Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi!Napinga ushoga ila daktari kaudharirisha udaktari!Uwazi c hitimisho la kuingiliwa!Watoe video tu waachane na mambo ya ramadhani liwe hitimisho mahali kokote duniani uwazi c hitimisho may be immediately wangekuta sperms!
Kaamua mwenyewe kutoa mkondu nyie mnamfunga! Mfireni huyoShahidi namba moja Dkt. Fahad Nassor Mohammed katika kesi namba 59 ya Mwaka 2023, inayomkabili Mshtakiwa Ramadhan Hassan Ali ambaye anashtakiwa kutenda makosa mawili ikiwemo kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na kosa la pili la maudhui ya king’ono ametoa ushahidi wake mbele ya Mahakama ya Mkoa Vuga, Mjini Unguja.
Akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Mkoa Vuga, Khamis Ali Simai amesema baada ya kumfanyia mtuhumiwa uchunguzi alibaini kuwepo kwa uwazi katika sehemu za siri za nyuma zenye uwezo wa kupitisha vidole viwili jambo linaloashiria kuingizwa kitu kigumu kutoka nje.
Shahidi wa Pili katika kesi hiyo Sajenti wa Polisi, Ame Suleiman Ame amethibitisha mbele ya Mahakama kuwa yeye ndie aliyempiga picha mshtakiwa Ramadhani Hassan baada ya kukamatwa na Polisi kwa kutuhumiwa kutenda kosa na picha hizo kutumika kama kielelezo cha kumtambua mshtakiwa wa kesi hiyo.
Kwa upande wa Wakili wa Utetezi, Hassan Kijogoo aliibua maswali kwa mashahidi wote wawili akitaka kufahamu kabla ya uchunguzi huo wa kitabibu kufanyika ridhaa ilipatikana kutoka kwa mhusika na kumtaka shahidi athibitishe kielelezo cha ridhaa hiyo.
Shahidi alisema alipata ridhaa ya kauli kutoka kwa mshtakiwa Ramadhani.
Hata hivyo, Wakili kutoka Ofisi ya Muendesha wa Mashtaka wa Serikali, Mohammed Saleh ameiomba Mahakama kuzuia vielelezo vya ushahidi mwengine wa video ukionyesha tendo likifanyika ili kuheshimu mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Kesi hiyo imeharishwa hadi tarehe 17 Aprili, 2023 huku mshtakiwa akiendelea kuwa rumande.
Chanzo: Wasafi TV
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bichwa komwe njoo uchangie, nimekumiss kweli.
Wana bahati Hawa washenzi katiba yetu ni ya kidemokrasia.
MBILI NUKTA SABA.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kipenyo chake ni ngapi?
Mbele nako mbona wanasema haparudi ? Ndio maana kuna wanawake wana bwawaKumbe nyuma hakurudi kama mbele? Panabaki na uwazi?
Sasa kuna raha gani baada ya kufanywa, ukae na uwazi nyuma. Kuna watu wanapenda karaha aah
Mbele panarudi bana Basi Nenda hao unaosema, nafikiri ni maumbile yao yako hivyo tu.Mbele nako mbona wanasema haparudi ? Ndio maana kuna wanawake wana bwawa
😂Una ukorofi, eti panazomea,Mbele panarudi bana Basi Nenda hao unaosema, nafikiri ni maumbile yao yako hivyo tu.
Nimeshangaa ya nyuma, panabaki panazomea kama ushahidi....
Nimekwambia hivyo sababu nimepitisha mtoto, but huwezi amini hata ambayo si kubwa imenichubua na kuingia tabu. Natumaini umelewa.😂Una ukorofi, eti panazomea,
Haya nitafanya research kuona kama mbele panarudi
Hii comment ichunguzweᵐᵇ.... ʸᵃ ᵐᵏ...ᵐˢⁱᶠᵃⁿʸᵉ ᵐᶜʰᵉᶻᵒ
Wanaangalia ukubwa wa kipenyo na urefu kina[emoji1787]Mnahangaika na mambo ya kipuuzi si kaamua mwenyewe.
Mpeni adhabu basi sasa kumtia vidole tena nyuma viwili ndo nini?
Ni yaleyale tena
Katika kupima kipenyo na tundu usikute jamaa kampanda tena😅😅😅.Wanaangalia ukubwa wa kipenyo na urefu kina[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anazingua tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Auawe kbsShahidi namba moja Dkt. Fahad Nassor Mohammed katika kesi namba 59 ya Mwaka 2023, inayomkabili Mshtakiwa Ramadhan Hassan Ali ambaye anashtakiwa kutenda makosa mawili ikiwemo kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na kosa la pili la maudhui ya king’ono ametoa ushahidi wake mbele ya Mahakama ya Mkoa Vuga, Mjini Unguja.
Akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Mkoa Vuga, Khamis Ali Simai amesema baada ya kumfanyia mtuhumiwa uchunguzi alibaini kuwepo kwa uwazi katika sehemu za siri za nyuma zenye uwezo wa kupitisha vidole viwili jambo linaloashiria kuingizwa kitu kigumu kutoka nje.
Shahidi wa Pili katika kesi hiyo Sajenti wa Polisi, Ame Suleiman Ame amethibitisha mbele ya Mahakama kuwa yeye ndie aliyempiga picha mshtakiwa Ramadhani Hassan baada ya kukamatwa na Polisi kwa kutuhumiwa kutenda kosa na picha hizo kutumika kama kielelezo cha kumtambua mshtakiwa wa kesi hiyo.
Kwa upande wa Wakili wa Utetezi, Hassan Kijogoo aliibua maswali kwa mashahidi wote wawili akitaka kufahamu kabla ya uchunguzi huo wa kitabibu kufanyika ridhaa ilipatikana kutoka kwa mhusika na kumtaka shahidi athibitishe kielelezo cha ridhaa hiyo.
Shahidi alisema alipata ridhaa ya kauli kutoka kwa mshtakiwa Ramadhani.
Hata hivyo, Wakili kutoka Ofisi ya Muendesha wa Mashtaka wa Serikali, Mohammed Saleh ameiomba Mahakama kuzuia vielelezo vya ushahidi mwengine wa video ukionyesha tendo likifanyika ili kuheshimu mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Kesi hiyo imeharishwa hadi tarehe 17 Aprili, 2023 huku mshtakiwa akiendelea kuwa rumande.
Chanzo: Wasafi TV
😍Huwa napenda sana unavofunguka ndio mana nikiona ume comment nakuchokoza, nakuja PM kwa mengine zaidiNimekwambia hivyo sababu nimepitisha mtoto, but huwezi amini hata ambayo si kubwa imenichubua na kuingia tabu. Natumaini umelewa.
Hiyo ya bwawa ni maumbile tu, kama ilivyo wanaume wana kubwa na ndogo. Nasisi ni hivyo. Ukifanya utafiti, unipe feedback... Basi Nenda
Huyo wakili anaemtetea huyo mpumbavu inafaa afanyiwe uchunguzi pia