Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguzeni kuishi kwa stori za vijiweni..ila anayeteka watu kisa kakosolewa ndo anaongeza na kujenga nguvu kazi ya Taifa,I love this country
Labda kama umeandika kwa kujifurahisha , lakini hakuna mahali popote nimepinga mashitaka hayo , mimi nimeripoti tu kilichotokea .Uelewa wako mdogo kuhusu utakatishaji fedha. Isiwe sababu ya kutaka kupotosha umma. Kasome sheria upate uelewa, siyo kila kitu siasa. Maana hapo angeshtakiwa mwanasiasa mngesema ni kwasababu ya siasa, wakati sheria ipo wazi.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
umejipofusha kwa faida ya nani ?Punguzeni kuishi kwa stori za vijiweni..
Umewahi shuhudia au unasikia kama mimi tu!
Dpp ni msukuma kumbuka ndo wameshika hatamu hii jamii inapenda sana ligi.
Naishi kwa uhalisia tu. Yakitokea na tutayaona. Mengine hayo ya akina Zitto na kutekwa kwa mzee wa Ist nyekundu, wacha nijipofue tu kwa faida yangu.umejipofusha kwa faida ya nani ?
True nyie chapa ng'ombe mwafaa kwa kazi za kutumia nguvu zaid na sio za reasoning hata mkoloni aliliona hilo aliona ni hasara kuiendeleza jamii isiyoelimikaJamii gani ? Ya wasukuma ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii zamu yetu mtalijua jiji. Ni mwendo wa Kuswaga tu.
Jiwe oyeeeeeeee...! Hii zamu wasukuma tunawapa mfano vile uongozi unapswa kuwa.
Happy dude [emoji67][emoji538]
ila anayeteka watu kisa kakosolewa ndo anaongeza na kujenga nguvu kazi ya Taifa,I love this country
nimeonana na Doto Yakobo leo. Amekonda mnoooView attachment 1305046
Daktari wa Dental Clinic iliyoko Sinza Mori , Dr Awadh Juma mkazi wa Kunduchi ambaye anatuhumiwa kwa utoaji mimba ambao ni kinyume cha sheria za nchi , amefikishwa kwenye Mahakama ya hakimu mkaazi ya Kisutu akishitakiwa kwa makosa 7 likiwemo la utakatishaji wa kitita kikubwa cha pesa za kitanzania cha shilingi 260,000 ( laki mbili na elfu sitini )
Pamoja naye ameshitakiwa pia muuguzi wa clinic hiyo aitwaye Kidawa Ramadhan ambaye ni mkazi wa Manzese.
Kesi hiyo iko mbele ya Mh Hakimu Vicky Mwaikambo , ambapo mashtaka yamesomwa na Wakili wa serikali Simon Wankyo akisaidiwa na Glory Mwenda .
Aisee kumbe wale wanaotukanwa ndo wanateka watu?Asante mkuu sasa kwa kuwa wasiojulikana sasa wanajulikana ,basi watekwaji nao waanze kuteka watekaji maana ukiachilia madaraka kila mmoja wetu ana mwili na ana rohoKukosoa ruksa ,kutukana mtapata tabu sana mpaka mtakapo kaa mguu sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe umewahi kushuhudia Lissu akiisaliti Tanzania? au ulisikia tu toka kwa mwenyekitiPunguzeni kuishi kwa stori za vijiweni..
Umewahi shuhudia au unasikia kama mimi tu!
Uelewa wako mdogo kuhusu utakatishaji fedha. Isiwe sababu ya kutaka kupotosha umma. Kasome sheria upate uelewa, siyo kila kitu siasa. Maana hapo angeshtakiwa mwanasiasa mngesema ni kwasababu ya siasa, wakati sheria ipo wazi.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Uelewa wako mdogo kuhusu utakatishaji fedha. Isiwe sababu ya kutaka kupotosha umma. Kasome sheria upate uelewa, siyo kila kitu siasa. Maana hapo angeshtakiwa mwanasiasa mngesema ni kwasababu ya siasa, wakati sheria ipo wazi.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Watu bhana mnamajibu ya papo kwa hapo.ila anayeteka watu kisa kakosolewa ndo anaongeza na kujenga nguvu kazi ya Taifa,I love this country
Na sisi wa chaputa?!...wacheni zenu za kingeseSahihi kabisa ,utoaji wa mimba ni kulihujumu taifa(kuua nguvu kazi)
Kwa msingi huo hakuna kosa la jinai lisilo la kulihujumu taifa.Sahihi kabisa ,utoaji wa mimba ni kulihujumu taifa(kuua nguvu kazi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mtoa taharifa atakuwa mchaga maana wao kwenye ku-exaggerate mambo huwa hawajambo, kitu kidogo tu utasikia Yeeeesuuu na mariaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23], wachaga oyeeeHii nchi ni masikini. Niliposikia "utakatishaji wa kitita kikubwa cha pesa za kitanzania cha shilingi 260,000 ( laki mbili na elfu sitini )" Nikajua ni milion 260 kumbe laki 2 na elfu 60. Ha ha ha ha