Daktari anamiliki "pharmacy" dawa anaiba hospitali halafu anadai ajira inalipa

Daktari anamiliki "pharmacy" dawa anaiba hospitali halafu anadai ajira inalipa

Kuhusu kuiba Dawa sidhani kama ni kweli, na hawezi iba akiwa mwenyewe lazima ashirikishe wahusika wengi
 
Ukiona mtu anasifia kuajiriwa mchunguze sana, wengi wapigaji! Ona mfano mdogo; mwalimu hana posho au marupurupu ndo maana kila siku analalamika. Mapolisi nao, hivyo hivyo.

Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na amewekeza wapi?

Mshahara pekee hauwezi kuendesha maisha yako ya kila siku. Iko hivyo.

Waajiriwa wanapiga madili yao.
Acheni wivu, tafuteni fursa. Kuiba kunatokea in the 'long run', kwasababu huwezi ukaiba dawa za kujaza pharmacy nzima, utaiba baadhi tu ya dawa. Na hili litawezekana baada ya kuthubutu kwanza kwa kile kidogo ulichonacho.

Kama unadhani rahisi na wewe ajiriwa halafu uibe. Fikiri nje ya box, get out of your comfort zone. Fursa zina aibu, usisubiri zikufuate, zifuate.

Mwenye masikio na asikie.
 
Ukiona mtu anasifia kuajiriwa mchunguze sana, wengi wapigaji! Ona mfano mdogo; mwalimu hana posho au marupurupu ndo maana kila siku analalamika. Mapolisi nao, hivyo hivyo.

Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na amewekeza wapi?

Mshahara pekee hauwezi kuendesha maisha yako ya kila siku. Iko hivyo.

Waajiriwa wanapiga madili yao.
Ndyo,yuko sahihi kwasababu anachoiba kinamlipa
 
Ukiona mtu anasifia kuajiriwa mchunguze sana, wengi wapigaji! Ona mfano mdogo; mwalimu hana posho au marupurupu ndo maana kila siku analalamika. Mapolisi nao, hivyo hivyo.

Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na amewekeza wapi?

Mshahara pekee hauwezi kuendesha maisha yako ya kila siku. Iko hivyo.

Waajiriwa wanapiga madili yao.
Daktari anaibaje dawa
Kwa mfano daktari anayefanya kazi hospitali ya mkoa anaibaje dawa pharmacy/store?
 
Daktari anaibaje dawa
Kwa mfano daktari anayefanya kazi hospitali ya mkoa anaibaje dawa pharmacy/store?
Jamaa anaona kila mtumishi wa kiume kwenye sekta ya afya ni Daktari.
Hajui kuwa kuna idara nyingine Dr hata hana access kiivyo.
Yaani mtu na akili zake aibe dawa zenye logo ya Got akaweke dukani kwake.
Anajaribu ku-discuss kitu asichokijua.
Watumishi wajanja wanaiba muda wa mwajiri na siyo hizo commodities.
 
Jamaa kaamka tu anajiongelea vitu asivyovielewa ..mtu mwenye asilimia kubwa ya kuiba dawa ni mfamasia kwa sababu yeye ndio mwenye access kubwa pia ,wengine ni wale wasimamizi wa hospital
 
Inategemea umeajiriwa wapi, kama United Nations na taasisi zake, maisha yanasonga bila dili
 
Acheni wivu, tafuteni fursa. Kuiba kunatokea in the 'long run', kwasababu huwezi ukaiba dawa za kujaza pharmacy nzima, utaiba baadhi tu ya dawa. Na hili litawezekana baada ya kuthubutu kwanza kwa kile kidogo ulichonacho.

Kama unadhani rahisi na wewe ajiriwa halafu uibe. Fikiri nje ya box, get out of your comfort zone. Fursa zina aibu, usisubiri zikufuate, zifuate.

Mwenye masikio na asikie.
Umeongea ukweli

Nayeye atafute aibe awe na pesa ,au atuambie yeye anatoboaje

Mambo sio rahisi kias hicho
 
Back
Top Bottom