kwasababu mwanaume wa kweli hasamei usaliti, unapomsamehe au kumchekea au kumkalia kimya mwanamke aliyekusaliti ni kama vile unamwambia "Mimi sio mwanaume" na hio kitu naona wanaume wengi wanafanya.
Mwanamke aliekusaliti ukaachana nae pamoja na yeye kuomba msamaha hata kutoa machozi yote atabaki anakuheshimu milele, lakini mwanamke aliyekusaliti na ukamsamehe atabaki anakudharau milele.
Tyrmwendelezo tafadhali