Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Bila hivi hawa wanao zingua kwa kujifanya wanapenda huwa hawaelewi.

Yaani jitu halijihurumii....muda huu anaumwa hadi Moyo kisa huyo demu wake ila hakomi sasa tuongee nae vipi....?

Tumbembeleze kama mtoto au.....? Inabidi apate makavu live ili akili ifanye kazi
Unayajua mapenz wew?
 
Bila hivi hawa wanao zingua kwa kujifanya wanapenda huwa hawaelewi.

Yaani jitu halijihurumii....muda huu anaumwa hadi Moyo kisa huyo demu wake ila hakomi sasa tuongee nae vipi....?

Tumbembeleze kama mtoto au.....? Inabidi apate makavu live ili akili ifanye kazi
Hata hvo sijasema kama bado Nina mpango na Mercy
 
Bado nasema tena walikuwa wanapendana , lazma utambue mercy kufanya maamuzi hayo kulikuwa na msababishi nyuma yake na sio aliamua tu na alishampiga an expected attack mara kadhaa jamaa akawa anajitetea, mwisho wa siku demu lazma aseme kama mm nawakatalia watu halaf mwenzangu anafanya bora namm nimwage mboga pengne Huku ndiko nnapopendwa kweli.

Kiufup ukiona mwanamke Hadi anachepuka asilimia 90 mwanaume ndio chanzo

Wanawake wanaugonjwa mmoja hiv wa kipumbavu huwa nauita yaani ni watu wakulipa kisasi kinachowaumiza wao wenyewe. ambacho awali hawajui kama kisasi hiko huwa kinawaumiza wenyewe, akikufuma na mtu anaweza panga atembee hata na rafiki yako akifkr anakukukoma kumbe kinachoumia ni kiungo chake.

Kuhus swala la kusex mara chache ni jambo la kawaida Sana hasa kwa watu wenye malengo ya kusoma wenyew huwa wanaona kufanya tendo kunapunguz akili nakumbuka binafsi nilikuwa na demu toka form 1 had form 4 sijawah kutembea naye zaidi ya romance tu kisa tulikuwa tunajifanya tunasoma nilitembea naye baada ya kumaliza shule kwahyo ni jambo la kawaida na huwa linatokea ila akitokea mmoja ni anapenda kusoma mwngne hapend hapo show show daily yaan na mmoja atamfuata mwenzake mazima.
Sawa bhna
 
Unayajua mapenz wew?
Sasa wewe endelea kuyasifia hayo mapenzi ukidhani wewe pekeyako ndio umeyapitia.like your so special on it.

Watu back on the days yalituumiza tukaumia haswa na kuibuka washindi na tumeyashinda ila sio kizembe hivyo kama unavyo yaendekeza wewe. Tulikonda hadi watu wakahisi tunangoma na siku sio nyingi tunakufa.

Yaani hadi siku mzazi wangu ananiona ni baba yaani unamuona kabisa anajikaza kulia huku akikuuliza unaumwa nini husemi nikasingizia chuo kigumu.

Hadi kuja kupona sio kizembe kama unavyo jiendekeza wewe.

By the way endelea kufarijiana na huyo singo maza wako hapo kama unadhani life is all about that.
 
NAHISI KUNA CHA KUJIFUNZA KATIKA HUU UZI U
Sasa wewe endelea kuyasifia hayo mapenzi ukidhani wewe pekeyako ndio umeyapitia.like your so special on it.

Watu back on the days yalituumiza tukaumia haswa na kuibuka washindi na tumeyashinda ila sio kizembe hivyo kama unavyo yaendekeza wewe. Tulikonda hadi watu wakahisi tunangoma na siku sio nyingi tunakufa.

Yaani hadi siku mzazi wangu ananiona ni baba yaani unamuona kabisa anajikaza kulia huku akikuuliza unaumwa nini husemi nikasingizia chuo kigumu.

Hadi kuja kupona sio kizembe kama unavyo jiendekeza wewe.

By the way endelea kufarijiana na huyo singo maza wako hapo kama unadhani life is all about that.
Leta Uzi complete tujue nini kilikukuta
 
Mimi nilisha pona bana saizi nakula tu mema ya nchi.

Japo kua watu wanasema huwezi kumjua mwanamke ila Mimi nawajua wanawake A...Z.

Pindi mtakapo anza kutumia akili badala ya hisia mtakula mema mengi tu na hakuna mwanamke atakuumiza akili
 
JAMANI SIJAKATAA KUSHUSHA EPISODES, STORY BADO HAIJAISHA TUWE WAPOLE KWANI HUKO MBELE MTAJUA MENGI MPAKA NILILAZWA HOSPITAL KAMA WIKI NA NUSU NILIPATIWA MATIBABU HOSPITAL YA JESHI YA KANDA MKOANI TABORA. NAJUA KUNA BAADHI YA WATU WANAIFAHAM NAWASHUKURU SANA MADAKTARI WALINIPAMBANIA NIKAPONA MPAKA HAPA NILIPO NAMSHUKURU SANA MUNGU NA MADAKTARI.

NISINGEPENDA TABIA YA KUNITOLEA LUGHA ZA MATUSI IENDELEE KWANI SO VIZURI MIMI NIMEAMUA KUSHEA NA NYIE STORY HII KWA RIDHAA YANGU SIO KWAMBA MNISHURUTUSHE.

Kuna watu wanajiona sana humu na wanajifanya kila kitu wanajua, sitaki kuwatag lakini wanajiujua.
Kwahiyo unatufokea ama?
 
DeMostAdmired Pale ulipogundua mercy anapigwa na Dr usingemwambia kitu, ungekua unajipigia tu, akikudanganya kaletwa na gari la uncle unamwambia poa, ungeenda unamtoa akilini polepole. Nilipokua kijana nikishaona demu ana dalili flan natafutaga wa kutulizia stress mapema sana, ni muhimu anakusaidia usipate stress
 
WANAWAKE NI WATU WA AJABU SANA, UNAONA KIPINDI HIKI KUNA UHABA WA SUKARI WEWE KIDUME UNAWEZA UKAWA NAPESA ZAKO ZA KUTOSHA ILA UPO BIZE NA MAMBO YAKO HAUPAMBANII MKEO APATE SUKARI NDANI KWASABABU YA KUADIMIKA KWAKE MTAANI, UNAWEZA UKAJA KUSTUKA MKEO KAGAWA MBUSUSU KWA FALA MMOJA TU KISA KILO MBILI ZA SUKARI ILI AANDAE KEKI YA BIRTHDAY YA MWANAE, HAWA WATU NI SHIDA.
Hahahahaha dah

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
DeMostAdmired Pale ulipogundua mercy anapigwa na Dr usingemwambia kitu, ungekua unajipigia tu, akikudanganya kaletwa na gari la uncle unamwambia poa, ungeenda unamtoa akilini polepole. Nilipokua kijana nikishaona demu ana dalili flan natafutaga wa kutulizia stress mapema sana, ni muhimu anakusaidia usipate stress
Nilimpenda sana
 
Nilimpenda sana
Kumpenda mtu sana sio tiketi ya wewe kuumia au kujidhuru.

Mbona yeye alivo dinywa tu na dokta alikufungia tintedi bila maelezo kujari utafanya nini.

Yamemshinda kwa dr ndio kaja kwako maana wewe ndio mnyonge wake yaani dr akikaza tena unaachwa mchana kweupe na kwa dharau kubwa sana.

Huyo ilitakiwa awe sexy toy lako na sio vingine.
 
Back
Top Bottom