Imepitwaje na wakati wakati mishahara unaionaMkuu hiyo dhana imepitwa na wakati zama hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imepitwaje na wakati wakati mishahara unaionaMkuu hiyo dhana imepitwa na wakati zama hizi
Hao walimu achana nao hawana ishu.Sasa si bora hao wanapata hiyo, huyo aliyewawezesha mpaka wakajua kusoma na kuandika analipwa sh ngapi!?
Kwani MD pekee ndio anasoma miaka 5?U are still a kid my friend duuuh......yaan hata hujui % contributions ya vifaa n kias gan ktk kutibu.....pole sana ila nikwambie tu kuwa vifaa vina mchango mdogo sana ktk kutibu,na kama vingekuwa na mchango mkubwa bhc hao waliovigundua ndio wangekuwa na uwezo mkubwa wa kutibu kuliko madaktari wenyewe...na kusingekuwa na haja ya madr kusoma 5 years bali wangejifunza how to operate hvyo vifaa mlivyogundua to make a diagnosis.... My friend u know nothing about the power of medicine.... One day u will comprehend
Ndio maana tunapambana ilipwe ya kustahili sio ya witoImepitwaje na wakati wakati mishahara unaiona
Acha kupotosha. MD wanasoma miaka 2 tu darasani (basic sciences) na wahandisi miaka 4 darasani! Miaka 3 ya MD ni clinical rotations. Umezungumzia interniship unasahau kuwa Mhandisi lazima naye anatakiwa kuwa registered?Hujui unachokiongea wewe..! Jiulize kwanini wanasoma 5yrs + 1yr Internship
U are still a kid my friend duuuh......yaan hata hujui % contributions ya vifaa n kias gan ktk kutibu.....pole sana ila nikwambie tu kuwa vifaa vina mchango mdogo sana ktk kutibu,na kama vingekuwa na mchango mkubwa bhc hao waliovigundua ndio wangekuwa na uwezo mkubwa wa kutibu kuliko madaktari wenyewe...na kusingekuwa na haja ya madr kusoma 5 years bali wangejifunza how to operate hvyo vifaa mlivyogundua to make a diagnosis.... My friend u know nothing about the power of medicine.... One day u will comprehend
kama hakutoshi njoo tulinde geti la kanjibahi hapa Upanga mwisho wa mwezi napokea Tsh 120,000/ na tukufundishe kunywa maji ya kandoro unayosemaga yanaumiza matumbo na tunalala kwenye mabox wakati huo kanjibahi anatengeneza watoto
Tatzo naongea na a person who has never been to medical field....u real know nothing about medicine.... Na unachojua n kuwa bila vipimo daktari hawez kutibu wala kuujua ugonjwa ,hapo ndipo unapojipumbaza...ila nikwambie tu kwa faida yako n kuwa a doctor can reach a diagnosis in more than 70% without ordering investigation na ndio maana unaweza kupewa dawa bila kupimwa na ukapona....nyie mainjinia wa bongo uchwara kabisa mmetufanyia nn mpk saiv?? Hzo pharmaceutical industries unazosemea mmetengeneza IPI hapa nchini,zote zinatoka nchi za nje coz the engineers we have can't even construct our roads.....Mkuu jitahidi kwenda deep na sio kuwaza theory, % contribution ya vifaa kwenye matibabu sijui umewaza practically!!
Mgonjwa anayehitaji operation kama vifaa havipo unawezaje kufanyiwa operation..
Mgonjwa wa Kansa anaweza kutibiwa kansa kwa mionzi bila machine za mionzi?.
Mgonjwa wa Maleria tutamjuaje kama kweli anamalaria bila vifaa..?
Hizo sindano, microscope,ultrasound, X-ray, lile limtambo la CT- Scan
Hizo sindano zinazotumika kuanzia kuchukua damu na kutibu..
Hayo mafridge mnayohifadhia dawa..
Hizo Cold room kwa ajili ya storages..
Aisee anayeweza kupingana na hili labda Mganga wa tiba asili anayetumia mizizi lakini hawa madaktari wanaokaa darasani na kwenda hospitali hili la kujifananisha na Engineers waache kabisa..
Sidhani kama umeshawahi kutembelea huko kwenye Pharmacetical industries na kujionea engineering and engineering concept zinavyosaidia kutengeneza dawa..
Mshahara unatokana na kile unacho deliver, siyo miaka ya kusoma au blah za kukariri huko shuleniUdaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month
Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?
Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.
Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.
Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Ukweli unabaki palepale utabibu ni wito tangu enzi na enzi. Hii huduma ilitolewa kwa kumpa tabibu shukran tu na si vinginevyo. Kazi ya utabibu ni ya zamani sana kadri ya ubinadamu wenyewe ulivoanza, na kwa sehemu kubwa ilitolewa kama huduma na si biashara na wagonjwa walikuwa wakitoa shukrani tu kwa tabibu husika au mkunga.Mkuu hiyo dhana imepitwa na wakati zama hizi
Sijui nikutukane tusi gani? Hivi mtu anaweza kukufundisha kuendesha gari wakati hajui kuendesha gari?Acha kutetea tetea pasipo logic, huwezi kumlinganisha mtu anaeokoa maisha ya watu na Mwalimu anaefundisha kutoka kwenye kitabu Kazi Ya Mwalimu ni nyepesi mno Na isingekuwa nyepesi watu hawangekuwa wanaenda kurundikana huko, wewe huoni wavivu wooote wa darasani hukimbilia ualimu? Mtu anaenda kupasua kichwa cha mtu amtoe uvimbe Halafu amshone than unamlinganisha Mwalimu kweli? Acha kulinganisha udaktari na ualimu Kwanzaa inatakiwa Mwalimu apate asilimia 20 ya mshahara wa daktari
Hapana kusomea uislamu= gross
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23]Wanyonge ni jina la sifa ikimaanisha wanyongwao, je wamjua mnyongaji wa hao wanyongwao????
Nyie infrastructures zote mnatengenezewa na engineers... Hebu waheshimuni basi eboooo!!!Hujui unachokiongea wewe..! Jiulize kwanini wanasoma 5yrs + 1yr Internship
Na ukipata huduma mbaya ni witoUdaktari ni wito kama umesoma ili utajirike umepotea njia
Tatzo naongea na a person who has never been to medical field....u real know nothing about medicine.... Na unachojua n kuwa bila vipimo daktari hawez kutibu wala kuujua ugonjwa ,hapo ndipo unapojipumbaza...ila nikwambie tu kwa faida yako n kuwa a doctor can reach a diagnosis in more than 70% without ordering investigation na ndio maana unaweza kupewa dawa bila kupimwa na ukapona....nyie mainjinia wa bongo uchwara kabisa mmetufanyia nn mpk saiv?? Hzo pharmaceutical industries unazosemea mmetengeneza IPI hapa nchini,zote zinatoka nchi za nje coz the engineers we have can't even construct our roads.....
Engineers wa kibongo hamna contribution yoyote ile...vifaa vyote vya construction anatengeneza mzungu au mchina nyie mnaangalia tu yaan hamjaweza kugundua hata kutengeneza bajaji licha ya kuwa na degree zenu uchwara za kukariri.....yaan mchango wa mhandisi wa Bongo hauna umuhimu sana bila kuwepo mchina....u are fools