Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo imeshakua biashara za watu sio kingine
WatWapata mashuwa,wavivu tuSidhani kama gharama yake kila mtu anaweza kumudu, hivi ni sh ngapi?
Halafu siyo kweli kuwa kilo 80 ni madhara kwa kila mtu!! Inategemea huyo mtu:Fanyeni mazoezi
Kg 80 zinakatika vizuri tu
Acheni uvivu
Mistake kuliwa pesa zenu kizembe
Ova
Kuwa na uzito mkubwa haina maana uwe na kitambi!! Kitambi si afya lakini uzito mkubwa si mara zote ni kiashiria cha afya mgogoro. Inategemea na urefu wa mtu na mazoezi ya mtu pia. Si kila mtu mzito ana kitambi na si kila mtu mwenye uzito kidogo hana kitambi!! Ipate hiyo!!Mtu anatakiwa ajishtukie tu, kitambi hakina faida, unene hauna faida
Hajasema gharama na silazimaSidhani kama gharama yake kila mtu anaweza kumudu, hivi ni sh ngapi?
Ulipunguzaje hizo kilo 14?
Umeongea sahihi ..kuna uwiano kati ya urefu/ kimo na uzito wa mwili ambao unapimwa kwa kipimo kiitwacho BMIHalafu siyo kweli kuwa kilo 80 ni madhara kwa kila mtu!! Inategemea huyo mtu:
1. Ana urefu gani
2. Je hufanya mazoezi?
Kilo 80 kwa mtu mwenye urefu wa zaidi ya cm 180 wala si tatizo kwake! Pia kilo 80 kwa mtu mwenye mazoezi ya kutosha pia si tatizo kabisa kwake!!
Jueni pia kuwa kazi ya mazoezi siyo kupunguza uzito, bali ni kukuwezesha kuumudu na kuubeba uzito wako bila kulemewa! Mazoezi yanakujengea misuli itakayokupa nguvu ya kumudu kuubeba uzito wako!! Ila mazoezi yanaenda na lishe bora ili yakupe matokeo bora yaliyokusudiwa!! Usishangae ukifanya mazoezi halafu badala ya uzito kupungua kinyume chake uzito unaongezeka kiasi fulani lakini bado utajisikia ni mwepesi!! Maana unaumudu vizuri uzito wako!! Msitishwe na hao wafanyabiashara wa maputo, wanachofanya ni kuganga njaa tu!!
Puto likishatolewa unaendelea ma maisha yaleyale matokeo yake unarudi palepale.Fanyeni mazoezi
Kg 80 zinakatika vizuri tu
Acheni uvivu
Mistake kuliwa pesa zenu kizembe
Ova