Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Nimeuchukua ushaur nashukuru
Kijana pole sana na yote aliyokufanyia mercy na cha kufanya acha kuchati tena na mercy alafu pale unampiga biti dokta ndo ulimpa ushindi dokta alafu dokta sio kosa lake kosa la mercy kukuchiti angemkatalia hadi mwisho kwan angebakwa alfu ungempa wazo messy angebadili lain ya simu apo ndo ungekuwa umeua . WANAUME HAWANA MAKOSA KOSA LIPO KWA ALIYEKUMKUBALI MWANAUME mercy muoe tu ila mwambie awe mke wa pili kwanza oa pisi kali then mercy atafanya ujinga atajiona mavi da mapenzij acha tu kama mimi ningemloga dokta bucha na mercy ningemloga mikosi .Take time wazuri bado hawajazaliwa
 
Kijana pole sana na yote aliyokufanyia mercy na cha kufanya acha kuchati tena na mercy alafu pale unampiga biti dokta ndo ulimpa ushindi dokta alafu dokta sio kosa lake kosa la mercy kukuchiti angemkatalia hadi mwisho kwan angebakwa alfu ungempa wazo messy angebadili lain ya simu apo ndo ungekuwa umeua . WANAUME HAWANA MAKOSA KOSA LIPO KWA ALIYEKUMKUBALI MWANAUME mercy muoe tu ila mwambie awe mke wa pili kwanza oa pisi kali then mercy atafanya ujinga atajiona mavi da mapenzij acha tu kama mimi ningemloga dokta bucha na mercy ningemloga mikosi .Take time wazuri bado hawajazaliwa
Received
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Naomba nikupe mrejesho wangu kuhusu huu mkasa wako:
1. Naona kwenye kichwa cha mkasa wako umeandika jinsi dokta alivyosababisha ukamkosa mchumba wako Mercy. Nikusahihishe kidogo, WEWE ndie uliesababisha ukamkosa Mercy, you need to know this ili ujifunze na ubadilike. Wanawake hawapendi wanaume ambao ni PUSSIFIED MEN, kama wewe ulivyokua kwa Mercy, there is no way Mercy angeku pick wewe over dokta, lilikua ni suala la muda tu. Badilika, never never never ever be a PUSSIFIED MAN. Man-up and be a FRAMED man, ulitakiwa kutengeneza your manhood FRAME, halafu kumvuta Mercy kwenye mfumo wako aishi ndani ya FRAME yako, not otherwise.Usimlaumu kabisa Mercy, wewe kama mwanaume ulifeli kwa 100% kwa kuwa a PUSSIFIED MAN.
2. Ulifanya makosa makubwa sana sana, kuanzia pale kuanza kusoma meseji za Mercy, kumtumia meseji dokta, kwenda kumpiga biti, etc. Hiyo ni weakness kubwa sana sana kwako. Hii inaendana na point # 1 hapo, ONLY PUSSIFIED MEN do this.
3. Unaendeshwa na hisia, hili ni kosa kubwa sana kwa mwanaume, mwanaume haendeshwi kwa hisia, bali kwa FACTS and LOGIC. Ukishakua mwanaume unaeendeshwa na hisia, unakua huna tofauti na mwanamke, so mchumba/mke wako anakuchoka unakua ni kama mzigo tu kwake, huna tofauti naye. Na akitokea tu mwanaume anaetumia facts & logic anambeba fasta tu, kama alivyobebwa Mercy na dokta. Jifunze namna ya kudhibiti hisia, usitumie hisia kufanya maamuzi. Hakuna mwanamke anaefurahia kuwa na mwanaume alietawaliwa na hisia.
DeMostAdmired
 
Haiwezi kuwa Atenolol it's more of Benzhexol. Atenolol ni Beta blocker haiwezi kuwa na hizo effect alizozielezea.
Lets Discuss kuhusu Side effects za Beta blocker kama Atenolol na Propranolol..

Tumia pharmacology Lets Discuss Side effects zake..

Mzee nichakuambia sio kwamba natoa kwa wagonjwa tu nimekuambia kuwa tumewahi sana kuzinywa kutoa Hofu na kujibu vizuri clinical Madaktari wa Zaman waliosoma Miaka ya zaman watakuwa wanasupport hiki kitu..

Benzhexol Zina induce Hallucination na Anxiety na vitu vinavyofanana na hivyo na haihusiani na euphoria hata kidogo..
Benzhexol hai Induce euphoria
 
Naomba nikupe mrejesho wangu kuhusu huu mkasa wako:
1. Naona kwenye kichwa cha mkasa wako umeandika jinsi dokta alivyosababisha ukamkosa mchumba wako Mercy. Nikusahihishe kidogo, WEWE ndie uliesababisha ukamkosa Mercy, you need to know this ili ujifunze na ubadilike. Wanawake hawapendi wanaume ambao ni PUSSIFIED MEN, kama wewe ulivyokua kwa Mercy, there is no way Mercy angeku pick wewe over dokta, lilikua ni suala la muda tu. Badilika, never never never ever be a PUSSIFIED MAN. Man-up and be a FRAMED man, ulitakiwa kutengeneza your manhood FRAME, halafu kumvuta Mercy kwenye mfumo wako aishi ndani ya FRAME yako, not otherwise.Usimlaumu kabisa Mercy, wewe kama mwanaume ulifeli kwa 100% kwa kuwa a PUSSIFIED MAN.
2. Ulifanya makosa makubwa sana sana, kuanzia pale kuanza kusoma meseji za Mercy, kumtumia meseji dokta, kwenda kumpiga biti, etc. Hiyo ni weakness kubwa sana sana kwako. Hii inaendana na point # 1 hapo, ONLY PUSSIFIED MEN do this.
3. Unaendeshwa na hisia, hili ni kosa kubwa sana kwa mwanaume, mwanaume haendeshwi kwa hisia, bali kwa FACTS and LOGIC. Ukishakua mwanaume unaeendeshwa na hisia, unakua huna tofauti na mwanamke, so mchumba/mke wako anakuchoka unakua ni kama mzigo tu kwake, huna tofauti naye. Na akitokea tu mwanaume anaetumia facts & logic anambeba fasta tu, kama alivyobebwa Mercy na dokta. Jifunze namna ya kudhibiti hisia, usitumie hisia kufanya maamuzi. Hakuna mwanamke anaefurahia kuwa na mwanaume alietawaliwa na hisia.
DeMostAdmired
Nzuri iyo safi...

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Naomba nikupe mrejesho wangu kuhusu huu mkasa wako:
1. Naona kwenye kichwa cha mkasa wako umeandika jinsi dokta alivyosababisha ukamkosa mchumba wako Mercy. Nikusahihishe kidogo, WEWE ndie uliesababisha ukamkosa Mercy, you need to know this ili ujifunze na ubadilike. Wanawake hawapendi wanaume ambao ni PUSSIFIED MEN, kama wewe ulivyokua kwa Mercy, there is no way Mercy angeku pick wewe over dokta, lilikua ni suala la muda tu. Badilika, never never never ever be a PUSSIFIED MAN. Man-up and be a FRAMED man, ulitakiwa kutengeneza your manhood FRAME, halafu kumvuta Mercy kwenye mfumo wako aishi ndani ya FRAME yako, not otherwise.Usimlaumu kabisa Mercy, wewe kama mwanaume ulifeli kwa 100% kwa kuwa a PUSSIFIED MAN.
2. Ulifanya makosa makubwa sana sana, kuanzia pale kuanza kusoma meseji za Mercy, kumtumia meseji dokta, kwenda kumpiga biti, etc. Hiyo ni weakness kubwa sana sana kwako. Hii inaendana na point # 1 hapo, ONLY PUSSIFIED MEN do this.
3. Unaendeshwa na hisia, hili ni kosa kubwa sana kwa mwanaume, mwanaume haendeshwi kwa hisia, bali kwa FACTS and LOGIC. Ukishakua mwanaume unaeendeshwa na hisia, unakua huna tofauti na mwanamke, so mchumba/mke wako anakuchoka unakua ni kama mzigo tu kwake, huna tofauti naye. Na akitokea tu mwanaume anaetumia facts & logic anambeba fasta tu, kama alivyobebwa Mercy na dokta. Jifunze namna ya kudhibiti hisia, usitumie hisia kufanya maamuzi. Hakuna mwanamke anaefurahia kuwa na mwanaume alietawaliwa na hisia.
DeMostAdmired
Chief ungefunguka zaid ingependeza sana hasa izo mambo za PUSSIFIED MEN na FACT and LOGIC
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Waooo....all t he best friend
Ila sikushauri kuoa huyo dada ,hyo ndoa utakufa siku si zako mdogo wangu huyo anaona wewe ni dhaifu na atakupelekesha mnooo
Subiri ujibiwe yale majibu ya kutafuta gunia za mkaaa ukimuoa she never Loved you na kama alikupenda but she took your lover for granted that's why she did hurt you badly!!!
Pole sana kwa hilo nakuombea upate mke sahihi mwenye mapenzi ya kweli na wewe na kam vipi mblok huyo Mercy kabisa usipate kuwasiliana nae kwa namna yoyote ile
Utafute mtu mwingine,yeye alichagua pesa baasi apendwe na pesa maana maumivu alokusababishia ukimuoa jiandae kufa mapema
Km kwao wanapesa baasi wamtafutie mwanaume mwenye pesa mwenziwe amuoe huyo ni kichomi brooo atakuumiza mbaya kabisa
Delete,remove,futa kabisaa mawasiliano nayee...
 
Tukupe angalizo tu:
  • Mercy hakupendi, wala usijifariji alifanya vile kwa tamaa ya pesa
  • Angekuwa anakupenda kamwe asingekusaliti, tena kwa dharau zote zile
  • Kuoa single mother ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro, kamwe usithubutu
  • Mercy ni wa daktari, tayari kuna kiumbe kisichokuwa na hatia kinawaunganisha
  • Anaendelea kukutumia ili umpe faraja tu, kama wewe ungekuwa kwenye hali kama yake asingekupa nafasi
Mwisho; mkiachana halafu mkarudiana mapenzi hayawezi kuwa kama mwanzo na mara nyingi huishia kuachana tu tena.

Lightning never strikes the same place twice.

You can love again, you can do so much better without Mercy. Move on.

Thanks for an educative thread, and all the best in your endeavours.
Bonge la ushauri
Tunaita makavu liveee
Bitter truth
No sugar coating hapo
Akikuelewa akuelewe km hajakuelewa baasi haelewi tenaa
 
Ukiwa kama mzazi unamshaurije binti yako anaenda chuo kikuu
Kwanza..Awe na hofu na Mungu
Pili...awe na hofu na Mungu
Tatu ...awe na hofu na Mungu

Mimi km mzazi siwezi na hakuna bingwa wa malezi duniani na hajawahi kutokea isipokua sisi kama wazazi au walezi tunawaada,kuwashauri na kuwapa muongozo kulingana na jamiii tunazoishi na imank zetu tunazoziabudu

Kama atamuogopa Mungu kikweli kabisaa...hatazini,hataharibkiwa kwa hali yoyote ile brooo..
 
Back
Top Bottom