Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini


Leta mshahara wa mhandisi wa Halmashauri ulinganishe na dakatari wa hospitali ya wilaya au mkoa. TANROAD ni kama mashirika mengine ya UMMA kama NSSF, NHIF nk
 
Hawajapewa nafasi ya kufanya hvyo.
Mbona wakipewa nafasi hata wanafunzi tu Wana uwezo wa kutatua hizo changamoto.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wewe...!! Ushawahi toa proposal wizara ya husika likakataliw??
 
Unasomea fani unayoipenda si mshahara
Hivi bila kulipwa stahiki zako vizuri maisha utayaendeshaje ilihali fani uliyosema hata kama umeichagua mwenyewe lakini sio fani rahisi pia madaktari wanaheshimika sana mataifa mengine ila hapa Tanzania ni fani ya ovyo sana, msipende kuchukuli mambo kama yalivyo au kikawaida kuna wakati mtu unatakiwa kuhoji kwanini hivi na sio vile
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wewe...!! Ushawahi toa proposal wizara ya husika likakataliw??
No inabidi watangaze tenda ili watu waje na proposal.
Huwez kwenda mwenyewe tu bila kutangazwa hyo itakuwa ni kujipendekeza na watakusumbua hadi kiatu kitaisha soli.
 
No inabidi watangaze tenda ili watu waje na proposal.
Huwez kwenda mwenyewe tu bila kutangazwa hyo itakuwa ni kujipendekeza na watakusumbua hadi kiatu kitaisha soli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo wengi wenu wezii wakubwaaa
 
Duu haya majanga,nurse mwenye diploma anaanza na ngapi sasa?
Huyo AMO elimu yake inakuaje?
 
Sidhani kama kuna upungufu wa madaktari wa kawaida mtaani hadi mtu atumike sehemu zaidi ya moja,kwa madaktari bingwa hakuna shaka kwa hilo
Serikali iwalipe madaktari salary inayoridhisha
 
Duu haya majanga,nurse mwenye diploma anaanza na ngapi sasa?
Huyo AMO elimu yake inakuaje?
Katika kada ya afya, ngazi ya mshahara inakuwa flat kwa Diploma na Certificate. Tofauti inapatikana kuanzia Bachelor.
 
Yale mabati yamewekwa kwa maelekezo ya hao ma eng wa bongo unaowaita takataka. Mchina kazi yake ni kujenga tu.
Eng wa bongo taka takaa tu... Yani mchina kaja Kaweka tu mabati pale Ubungo foleni kwisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maeng wetu hakuna kitu ni mzigo tu kwa taifa..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…