Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Pumbavu wewe...sasa unafoka nini...kwani huwezi toa ushauri kistaarabu..

Malaya mwenyewe....kakojoe ulale ngurue pori wewe.
Kuna watu hua wanajifanya ni malaika sana kwenye haya maisha, wakati kuna page za maisha yao hawawezi kuzisoma hazarani.

Mtu hujamuoa, hamjatambulishana kwao wote mnazini. Unaanzaje kusema ana kucheat? Kwa mkataba wenu wa kilaghai mlio sainiana geto mkishuhudiwa na kitanda?

Huyo dada angeweza kua loyal, na mtoa maada akaja kumuacha tu mbele na kuoa mwanamke mwengine, na huenda mpaka kwenye hii story kuna kurasa zimerukwa za yeye kuchepuka.
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
KATA MAWASILIANO NA HUYO MWANAMKE. UTAKUFAAAAAAAAAA KABLA YA SIKU ZAKO.
 
Ukiwa kijana mdogo lazima kupitia maswaiba ya mahusiano kama yako. Mwanzoni utaona ni mapenzi ya kweli ila ukipata kazi ya kukuweka bize muda ukapita utakuja kujidharau kwamba hayakuwa mapenzi bali mazoea tu.

Kwa umri wako una haki ya kuumia ila muda ukipita hata ukute demu wako anagongwa na jamaa hapo wala roho haistuki kabisa.
 
Ukiwa kijana mdogo lazima kupitia maswaiba ya mahusiano kama yako. Mwanzoni utaona ni mapenzi ya kweli ila ukipata kazi ya kukuweka bize muda ukapita utakuja kujidharau kwamba hayakuwa mapenzi bali mazoea tu.

Kwa umri wako una haki ya kuumia ila muda ukipita hata ukute demu wako anagongwa na jamaa hapo wala roho haistuki kabisa.
Uhakika
 
Tuendeleee......

Nilipoa kama maji ya mtungini, hii taarifa ilinivunja moyo kwa mara nyingne tena safari hii nilivunjika kwa kishindo kikubwa. Mercy alinambia nimuache kwanza apumzike maana alikuwa hayupo sawa pia nayeye. Basi nikamuacha nikalala zangu pembeni, baadae nikamuliza kwahyo itakuwaje kuhusu mimba akanambia hajui la kufanya kwa muda ule.

Siku zikasogea, lakini nikajitahidi nisiwe mbali na Mercy ili asije kufeli maana tulikuwa tunakaribia UE ya mwisho.
Ili kumfanya awe na furaha nilimuahidi nitakuwa naye bega kwa bega hata kumuoa nitamuoa hvohvo na mimba yake lakini moyoni nilikuwa najisemea siwez kuoa mtu mwenye mtoto huku baba wa mtoto bado yupo hai huko ni kucheza na moto.

HAPA NILIONA KABISA DOKTA KANIHARIBIA MIPANGO YANGU NA MERCY KWASABABU YULE TAYARI AMESHAOA NA KWA HAKIKA KUMPA MERCY MIMBA ILIKUWA NI MAKUSUDI ILI TU ANIONESHE YEYE NI ZAIDI YANGU. HAYA NDO YALIKUWA MAWAZO YANGU.

Tulifanya UE tukamaliza vizur huku Mercy akiwa anaendelea vzr na ujauzito wake. Tulivomaliza UE tukakaa sasa ili nijue what's next, nilimuliza Mercy anafikiria nini akasema anaona bora aitoe ile mimba ili apate kuishi namimi kwa uhuru.
Hapo tushamaliza chuo tyr tuna kama siku mbili.

Tulikuwa tunamalizia ngwe ya pili ya research tukusanye then tupotee makwetu.

Lile wazo la Mercy kutoa ujauzito sikuliunga mkono nikakataa kabisa nikamwambia ni hatar anaweza hata akapoteza maisha.
Mercy alikataa katu katu akasema ni lazima aitoe kwani alihitaji awe free tuanze maisha.
Mimi nilishindwa kumzuia, lakini sikushiriki katika kuitoa ile mimba. Mercy alifanya yeye kama yeye sikutaka kujiingiza katika hii dhambi.

Mercy alienda hospital ilikuwa ni pale pale mtaani hakwenda town, alienda kwa nurse mmoja akamshaur kwasabb ujauzito bado ni mchanga sana hautasumbua.
Sikujua alimpa madawa gani Mercy alikunywa, siku ile hatukulala maana alikuja kunywea mageton kwake, hali ilibadirika akaanza kuumwa na tumbo mwisho wa siku akanichek na kwa jinsi alivokuwa anaongea alionekana kuzidiwa sana.
Nilienda nikamkuta anagaa gaa chini, nikashindwa nianzie wapi. Nikamuliza shida nini ndo akanambia amemeza madawa ya abortion. Nikamuliza kapewa na nani, nilimuliza ili nijue naanzia wap kumsaidia, alinielekeza yuel nurse nikamfaham. Na hapakuwa mbali na pale nikaona kumpigia cm nitachelewa nikaona niped baiki mpka pale kwenye kidispensari.

Nilimkuta nurse nikamueleza na nikamsihi twende fasta, alichukua madawa dawa flan na vifaa kadhaa tukaongozana mpka kwa Mercy. Tulipofika tulimkuta bado anaugulia maumivu, nilimpa nurse nafas amhudumie Mercy.

Baada ya kama nusu saa akatoka akanambia atakuwa powa ni shida ya kawaida tu, akasema anawahi kwende kituo chake cha kazi. Alinihakikishia kuwa Mercy atakaa sawa kwahyo nikapata faraja maana niliwaza kama Mercy atapata shida zaid mimi nitakua answerable.

Ilipita kama lisaa Mercy akawa kapata nafuu, nikamuliza anahitaj nini akasema yupo sawa. Nilimpa tu maji nikamfatia na chips akapiga then tukalal.
Kesho yake Mercy alinambia kuwa anahisi mimba imekataa kutoka. Nikamuliza kwanini akasema yeye anajua kwaiyo anahisi hivo. Kumbe kweli ile mimba iligoma kutoka na baada ya jaribio kufeli nilimkanya Mercy aache kabisa kuitoa ile mimba.

Tulimalizia research zetu tukakusanya sasa tukawa free kuondoka makwetu. Siku mbili kabla ya kuondoka Mercy alinambia twende kwao akanitambulishe, nilifikiria nikaona Mercy hayupo sawa yupo stressed. Maana ni ngum dem aende kukutambulisha kabla wewe kidume hujaenda kumtambulisha kwao.

Kifupi Mercy alikuwa anahitaj kabisa kuishi na mimi na alikuwa tyr twende kwao akanitambulishe.
Nilimuliza kuhusu Dokta, Mercy alinijibu hatak hata kumsikia lakini still Dokta alikuwa anamaumbua bado Mercy na alikuwa anahitaj kujua ujauzito wake unaendeleaj na alikuwa anamsihi pia asithubutu kuuutoa.


See you.......
Kwahiyo huku mimba inasumbuliwa na wewe upo humo humo unamsumbua mtoto [emoji7][emoji7][emoji15]
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Asante kwa story, ila ukimuoa tu, Dr lazima aje tena kisingizio mtoto hapo ndiyo utakufa kabisa kama si kupalalaizi kabisa, na anaweza akaongeza na mtoto wa pili huku mpo naye.
 
Back
Top Bottom