Daktari wa Familia: Membe amefariki kifo cha kawaida, puuzeni uzushi

Daktari wa Familia: Membe amefariki kifo cha kawaida, puuzeni uzushi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Daktari wa Familia ya aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe, Prof.Harun Nyagori, ameongelea kifo cha Membe kilichotokea leo katika Hospitali ya Kairuki Jijini Dar es salaam ambapo amesema Membe amefariki kifo cha kawaida na kuwataka Watu wapuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa ameuawa.

Dr. Haroun amesema “Dr.Membe amekuwa na afya zake njema katika miaka yote hakuwahi kuwa na ugonjwa wowote wa magonjwa sugu kama kisukari, magonjwa ya moyo, presha hakuwahi kuwa nayo”

“Jana alipata homa ndogo ya kifua, akipata shida ya kukohoa na kubanwa kifua na ilipofika usiku wa kuamkia alfajiri ya leo alishindwa kupumua ghafla akakimbizwa Hospitali”

“Kwa kifupi maradhi haya yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito hiyo ndio imesababisha kifo cha Mh.Membe”

“Tuondoe mawazo potofu ambayo yamekuwa yakizungumzwa mtandaoni kwamba aidha ameuawa au amepewa sumu na vitu kama hivyo, amekufa kifo cha kawaida ambacho Mtu yoyote aidha Mimi au wewe kinaweza kumpata”
 
View attachment 2619127
Daktari wa Familia ya aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe, Prof.Harun Nyagori, ameongelea kifo cha Membe kilichotokea leo katika Hospitali ya Kairuki Jijini Dar es salaam ambapo amesema Membe amefariki kifo cha kawaida na kuwataka Watu wapuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa ameuawa.

Dr. Haroun amesema “Dr.Membe amekuwa na afya zake njema katika miaka yote hakuwahi kuwa na ugonjwa wowote wa magonjwa sugu kama kisukari, magonjwa ya moyo, presha hakuwahi kuwa nayo”

“Jana alipata homa ndogo ya kifua, akipata shida ya kukohoa na kubanwa kifua na ilipofika usiku wa kuamkia alfajiri ya leo alishindwa kupumua ghafla akakimbizwa Hospitali”

“Kwa kifupi maradhi haya yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito hiyo ndio imesababisha kifo cha Mh.Membe”

“Tuondoe mawazo potofu ambayo yamekuwa yakizungumzwa mtandaoni kwamba aidha ameuawa au amepewa sumu na vitu kama hivyo, amekufa kifo cha kawaida ambacho Mtu yoyote aidha Mimi au wewe kinaweza kumpata”
Kwenye wengi pana mengi...
 
View attachment 2619127
Daktari wa Familia ya aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe, Prof.Harun Nyagori, ameongelea kifo cha Membe kilichotokea leo katika Hospitali ya Kairuki Jijini Dar es salaam ambapo amesema Membe amefariki kifo cha kawaida na kuwataka Watu wapuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa ameuawa.

Dr. Haroun amesema “Dr.Membe amekuwa na afya zake njema katika miaka yote hakuwahi kuwa na ugonjwa wowote wa magonjwa sugu kama kisukari, magonjwa ya moyo, presha hakuwahi kuwa nayo”

“Jana alipata homa ndogo ya kifua, akipata shida ya kukohoa na kubanwa kifua na ilipofika usiku wa kuamkia alfajiri ya leo alishindwa kupumua ghafla akakimbizwa Hospitali”

“Kwa kifupi maradhi haya yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito hiyo ndio imesababisha kifo cha Mh.Membe”

“Tuondoe mawazo potofu ambayo yamekuwa yakizungumzwa mtandaoni kwamba aidha ameuawa au amepewa sumu na vitu kama hivyo, amekufa kifo cha kawaida ambacho Mtu yoyote aidha Mimi au wewe kinaweza kumpata”

Hivi kunakuwa na kifo kisicho cha kawaida?
 
“Kwa kifupi maradhi haya yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito hiyo ndio imesababisha kifo cha Mh.Membe”
Kitaalamu ugonjwa waitwaje, takwimu zinasemaje kuhusu idadi ya watu waliokufa kwa ugonjwa huo happa nchini
 
View attachment 2619127
Daktari wa Familia ya aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe, Prof.Harun Nyagori, ameongelea kifo cha Membe kilichotokea leo katika Hospitali ya Kairuki Jijini Dar es salaam ambapo amesema Membe amefariki kifo cha kawaida na kuwataka Watu wapuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa ameuawa.

Dr. Haroun amesema “Dr.Membe amekuwa na afya zake njema katika miaka yote hakuwahi kuwa na ugonjwa wowote wa magonjwa sugu kama kisukari, magonjwa ya moyo, presha hakuwahi kuwa nayo”

“Jana alipata homa ndogo ya kifua, akipata shida ya kukohoa na kubanwa kifua na ilipofika usiku wa kuamkia alfajiri ya leo alishindwa kupumua ghafla akakimbizwa Hospitali”

“Kwa kifupi maradhi haya yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito hiyo ndio imesababisha kifo cha Mh.Membe”

“Tuondoe mawazo potofu ambayo yamekuwa yakizungumzwa mtandaoni kwamba aidha ameuawa au amepewa sumu na vitu kama hivyo, amekufa kifo cha kawaida ambacho Mtu yoyote aidha Mimi au wewe kinaweza kumpata”
Fitina za 2025 zimeanza rasmi
 
View attachment 2619127
Daktari wa Familia ya aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe, Prof.Harun Nyagori, ameongelea kifo cha Membe kilichotokea leo katika Hospitali ya Kairuki Jijini Dar es salaam ambapo amesema Membe amefariki kifo cha kawaida na kuwataka Watu wapuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa ameuawa.

Dr. Haroun amesema “Dr.Membe amekuwa na afya zake njema katika miaka yote hakuwahi kuwa na ugonjwa wowote wa magonjwa sugu kama kisukari, magonjwa ya moyo, presha hakuwahi kuwa nayo”

“Jana alipata homa ndogo ya kifua, akipata shida ya kukohoa na kubanwa kifua na ilipofika usiku wa kuamkia alfajiri ya leo alishindwa kupumua ghafla akakimbizwa Hospitali”

“Kwa kifupi maradhi haya yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito hiyo ndio imesababisha kifo cha Mh.Membe”

“Tuondoe mawazo potofu ambayo yamekuwa yakizungumzwa mtandaoni kwamba aidha ameuawa au amepewa sumu na vitu kama hivyo, amekufa kifo cha kawaida ambacho Mtu yoyote aidha Mimi au wewe kinaweza kumpata”
Zogo za mitandaoni zinatokana na sababu zifuatazo:

1. Wafuasi/mashabiki/washirika wake walishangilia kifo cha JPM kana kwamba wao ni immortals (hawatakuja kufa)

2. Ugonjwa wa kupumua uliokuwa ukitumika kumkejelia JPM ndio huo ulio muondoa BCM

3. Alishupaza shingo alipo ambiwa asamehe na viongozi wa kiroho...huku viongozi wa kiroho wakitukanwa na kukejeliwa na wafuasi/mashabiki wake
 
View attachment 2619127
Daktari wa Familia ya aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe, Prof.Harun Nyagori, ameongelea kifo cha Membe kilichotokea leo katika Hospitali ya Kairuki Jijini Dar es salaam ambapo amesema Membe amefariki kifo cha kawaida na kuwataka Watu wapuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa ameuawa.

Dr. Haroun amesema “Dr.Membe amekuwa na afya zake njema katika miaka yote hakuwahi kuwa na ugonjwa wowote wa magonjwa sugu kama kisukari, magonjwa ya moyo, presha hakuwahi kuwa nayo”

“Jana alipata homa ndogo ya kifua, akipata shida ya kukohoa na kubanwa kifua na ilipofika usiku wa kuamkia alfajiri ya leo alishindwa kupumua ghafla akakimbizwa Hospitali”

“Kwa kifupi maradhi haya yanatokana na virusi ambavyo vinazunguka vinaingia kwa njia ya hewa vinasababisha mgando kwenye mfumo wa mapafu, damu inakuwa nzito hiyo ndio imesababisha kifo cha Mh.Membe”

“Tuondoe mawazo potofu ambayo yamekuwa yakizungumzwa mtandaoni kwamba aidha ameuawa au amepewa sumu na vitu kama hivyo, amekufa kifo cha kawaida ambacho Mtu yoyote aidha Mimi au wewe kinaweza kumpata”
Asitupangie chakuamini,,
 
Back
Top Bottom