Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Hoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.
Una point flani lakini ualimu pia nao unaadaraja....mwalimu anayemfundisha daktari naye huyo ni kama daktari tu anaweza kutibu...mwalimu anayemfundisha engineer nae ni engineer ma anaweza kudesign na kusimamia ujengwaji wa daraja. Ila mwalimu wa nursery, primary na secondary nao ni walimu lakini hawawezi kulipwa sawa na mwalimu wa daktari ama sawa na daktari mwenyewe ama mwalimu wa pilot ama pilot mwenyewe. Ila yeye (Mwalimu wa Nursery/primary &secondary) kulipwa sawa na polisi, afisa maendeleo, afisa utumishi, mwanasheria hapo sio sawa!!!
 
Kwani wewe umewahi kuwa engineeer.

Na kama wewe siyo engineer, unajuaje ugumu wa kazi ta engineer.
Mm sijasema kuwa uinjinia sio kazi ngumu popote pale....engineering is a very tough work...ninachokataa ni hii tabia ya injinia wa hapa bongo kuhisi udaktari sio kazi ngumu wakat wao wameshindwa kutengeneza hata sindano licha ya kuwa na elimu kubwa.....
Hebu angalia vifaa vyote almost vya tanesco vinatoka ulaya na China licha ya kuwa tuna a lot of ekectirical engineers wakutosha,barabara znajengwa na wachina na hilo tunaona kwa macho,kama huamin nenda hata hapo ubungo maji au mbezi pale utaona n kiasi gan wachina walivyodominate wakat civil engineers tunao sana,haya redio,TV,simu,computer vyote tunaagiza nje..how comes u become proud of our engineers?? What engine are they engineering?? Wao n kugovern vifaa tu walivyogundua wazungu tu,wao ni wa kutukanwa na wachina daily...I will never appreciate engineers of Tanzania unless I see their task.
 
Tatzo naongea na a person who has never been to medical field....u real know nothing about medicine.... Na unachojua n kuwa bila vipimo daktari hawez kutibu wala kuujua ugonjwa ,hapo ndipo unapojipumbaza...ila nikwambie tu kwa faida yako n kuwa a doctor can reach a diagnosis in more than 70% without ordering investigation na ndio maana unaweza kupewa dawa bila kupimwa na ukapona....nyie mainjinia wa bongo uchwara kabisa mmetufanyia nn mpk saiv?? Hzo pharmaceutical industries unazosemea mmetengeneza IPI hapa nchini,zote zinatoka nchi za nje coz the engineers we have can't even construct our roads.....

Engineers wa kibongo hamna contribution yoyote ile...vifaa vyote vya construction anatengeneza mzungu au mchina nyie mnaangalia tu yaan hamjaweza kugundua hata kutengeneza bajaji licha ya kuwa na degree zenu uchwara za kukariri.....yaan mchango wa mhandisi wa Bongo hauna umuhimu sana bila kuwepo mchina....u are fools

Sio lazima niwe dokta kulijua hili tunalojadili hapa, hiyo 70% unayosema ndio ninayokwambia ni theory na kitabibu hairuhusiwi kumpa mtu dawa bila kumfanyia investigation - NI MAKOSA. Hizo dawa pia unazompa mgonjwa zimetengenezwa kiwandani ambako lazima Either Engineers, Engineering au Engineering concept ziwepo - NDIO MAANA NIKWAMBIA UDAKATARI WAKO HAUWEZI KUWA NA TIJA AU KUFANYIKA PASIPO UWEPO WA ENGINEERING AND ITS CONCEPTS.

Nilichokiona kwenye aya yako ya pili na tatu ni CHUKI YAKO KWA ENGINEERS sijui wamekufanya nini, lakini kwa suala la sijui Engineers wa kibongo hakuna wanachojua na blah blah nyingine, naomba nikwambie tu hata MADAKTARI wakibongo nao ni ZERO tu ndio maana vifo vingi vyakizembe vinatokea kutokana na uwezo mdogo wa matabibu, Mngekuwa mko smart pia sidhani watu kama wangeenda India, SA na Nairobi na wengine Ulaya. Pia fahamu ulichosomea kumdiagnostic binadamu hata Engineer pia amesomea kudiagnose machuma, Daktari anadeal na binadamu labda na wanyama that just the part wakati engineers wanadili na vyote vilivyomo duniani ndio wameingia huko kwenye udaktari wako na kukutengenezea vifaa na dawa, Niambia daktari yupo kwenye ujenzi wa barabara, daktari yupo kwenye ujenzi wa meli na ndege...
 
Mwalimu hana kazi kubwa kihivyo kuliko madaktari,labda walimu wa ngazi za chini wafikiliwe zaidi otherwise hao wa degree hiyo 20,000 kwa siku inamtosha sana na ana muda mwingi wa kufanya mambo yake
Mwalimu ana kazi kubwa kuliko daktari...!! Akitimiza majukumu yake kihalali..
 
Tatzo naongea na a person who has never been to medical field....u real know nothing about medicine.... Na unachojua n kuwa bila vipimo daktari hawez kutibu wala kuujua ugonjwa ,hapo ndipo unapojipumbaza...ila nikwambie tu kwa faida yako n kuwa a doctor can reach a diagnosis in more than 70% without ordering investigation na ndio maana unaweza kupewa dawa bila kupimwa na ukapona....nyie mainjinia wa bongo uchwara kabisa mmetufanyia nn mpk saiv?? Hzo pharmaceutical industries unazosemea mmetengeneza IPI hapa nchini,zote zinatoka nchi za nje coz the engineers we have can't even construct our roads.....

Engineers wa kibongo hamna contribution yoyote ile...vifaa vyote vya construction anatengeneza mzungu au mchina nyie mnaangalia tu yaan hamjaweza kugundua hata kutengeneza bajaji licha ya kuwa na degree zenu uchwara za kukariri.....yaan mchango wa mhandisi wa Bongo hauna umuhimu sana bila kuwepo mchina....u are fools
Eng wa bongo buree kabisaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sio lazima niwe dokta kulijua hili tunalojadili hapa, hiyo 70% unayosema ndio ninayokwambia ni theory na kitabibu hairuhusiwi kumpa mtu dawa bila kumfanyia investigation - NI MAKOSA. Hizo dawa pia unazompa mgonjwa zimetengenezwa kiwandani ambako lazima Either Engineers, Engineering au Engineering concept ziwepo - NDIO MAANA NIKWAMBIA UDAKATARI WAKO HAUWEZI KUWA NA TIJA AU KUFANYIKA PASIPO UWEPO WA ENGINEERING AND ITS CONCEPTS.

Nilichokiona kwenye aya yako ya pili na tatu ni CHUKI YAKO KWA ENGINEERS sijui wamekufanya nini, lakini kwa suala la sijui Engineers wa kibongo hakuna wanachojua na blah blah nyingine, naomba nikwambie tu hata MADAKTARI wakibongo nao ni ZERO tu ndio maana vifo vingi vyakizembe vinatokea kutokana na uwezo mdogo wa matabibu, Mngekuwa mko smart pia sidhani watu kama wangeenda India, SA na Nairobi na wengine Ulaya. Pia fahamu ulichosomea kumdiagnostic binadamu hata Engineer pia amesomea kudiagnose machuma, Daktari anadeal na binadamu labda na wanyama that just the part wakati engineers wanadili na vyote vilivyomo duniani ndio wameingia huko kwenye udaktari wako na kukutengenezea vifaa na dawa, Niambia daktari yupo kwenye ujenzi wa barabara, daktari yupo kwenye ujenzi wa meli na ndege...
Kila mtu ni bora kwa nafasi yake...!! Yani hakuna aliebora wala mwenye Umuhimu mkubwa kuliko Mwingine.
 
Mm sijasema kuwa uinjinia sio kazi ngumu popote pale....engineering is a very tough work...ninachokataa ni hii tabia ya injinia wa hapa bongo kuhisi udaktari sio kazi ngumu wakat wao wameshindwa kutengeneza hata sindano licha ya kuwa na elimu kubwa.....
Hebu angalia vifaa vyote almost vya tanesco vinatoka ulaya na China licha ya kuwa tuna a lot of ekectirical engineers wakutosha,barabara znajengwa na wachina na hilo tunaona kwa macho,kama huamin nenda hata hapo ubungo maji au mbezi pale utaona n kiasi gan wachina walivyodominate wakat civil engineers tunao sana,haya redio,TV,simu,computer vyote tunaagiza nje..how comes u become proud of our engineers?? What engine are they engineering?? Wao n kugovern vifaa tu walivyogundua wazungu tu,wao ni wa kutukanwa na wachina daily...I will never appreciate engineers of Tanzania unless I see their task.
Nikweli kwamba engineers wa bongo hawajagundua chochote kati ya ulivyosema, bali vimegunfuliwa nje?

Lakin hebu nikuulize swali, umewahi kusikia kiongozi, au mtu tajiri wa tanzania anaenda kutibiwa Muhimbili na analazwa hapo hapo? Au umewahi kusikia amefia kwenye hospitali zetu hizi hizi?



Maoni yangu mimi ni kwamba, wote wanafanya kazi kubwa sana, na kila mmoja ana umuhimu wake, daktari unafanya kazi kubwa sana na unatumia akili nyingi, lakini pia engineer anafanya kazi kubwa na anatumia akili nyingi pia.

Kwa hiyo, TUHESHIMIANE
 
Hoja yako ulipoianza nimeipenda, ni kweli kumlipa Civil Engineer zaidi ya Daktari wa binadamu haiingii akilini. Labda aliyepanga ngazi za mishahara alikuwa Civil Engineer. Majukumu na uwajibikaji wao ni mbalimbàli lakini risk pia ni kubwa kwa Dokta kuliko Injinia. Hili ni tatizo lililoanzishwa na ukurupukaji na sasa waneshindwa kulitafutia dawa hata walipounda tume ya mishahara ambayo nayo imeshindwa kurekebisha tatizo zaidi ya kelele za "Tumefikia hatua nzuri".
Hata hivyo udhaifu huo hauwezi kuhalalisha uonezi wanaofanyiwa walimu. Ifike mahali tujue chanzo cha maarifa yote ni Mwalimu. Hata hiyo miaka 5 ya Daktari hawi peke yake, anakuwa na Mwalimu kwa muda huo wote. Daktari ni mwanafunzi kwa miaka 5-7 kama ulivyosema, lakini Mwalimu ni mwanafunzi muda wote wa maisha yake. Kazi yake ni kutotoa Madaktari, Mainjinia, Wachumi, na kuabort mbumbumbu ambao wengine wanageuka kupanga mshahara wake wakitokea kwenye siasa ambako ni Kokoro la waliomo na wasiokuwamo.
Mwalimu ni Kila kitu ingawaje anaonekana si kitu.
Umeongea vizuri sana !
 
Acha kutetea tetea pasipo logic, huwezi kumlinganisha mtu anaeokoa maisha ya watu na Mwalimu anaefundisha kutoka kwenye kitabu Kazi Ya Mwalimu ni nyepesi mno Na isingekuwa nyepesi watu hawangekuwa wanaenda kurundikana huko, wewe huoni wavivu wooote wa darasani hukimbilia ualimu? Mtu anaenda kupasua kichwa cha mtu amtoe uvimbe Halafu amshone than unamlinganisha Mwalimu kweli? Acha kulinganisha udaktari na ualimu Kwanzaa inatakiwa Mwalimu apate asilimia 20 ya mshahara wa daktari
umeandika uharo hapo. Bila waalimu kusingekuwa na madaktari wala ma injinia. Tetea madaktari bila kuwa undermine walimu. Kazi nyepesi kukaa na watoto? Hujui ukiharibu kwenye msingi ndo umeharibu taifa zima? pumbavu kabisaa
 
Ulinganifu mbovu. Daktari wa halmashauri analinganishwaje na Engineer wa Taasisi. Hizo sehemu mbili zina scale tofauti za mishahara. Labda ungeangalia Daktari aliyeajiriwa Tanroads analipwaje. Ila sasa Tanroads inahitaji mainjinia zaidi kuliko madaktari. Na taasisi nyingi huwa zinahitaji madaktari wachache. Madaktari wengi wanabaki kuajiriwa na halmashauri. Ulinganifu sahihi ungekuwa kulingalisha mhandisi wa halmashauri na daktari wa halmashauri. Lakini ukianza kulinganisha halmashauri na Tanroads, tayari kuna tofauti ya mishahara sio tu kwa madaktari na mainjinia bali kwa wafanyakazi wa sehemu hizo mbili. Mfanyakazi yoyote wa Tanroads analipwa zaidi ya wa halmashauri. Hoja yako umeshindwa kuijenga vizuri sababu umetumia ulinganifu ambao si sahihi. Ni kweli madaktari wanapaswa kulipwa vizuri. Na pia hata walimu nao wanapaswa kulipwa vizuri. Wafanyakazi wa sekta ya afya ni wengi zaidi ya wahandisi. Tunahitaji uchumi mzuri kuwaboreshea wote maslahi yao.
 
Back
Top Bottom