Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
umewekeza au nawe unasubiri usitaafu wakupe kiunua mgongo ukanunue gari afu uanze kutusumbua mtaaniNajua huwezi niamini ila kuna watu wamebarikiwa nyoyo za kuzirika na kichache kinachomtoshereza na kipande cha mkate na glass ya maziwa! ....
Unabisha kwa kufahamu au umetoa maoni ππ tunaona mengi kijanaDawa za serikali na vifaa tiba vina logo ya Govt na hawawezi kuziuza popote ... faini yake ni kisanga.
SanaNdio maana laana haziishi kwenye familia zetu kumbe wazazi wetu wanatafuna hela za dhuluma..
Angalia unapiga hela ya nani hapo kijanaUnazani bila upigaji utatoboa mkuu...πππ
Si serikali au...!!!Angalia unapiga hela ya nani hapo kijana
Umeuziwa kitu gani kilichoibiwa hospitali ni kutokuelewa kwako tuu eti mtumishi ahamishie dawa dukani kwake.Unabisha kwa kufahamu au umetoa maoni [emoji16][emoji16] tunaona mengi kijana
Kwamba we ndo unayeuza au ? we unatetea madoctor nadhani umegushwa πππ niko pale we wakwanza wakuchunguzeUmeuziwa kitu gani kilichoibiwa hospitali ni kutokuelewa kwako tuu eti mtumishi ahamishie dawa dukani kwake.
Unadiscuss kitu usicho na idea nacho at all...
nawe hongera kwa kuolewa ila siku kibarua kikaota nyasi me niko paleππPole kijana kwa kukosa ajira ipo siku nawe utakula keki ya taifa
INABIDI AANZE KULIPIA THREAD ANAYOPOST UYU MTUππfundi bishoo , Santos06 ya 14 mpaka dakika hii
mods wameanza kumpiga pin kwa kuunga nyuzi, labda ata kata motoINABIDI AANZE KULIPIA THREAD ANAYOPOST UYU MTUππ