Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Mkuu napenda tuelimishane ili namimi nipate uelewa..

Kwanini unafikiri Ni artane?
Alikuwa na Any condition suggestive kwako kupewa artane kama Parkinson au any stiffness?
Alikuwa na Tremors? Alikuwa Tonic Au ,Clonic?

Probably kwangu mimi ningewaza Atenolol..Kwanini?

Atenolol ni Beta Brocker na Probably Inatibu Pressure na Inareduce kama sio Kuprevent Further Effects and complication ya stroke..
Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Turejee maelezo yake hayo aliyoeleza.

Alisema alishindwa kutembea sababuvya upande wa kushoto wa mwili kutokuwa sawa, japo hatuwezi kuthibitisha kwa kuhadithiwa kama hivi ila hapo upande mmoja kuzingua ni inaelekea kama stroke.
Hapo ndipo ninapohisi sababu ya kupewa Artane.

Kwako Dokta uliyetibua mchumba wa mtu...😂😂😂
 
Turejee maelezo yake hayo aliyoeleza.

Alisema alishindwa kutembea sababuvya upande wa kushoto wa mwili kutokuwa sawa, japo hatuwezi kuthibitisha kwa kuhadithiwa kama hivi ila hapo upande mmoja kuzingua ni inaelekea kama stroke.
Hapo ndipo ninapohisi sababu ya kupewa Artane.

Kwako Dokta uliyetibua mchumba wa mtu...😂😂😂
Nipo upande wa Dokta aliyesema ni atenolol maana effects alizozitaja ndo zilinipata. Nilikuwa nachangamka sana na napata ham ya kuongea sana, nilikuwa nahisi ka-raha flani hvi kama nimepiga tungi
 
Turejee maelezo yake hayo aliyoeleza.

Alisema alishindwa kutembea sababuvya upande wa kushoto wa mwili kutokuwa sawa, japo hatuwezi kuthibitisha kwa kuhadithiwa kama hivi ila hapo upande mmoja kuzingua ni inaelekea kama stroke.
Hapo ndipo ninapohisi sababu ya kupewa Artane.

Kwako Dokta uliyetibua mchumba wa mtu...😂😂😂
Mi sijakataa..
Ila Artane haitumiki kwa ajili ya kuprevent stroke chief..
Artane mara nyingi Sana ni kwa Parkinson na hata wale wanaopata Repateated Fits au hata wenye Epilepsy .

Kwa sababu Artane Ni Group la dawa linaloitwa antidyskinetics..

Kama umesoma Pharmacology utanielewa vizuri..
 
Mdogo angu ww nakujua na ulikuwa unasoma SUA
Campus ya Mazimbu na ulikuwa unasoma Education masomo Uliyokuwa unasoma ni Bsc (Education) Somo la Chemistry na Biology..

Ulikuwa unakaa Barakuda ndio ulikulokuwa umepanga..

Ulikuwa unakaa chumba kimoja pale
Upo mbali sana na central target 🎯
 
Mi sijakataa..
Ila Artane haitumiki kwa ajili ya kuprevent stroke chief..
Artane mara nyingi Sana ni kwa Parkinson na hata wale wanaopata Repateated Fits au hata wenye Epilepsy .

Kwa sababu Artane Ni Group la dawa linaloitwa antidyskinetics..

Kama umesoma Pharmacology utanielewa vizur

Mi sijakataa..
Ila Artane haitumiki kwa ajili ya kuprevent stroke chief..
Artane mara nyingi Sana ni kwa Parkinson na hata wale wanaopata Repateated Fits au hata wenye Epilepsy .

Kwa sababu Artane Ni Group la dawa linaloitwa antidyskinetics..

Kama umesoma Pharmacology utanielewa vizuri..
We upo nondo yani unaelezea vizur na maelezo yako yanamashiko
 
DeMostAdmired, ninakushukuru kwa kutushirikisha uzoefu wa maisha ya kimapenzi uliyoyapitia. NIMEJIFUNZA MENGI. umepambana na moyo, roho na mwili juu ya mwanamke. Ulidhalilishwa kwa uwazi na watu waliona. Acha roho yako ipumzike na ifikirie project mpya; acha moyo uburudike na penzi jipya la kidigo na acha mwili unawiri kwa supu ya pweza na ngisi kwa kuachana na Messi for good. Bila ya kuachana naye utateseka sana siku za usoni. Hata hivyo, endelea kuwa na tahadhari kubwa maana, kwa mujibu wa uzi Umalaya na Ukahaba wa Kishua; utamaduni wa watu wa Tanga na hasa wa Wadigo, hauna wivu katika mapenzi. Mahusiano na mtoto wa ki Digo yanaweza kupelekea ndoa au mtoto, angalia usije ukazimia au kufa kabisa siku utakayogundua mpenzi wako analiwa na Kaka au baba, babu, mjomba wake. Achana na mtindo wa kujaribu mapenzi, nenda Kijijini kwenu ukaowe binamu yako maana anaweza kukuhurumia na kukuheshimu kwa dhati kabisa. Matatizo ya moyo yaliyokukumba ni makubwa na hapo ulipo usijidhanie umepona kabisa. Ni suala la muda tu na Volcano ya Nyiragongo au OldonyoLengai italipuka. Inahitaji kiasi kidogo tu cha stress kukulaza chali. ZINGATIA HILI.

Aidha, zingatia ushauri wa wadau mbalimbali waliokupatia hapa jamvini.

Kwa sasa unayo kazi inayokuingizia kipato, jitahidi ku maintain low profile life style ili afya yako idumu. Acha kufikiria tena mapenzi na Messi afe kabisa rohoni mwako.
 
DeMostAdmired, ninakushukuru kwa kutushirikisha uzoefu wa maisha ya kimapenzi uliyoyapitia. NIMEJIFUNZA MENGI. umepambana na moyo, roho na mwili juu ya mwanamke. Ulidhalilishwa kwa uwazi na watu waliona. Acha roho yako ipumzike na ifikirie project mpya; acha moyo uburudike na penzi jipya la kidigo na acha mwili unawiri kwa supu ya pweza na ngisi kwa kuachana na Messi for good. Bila ya kuachana naye utateseka sana siku za usoni. Hata hivyo, endelea kuwa na tahadhari kubwa maana, kwa mujibu wa uzi Umalaya na Ukahaba wa Kishua; utamaduni wa watu wa Tangu hauna wivu katika mapenzi. Mahusiano na mtoto wa ki Digo yanaweza kupelekea ndoa au mtoto, angalia usije ukazimia au kufa kabisa siku utakayogundua mpenzi wako analiwa na Kaka au baba, babu, mjomba wake. Achana na mtindo wa kujaribu mapenzi, nenda Kijijini kwenu ukaowe binamu yako maana anaweza kukuhurumia na kukuheshimu kwa dhati kabisa. Matatizo ya moyo yaliyokukumba ni makubwa na hapo ulipo usijidhanie umepona kabisa. Ni suala la muda tu na Volcano ya Nyiragongo au OldonyoLengai italipuka. Inahitaji kiasi kidogo tu cha stress kukulaza chali. ZINGATIA HILI.

Aidha, zingatia ushauri wa wadau mbalimbali waliokupatia hapa jamvini.

Kwa sasa unayo kazi inayokuingizia kipato, jitahidi ku maintain low profile life style ili afya yako idumu. Acha kufikiria tena mapenzi na Messi afe kabisa rohoni mwako.
MADAKTARI walinipa huu ushaur niache kuwaza sana mambo yasiyo na faida at this moment.
Dem niliyenaye naona tupo sawa tu hana shida na sitaki kabisa kumchunguza chunguza movements zake coz najihisi bado kuna vishida kidogo katika afya

Hasira bado nakuwa nazo zile za ghafla ghafla. Japo hazidum

Nakuwa na mood swing

Hizo ni baadhi ya vishida ambavyo bado vipo lakini vinaisha kadr siku zinavozd kwenda
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Asante kwa hadithi yako ,imetoa funzo,
Angalizo, usimuoe huyo Binti labda awe bi mdogo wa tatu, vingnevyo utakufa mapema sana, jifunze kusema inatosha! Chukua namba zake ziblock halafu zifute jipe siku kadhaa kumwambia Mungu kitu!, additional point, in transition period, tafuta pisi Kali hata mbili kwa afya ya moyo wako!
 
Asante kwa hadithi yako ,imetoa funzo,
Angalizo, usimuoe huyo Binti labda awe bi mdogo wa tatu, vingnevyo utakufa mapema sana, jifunze kusema inatosha! Chukua namba zake ziblock halafu zifute jipe siku kadhaa kumwambia Mungu kitu!, additional point, in transition period, tafuta pisi Kali hata mbili kwa afya ya moyo wako!
Nimeuchukua ushaur nashukuru
 
Shida nyingi inayowapata wanaoshindwa ku-move on ni zile hisia za kuwa huyo uliye naye ni wa kipekee sana, hauwezi kupata mwingine kama yeye.

Mambo ni tofauti kwa ground; kuna watu wengi tu ambao ni wema na bora kumzidi huyo. Epuka ukosefu wa exposure, jichanganye, ufungue moyo uangalie na wengine.

Ulikuwa unaishi vizuri kabla hajaja kwenye maisha yako, unaweza ukaishi vizuri zaidi hata akitoka kwenye maisha yako. Although it's hard; life has to, and MUST, go on.
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Thanxxx
 
Back
Top Bottom