Punguzeni kuishi kwa stori za vijiweni..
Umewahi shuhudia au unasikia kama mimi tu!
Mtapata tabu sana tafuteni kazi zingine umbea haulipiWatu bhana mnamajibu ya papo kwa hapo.
Utakimbia tu kama Kawe alumni na nduguze akina state agent ussrMtapata tabu sana tafuteni kazi zingine umbea haulipi
Unaambiwa huyo Kawe Alumni baada ya kunyimwa posho kajiuzuluUtakimbia tu kama Kawe alumni na nduguze akina state agent ussr
Duuuuhuuuuui napita tu wacha likizo iishe nirudi zangu mambele mbeleDaktari wa clinic moja iliyopo Sinza leo amepandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
View attachment 1305016
Kila kitengo au idara inayoongozwa na msukuma iwe halmashauri au taasisi tu Kuna shida. Ubabe mwingi kuonea watu, yaani ni hatari hii jamii.
Mwalimu Nyerere alishauri makabila yenye idadi kubwa ya watu haifai kupewa madaraka makubwa lakini wapi.
Mtu toka anazaliwa anaona ng'ombe tu, atakuwa na uwezo wa kufikiri nje ya box?
JK aliwakabidhi washamba madaraka wacha tuumie tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa mwendo ni huo
DPP wetu ana akili kushinda Katiba ya NchiHivi huyu dpp anajua kutofautish kati ya kutakatisha fedha na Rushwa. Ujinga wa kiwango cha reli
Case study ina-conclusion yenye facts. Tuambie labda wewe unajua wako wapi.
Case study inasifa ya kuitwa ni utafiti. Sasa kama wewe umefanya hizo Case study kuhusu hao wahusika basi unamajibu ya maswali ya wengi kuhusu walipo.