Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Ustaadh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli ndiyo walivyo. Anatapeli kwa kutumia fani ambayo haiba yake vinaendana.Ila ana sura ya kidaktari kabisa.
Hajabanwa kengele huyo,akibanwa na wenye fani yao mbona atautaja mtandao wake wote!!Pamoja na yooote mwamba sio snitch kabisaa. Amewalinda wataalam waliomtengenezea vitambulisho n.k maana anajua kbsa akimwaga mchele akija kitaa hapatakalika
Alichomaanisha hata yeye hakijui ndio maana kaweka kapotea kalagabaoTufafanulie basi ulichokusudia kusema kiongozi 🤔🤔
Hakuna daktari fake hapo. This is stagedTufafanulie basi ulichokusudia kusema kiongozi 🤔🤔
Dokta nani huyo umemuweka?Hakuna daktari fake hapo. This is staged
Kwamba suala lipo kimkakati sio?🤔🤔Hakuna daktari fake hapo. This is staged
Oukay...Asante kwa kutuelewesha mkuuAnamaanisha kavalishwa ikiwa ni njia ya kuwatoa wananchi kwenye mijadala serious kama huu wa DIPI WELDI
Angepeleka jukwaa la siasaKwamba suala lipo kimkakati sio?🤔🤔
naona ametusaidia akina mimi hapa tusiendaga hayo majukwaa😃😃Angepeleka jukwaa la siasa