Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Mkuu napenda tuelimishane ili namimi nipate uelewa..
Kwanini unafikiri Ni artane?
Alikuwa na Any condition suggestive kwako kupewa artane kama Parkinson au any stiffness?
Alikuwa na Tremors? Alikuwa Tonic Au ,Clonic?
Probably kwangu mimi ningewaza Atenolol..Kwanini?
Atenolol ni Beta Brocker na Probably Inatibu Pressure na Inareduce kama sio Kuprevent Further Effects and complication ya stroke..
Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.
Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.
Turejee maelezo yake hayo aliyoeleza.
Alisema alishindwa kutembea sababuvya upande wa kushoto wa mwili kutokuwa sawa, japo hatuwezi kuthibitisha kwa kuhadithiwa kama hivi ila hapo upande mmoja kuzingua ni inaelekea kama stroke.
Hapo ndipo ninapohisi sababu ya kupewa Artane.
Kwako Dokta uliyetibua mchumba wa mtu...😂😂😂