Daktari FEKI akamatwa Muhimbili

Daktari FEKI akamatwa Muhimbili

Pamoja na yooote mwamba sio snitch kabisaa. Amewalinda wataalam waliomtengenezea vitambulisho n.k maana anajua kbsa akimwaga mchele akija kitaa hapatakalika
 
Ngoja nikukumbushe ndugu Mtanganyika

1. Kikombe cha babu
2.Dokta Shika
3. Piere liquid. Etc etc

Na mengineo Nahisi utakuwa umenielewa...

Nchi hii ina mazigaombwe mengi sana hasa pale inapoelemewa na mambo

Screenshot_20230830-181927.jpg
 
Huyu ni Daktari?

JKT Queens Mabingwa wa CECAFA Wanawake 2023

Wamechukua ubingwa huko Uganda.
 
Tufafanulie basi ulichokusudia kusema kiongozi 🤔🤔
 
Shida mnapenda kuwaza nje ya boksi sana
Hio ni issue ni kweli imetokea leo asubui mwaisela na huyo jamaa mara nyingi tu hata nmekutanana nae nmeshangazwa alivosema hana muda mrefu

ALAFU NI MWANANCHI BWA MUSA
 
Anamaanisha kavalishwa ikiwa ni njia ya kuwatoa wananchi kwenye mijadala serious kama huu wa DIPI WELDI
 
Back
Top Bottom