Digital kid
Member
- May 7, 2016
- 49
- 87
dr???(specify) isije ikawa kaenda kwa mganga wa kienyeji alaf unasema doctor coz maumivi ya mgongo na kuumwa tumbo yanauhusiano gani na sex
hapo unataka kumaanisha kuwa mtu asipofanya mapenzi ataumwa
kama ugonjwa huo upo basi doctor autaje unaitwaje kwa kitalaamu???
hapo unataka kumaanisha kuwa mtu asipofanya mapenzi ataumwa
kama ugonjwa huo upo basi doctor autaje unaitwaje kwa kitalaamu???