Daktari wa Familia: Membe amefariki kifo cha kawaida, puuzeni uzushi

Maisha ni fumbo kubwa sana Yule aliyekuwa akitetemeka mwenye mvi...waliimba sana huyu ni wakuondoka kesho ila wale walikuwa na afya njema wakaenda Leo wamemuacha Bado yupo!...hii inatufundisha nn? Pumzika Kwa amani Membe... Jamani sijasema nimewaza tu Kwa sauti..[emoji1732][emoji1732][emoji125][emoji125]
 
Dr. ameongea too much. Toa taarifa inatosha usishindane na watu.
 
Kwa maelezo haya ya daktari, Je, yaweza kuwa Covid 19?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Namba tatu ilinisikitisha sana wakati neno kuu kwenye ukristu ni Upendo na Msamaha
 
Binadam aliyezaliwa na mwanamke hana siku nyingi za kuishi duniani,kila binaadam atakufa ni matter of time tu.


Yes aliamua, jasusi akarudi chamani May 2022 kabla ya hapo kulikuwa na dhoruba kali.



Imetulia tangu 2021 -03 - 17.
Basi sawa..

Wema hawafi
 
Japo nimemwelewa msemaji wa familia, lakini hoja iko palepale: hakuna ushahidi wowote kwamba ni kweli BM amefariki kwa ugonjwa wa kawaida.

Where is the evidence? Should we just take his mere words for it? What if he's lying?

Truth be told, ^changamoto ya kifua^ au ^changamoto ya upumuaji^ imesingiziwa sana vifo vya watu wengi, ambavyo most likely vimetokana na sababu nyinginezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…