Sio lazima niwe dokta kulijua hili tunalojadili hapa, hiyo 70% unayosema ndio ninayokwambia ni theory na kitabibu hairuhusiwi kumpa mtu dawa bila kumfanyia investigation - NI MAKOSA. Hizo dawa pia unazompa mgonjwa zimetengenezwa kiwandani ambako lazima Either Engineers, Engineering au Engineering concept ziwepo - NDIO MAANA NIKWAMBIA UDAKATARI WAKO HAUWEZI KUWA NA TIJA AU KUFANYIKA PASIPO UWEPO WA ENGINEERING AND ITS CONCEPTS.
Nilichokiona kwenye aya yako ya pili na tatu ni CHUKI YAKO KWA ENGINEERS sijui wamekufanya nini, lakini kwa suala la sijui Engineers wa kibongo hakuna wanachojua na blah blah nyingine, naomba nikwambie tu hata MADAKTARI wakibongo nao ni ZERO tu ndio maana vifo vingi vyakizembe vinatokea kutokana na uwezo mdogo wa matabibu, Mngekuwa mko smart pia sidhani watu kama wangeenda India, SA na Nairobi na wengine Ulaya. Pia fahamu ulichosomea kumdiagnostic binadamu hata Engineer pia amesomea kudiagnose machuma, Daktari anadeal na binadamu labda na wanyama that just the part wakati engineers wanadili na vyote vilivyomo duniani ndio wameingia huko kwenye udaktari wako na kukutengenezea vifaa na dawa, Niambia daktari yupo kwenye ujenzi wa barabara, daktari yupo kwenye ujenzi wa meli na ndege...