Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

We mnafiki.
Tokalin engineer atengeneze dawa?
Asa pharmacist kaz yake nn km engineer atatengeneza dawa?
Engineer anajenga vtu vichache sana ktk vifaa tiba most vya vilivyobak mafamasia,
Au unataka kusema keko pharmaceuticals kuna ma engineer?
Broo umefula
Je..mnamjua mtu anaitwa pharmaceutical engineer?Jielimisheni jamani
Bro embu kuwa na elimu na kitu ndio uongee.
Dawa ya graseofulvin na engineer wapi na wapi?!
Anaetufanya sisi tufanye kaz mfamasia sio engineer.
Duuuh baba uinjinia na madawa wapi na wapi.!?
Anaropoka tu.....engineer doesn't know how a drug is taken,distributed, metabolised and excreted in the body...if he can't know those pathways how can he discover drugs??tatzo hawa engineer wa bongo wanadhani kila kitu kinachoweza kuguswa hugunduliwa na engineer......akili chache kama hz ndio znafanya contracts zote kubwa nchin kama ya fly over ya tazara, barabara za lami almost zote na ubungo wapewe wachina tu....hawa wa bongo they know nothing
 
Je..mnamjua mtu anaitwa pharmaceutical engineer?Jielimisheni jamani
Achana nao sijui wanafikiria kwa kutumia nini,,waambie hakuna kiwanda cha kutengeneza dawa na vifaa tiba duniani hapa ambacho hakina Engineer
 
Muongo wewe.
Hiv maana ya prescription unaijua.?!
Hivyo vifaa tiba ni vya kurahisisha matibabu.
Anaetufanya tufanye kazi ni pharmacist mtengenezaji madawa maana sisi tunaweza kugundua ugonjwa wa mtu kwa prescribing basi.
Na tukamwandikia dawa na akatumia akapona.
Ila dawa ni kaz ya pharmacist hao ndio wanatufanya tufanye kazi.
Halafu bila kusahau ugonjwa mpya unapolipuka sisi madaktari ndio tunaoitwa kufanya uchunguzi sio ma engineer.
Unakurupuka na kuongea pasi na logic maalum.
Vifaa tiba hvyo vinarahisisha kaz km machines zinavyo simplify work.ila sio ku do work completely

Hapo kwenye red nifafanulie ni kwa namna gani mnaweza kugundua ugonjwa wa mtu kwa kutumia prescribing

Je prescribing ni nini ndugu tabibu?
 
Medicine imekuwa ikitegemea Engineers( Bio,Electric,Structural,Hydraulics,Robotics etc) kwa kipindi kirefu na bado kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kazi za hawa mafundi na udaktari,na kila miaka inavyoenda utaona kwamba engineers wamekua ni chachu za inventions ambazo zimeleta mapinduzi ktk sekta ya afya( CT SCAN,PET SCANS,MRI,ECHO,ECG,ENDOSCOPES,DNA MACHINES,RAPID RESPONSE LAB MACHINES,RADIOTHERAPY MACHINES,ANAESTHESIA MACHINES na list inaendelea...hapa utaona kwamba kila siku zinavyoenda mafundi wanazidi kurahisisha kazi ya diagnosis ya magonjwa mbalimbali....hapa naongelea acurracy(Sensitivity na Specificity).Lakini yote haya hayatoi nafasi kuona daktari ni chini ya engineer whatsoever!!kila kazi ina maana kwa nafasi yake na wakati wake....heshima kwa Engineers na Madaktari mnastahili pongezi za dhati kwa kazi zenu.
Sema hawa mainjinia waudsm hawajagundua wala hata kuweza kutengeneza hata kimoja ya ulivyovitaja....wapowapo tu kama viazi
 
Mshahara wa daktari na mhandisi unatakiwa kuwa Mara tano ya mshahara wa walimu, kwani hamjui kuwa huko nyuma waliokuwa wanaenda ualimu ni wale waliofeli? Leo mnajifanya kusahau eeh mnataka walipwe Kama mhandisi acha kujitoa ufaham fani ya ualimu ni nyepesi mno Na haina risk yoyote, kila magonjwa yakijitokeza mnawapeleka madkari huko huko Leo mnataka walipwe Kama walimu khaaaa
Sio kweli.Huo ualimu mnaoudharau hauna ajira kwa sasa.
 
Kwa vifaa tiba kweli ma engineer ila madawa waachie mafamasia mkuu maana madawa yana uwanda mpana mkuu
Achana nao sijui wanafikiria kwa kutumia nini,,waambie hakuna kiwanda cha kutengeneza dawa na vifaa tiba duniani hapa ambacho hakina Engineer
 
Prescription ni kule kupata maelezo juu ya ugonjwa wa mtu kwa kumuhoji anavyojisikia na kwa kumfanyia test wewe mwenyewe either kwa kumtizama temperature yake kwa thermometer ama kwa kuchunguza heart beat zake kwa stethoscope na kuoanisha dalili za yule mgonjwa na magonjwa stahiki.
Mfano wewe umekuja hospital.
Unalalamika ukikojoa unakojoa mkojo wa damu na kibofu kinauma sanaa.
Dalili hii inafanania na magonjwa mawili ya Urinary tract infections pamoja na magonjwa ya zinaa asa mm nitakua nishagundua tatizo lako.
Nitakupa antibiotics ya ampiclox+clavulate ili kuua UTI ikiwemo na nitakuandikia Fluconazole vidonge kumi tyuu vikaue vimelea vya magonjwa ya zinaa.
Hapo nimekugundua kwa prescription.
Wala sikuhitaji uende maabara.
Ila hvyo vifaa vinatumika kuturahisishia kaz na kutuletea uhakika wa tunachokifanya mkuu.
Mm nilipokuwa nachoka kazin mtu akija kulalamika kuhusu magonjwa yake ofisini namuhoji natake history then namwandikia dawa anapitia pharmacy ya palepale kituo chetu cha afya kaZ inaisha
Hapo kwenye red nifafanulie ni kwa namna gani mnaweza kugundua ugonjwa wa mtu kwa kutumia prescribing

Je prescribing ni nini ndugu tabibu?
 
Mlinganisho wako sio sahihi kwa upande mmoja.

Umeongelea TANROADS ambayo ni Taasisi, zungumzia mshahara wa daktari katika Taasisi kama vile MUHIMBILI ndio utapata usawa.

Je,unafahamu mshahara wa Civil katika ngazi ya serikali ya mtaa ni kiasi gani na MD nae ni kiasi gani?!

Halafu kwenye Case ya CO umepotosha kidogo kwa kumzidishia kiasi fulani, yeye anapata 680,000 kwa mwezi na sio 980,000/.

Nawasilisha..!
ameandika fasta ile 6 ikageukia juu
 
Madaktari na wahandisi wabongo ni garbage , mnapasua watu vichwa badala ya miguu na wahandisi mnalipua miradi kila siku , hovyo kabisa . Tena mlifaa mlipwe 20000 kwa mwezi pambafu nyie
Haaa kuna mmja kamng'oa mgonjwa meno mazima kaacha mabovu jamaa yuko as dish limeyumba,madokta bana
 
Irrelevant comparison:
Daktari North Mara gold mine anakunja 4M
Hapo unasemaje???
Hao Madaktari waende tu TANROAD wafanye kazi. Kasema Daktari anakula 1,500,000.00. Nimjulishe tu Mhandisi Daraja la I wizarani au halmashauri anakula 900+. Bakharesa hajasoma kabisa anakula bilions, hauna haja ya kuanghaika na bahati za wenzako.
 
Hauna lolote nyie madaktari mliingia huko mkiwa na ideology kwamba ndio kazi inayolipa zaidi. Sasa mkishaona kuna kazi ambazo watu wanasoma miaka 3 tu mnapaniki sana, na kuanza kuhoji kama mtoa mada

Mim kuna jamaa yangu kaajiriwa Tutorial assistant kwenye moja ya vyuo vya serikali na kagundua kuwa anakula pesa ndefu kuliko daktari aliyeajiriwa na serikali kuu na huku mshikaji kasoma ualimi.

Sasa najua siyo mda mtakuja kuanza kuhoji kwa nini Tutorial assistant alipwe zaidi yenu.
You have hinted the point. Wengine interest ilikuwa kuona uchi wa watu tuu
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?

Kwani formula ya kupanga mshahara kwa mujibu wa uchumi zipoje?
 
Hao Madaktari waende tu TANROAD wafanye kazi. Kasema Daktari anakula 1,500,000.00. Nimjulishe tu Mhandisi Daraja la I wizarani au halmashauri anakula 900+. Bakharesa hajasoma kabisa anakula bilions, hauna haja ya kuanghaika na bahati za wenzako.
Bakharesa hajasoma lakin kaajiri wasomi. Hivi kweli hajajiendeleza kweli kielimu au kuhudhuria course fupi fupi?
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Ni wivu tu, Ni wivu tu na Ni wivu tu...nenda kasome engineering
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Mshahara mkubwa hauondoi rushwa Mkuu wangu. Ni commitment.
 
Mkuu hiyo dhana imepitwa na wakati zama hizi
nenda kaajiriwe wanakolipwa zaidi, kama umeajiriwa na serikali na umeridhika usiangalie wengine wanacholipwa utaumia sana, nilifundishwa na mzazi wangu ukiona kazi haikufai au masilahi kidogo andika barua ya kuacha kazi, wanaoweza watafanya na wewe utatafuta unayoitaka na yenye mshahara unaoutaka. Kamwe usijifananishe na kazi ya mtu mwingine! HAMNA ALIYEKULAZIMISHA USOMEE UDAKTARI
 
Udaktari tiba ni fani nyeti na ngumu sana lakini cha kushangaza daktari anapata salary ya Tsh.1,500,000 gloss hukuhandisi wa Civil pale TANROADS(case study) anapata 2,000,000
Clinical officer/tabibu =950,000 huku Civil Technician=1,118,000 per month

Kwa staili hii case za rushwa zitaisha huko hospitali na vituo vya afya?

Tafadhali serikali wapeni madaktari uzito unaostahili kwenye malipo,wanatumia kusoma na wanaumia kazini.

Hata kwenye stahiki za posho na benefits zingine daktari hamfikii mhandisi lakini pia mhandisi hasa wa civil wako kwenye industry ambayo possibility ya yeye kupata pesa ni kubwa kuliko watu wa afya hadi semina zije.

Chonde chonde serikali mnapopanga viwango mliangalie hili na ule mpango wa kuwianisha malipo ya wafanyakazi walio na elimu moja limeishia wapi?
Ni kweli serikali inatakiwa kupitia upya viwango vya mishahara kwa watumishi wake hasa kwa kuzingatia mazingira anayokutana nayo huyu mfanyakazi. Mishahara iliyonona kidogo inasaidia kumpa mtumishi morali na nguvu ya kukataa rushwa, maana hata kama mtu ni mzalendo lakini kila siku anakutana na vishawishi vikubwa kila siku kwa kazi yake na akiangalia mshahara wake dah..mtakuja mfungulia kesi za rushwa na kumuona sio mzalendo kumbe wasababishi ni serikali wenyewe.

Mwanasheria wa Serikali analipwa gross TZS 969,000/= (amesoma miaka 4 chuoni pamoja na mwaka 1 wa mafunzo pale shule ya sheria Tanzania). Huyu mwanasheria anatetea serikali kwenye kesi zote za madai, ambapo serikali kulingana na uhaba wa fedha pamoja na uzembe tu wa viongozi wa taasisi wakati mwingine, haikaukiwi kesi, kila siku watu wanaishtaki (wakandarasi na wazabuni mbalimbali). Sasa mtu anaoambana kuokoa mabilioni yasilipwe (hata madai ya halali) halafu ndio take home yake hiyo 900, hapo anatakiwa kuvaa suti kila anapoingia mahakamani (ndio sababu ya wengi kuvaa makoti yaliyopauka sana), halafu bado tunajiuliza ni kwa nini serikali inashindwa katika kesi zake nyingi..mazingira haya huyu mtu hata akinunuliwa suti 2 mpya na viatu, anachomokaje (ni mfano tu). Opponent advocate kwa kesi hiyohiyo unakuta kala retianer 30m..

Serikali irekebishe haya, ama sivyo kila siku kwenye hotuba tutaendelea kuulizana kwa nini serikali inashindwa kwenye kesi zake. Unamlipa mwanasheria hiyo 900 wakati Ubalozi wa US wanatangaza kazi ya karani mtanzania mwenye elimu ya kidato cha 4 mshahara wake ni 1.2m kwa mwezi
 
Hahahaha hii kichekesho cha mwaka , jiulize kwann waalimu WA arts ni wengi kuliko waalimu WA sayansi
Hawa wingi wao ulichangiwa na upatikanaji wa mkopo wa masomo wa serikali. Wengi walisoma ualimu ili tu wapate mkopo, ilikuwa ni moja ya kozi zenye vipaumbele, ikumbukwe zamani miaka ya 2000 mwanzoni nayo ilikuwa ni kozi ya miaka 4
 
Back
Top Bottom