Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

Hiki kipimo cha kuingizwa vidole viwili kamwe siyo kipimo himilivu.
 
Hizi kesi unafanya uchunguzi wa nn wakati videos zinaonesha kabisa jamaa analilia mkunyenge. Huyu kupigwa shaba hadharan tu wenzake wajifunze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha sheria ifuate mkondo wake.
 
Naona maswali muhimu sana ambayo sina hakika kama yameulizwa ni;

1. Shihidi aieleze Mahakama kama yeye ni mtaalamu wa mfumo wa chakula wa mwanadamu na kama ametoa ushahidi
Kwa kweli, yaan natamani hii case mie wakili wa utetezi wa afande Rama, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbna mahakama ingefurahiii.
 
Mnahangaika na mambo ya kipuuzi si kaamua mwenyewe.
Mpeni adhabu basi sasa kumtia vidole tena nyuma viwili ndo nini?
Ni yaleyale tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanamtekenyaaa na ndoleee.
 
Afande rama shikilia hapo hapo, hii case ndogo kwakoo, kwanza hadi hapa hii ni irrelevant case,

Ushahidi wa kuingiliwa kinyume na maumbile ni sperms, yaan shahawa sasa km hajakutwa nazo, case inaendelea vipi???

Afande rama aachiwe huru. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu weuweeeeer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…