Digital kid
Member
- May 7, 2016
- 49
- 87
Daktari akisema anakupa flajili na usinywe pombe, wewe ukanywa utakufa... huyu naye kifo kinamuitakapewa ushauri na Daktari anaudharau? acha afe
IPO huwa inatokea acha kuropoka.Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako...
Huyo sio Daktari bali ni muhuni tu.
Hakuna sayansi ya namna hiyo.
Unampa hongera wakati hataki tiba!Ninakuelewa sex ni nzuri lakini pale unapokuwa na mwenza mmeaminiana. Siyo jambo jema kufanya sex kwasababu kama roho haiko tayari. Kama amefikia umri wa kuoa na yuko tayari ataenjoy sana sex kwenye ndoa. Ninampa hongera nyingi kwa kuweza kujitunza mpaka umri huo alionao.
Asalam wana Member wote kuna kijana(Me). Ana umri wa miaka 25, tangu azaliwe hajawahi kufanya tendo hilo ni mhitimu wa chuo kikuu kimojawapo hapa Dsm baada ya kusumbuliwa sana na maradhi ya mgongo na tumbo, jana alienda kuonana na Doctor baada ya kumueleza tatizo lake, Dr alimshauri tiba yake ni kufanya Sex Sasa yeye hayupo tayari lengo lake hadi aowee. Anaitaji ushauri wenu. Mimi nimeshindwa nimshauri nini.