Daktari wa Saikolojia Charity na Mtangazaji wa Radio One Haji leo mmetuangusha Wanaume kwa Kuukiri huu Udhaifu

Daktari wa Saikolojia Charity na Mtangazaji wa Radio One Haji leo mmetuangusha Wanaume kwa Kuukiri huu Udhaifu

Kuna nyuzi tu ukisoma heading kabla ya kuufungua unajua umeletwa na kubwa la "ma.popoma" SAUT graduate.
 
Pole mzee mwenzangu Genta, tuvumilie, japo najua kilichokuudhi zaidi ni hiyo kusema publicly kuwa tunatumwa! Hahaa
 
Kuna nyuzi tu ukisoma heading kabla ya kuufungua unajua umeletwa na kubwa la "ma.popoma" SAUT graduate.
Kinachonifanya Niwadharau na kuwaona ni Wapumbavu na Wendawazimu ni nyie Wenyewe Kukiri Kila Siku ( 24/7 ) hapa JamiiForums kuwa HAMNIPENDI na MNANICHUKIA lakini bado 24/7 mnanisoma ( threads ) na mnafuatilia ( posts ) zangu hapa.
 
WATU WANAPO KUWA NYUMA YA MIC, WENGI WANAONGEA WASIOFANYA.
WENGI NI MAIGIZO ZAIDI

TUKO KWENYE ZAMA ZA UMAMA UMAMA, UKITAKA SIFA NA FOLLOWERS WE ONGEA KIMAMA MAMA.

KUFANYA YOTE HAYO SIO KINGA YA KUZIA KUMZUIA MKE KUTIWA!
 
Ukisha penda haina kutumwa automatic unajikuta unaenda sokoni unafua unapika na vinginevyo ni upendo tu
Mkipendana mtasaidiana majukumu
 
Leo katika Kipindi Bora duniani cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima Daktari wa Saikolojia Genius Charity Xavier Johnson na Kaka yangu Mtangazaji Haji Kibwana wamesema Kauli iliyoniumiza na Kuhisi huenda na Wao sasa wameshakamatika vilivyo na Wake ( Shemeji zangu ) huko Makwao.

Ni kwamba Wanaume Wote hawa Wawili kwa Vinywa vyao vilivyotukuka WAMEKIRI kuwa huwa WANATUMWA na Wake zao.

Dk. Charity ndiyo akanitibua zaidi aliposema kuwa Yeye humbebea hadi Ndoo ya Maji Mkewe huku Mtangazaji Haji Kibwana akisema Yeye huenda Kuhemea Mahitaji yote ya Mkewe Sokoni na Kwingineko.

Na muda mfupi tu uliopita nimetoka Dukani na kukutana na Bwege Mwingine ( Mwanaume ) kaja Dukani kumnunulia Mkewe Pedi ya HC na halina hata Aibu au Wasiwasi ikiashiria yaami Limerogwa na Mkewe hadi Kushindikana.

Kudadadeki hivi kabisa Mwanamke unaanzaje Kunituma na Kunipelekesha utakavyo GENTAMYCINE zao Tukuka kutoka Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara?

Dk. Charity natamani mno nijue Kabila lako ili kama unatoka haya Makabila ya Watani zangu na Malofa ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi nikupige sana Madongo hapa.

Na mlivyokuwa Mkipopomika hivi mlifamfanya Dada yangu Mpendwa Mtangazaji Mrembo wa Television kuliko Wote nchini Tanzania Farhia Middley awe na Furaha isiyo na Kifani hadi nikajiuliza au Amewaahidi Ofa ya Supu mahala baada ya Kipindi ndiyo maana Mkakengeuka / Mkapopomika hivi na Kuonyesha Udhaifu wenu?

GENTAMYCINE nikiwa kama Rais wa Wanaume Wababe, Majasiri na Wasiopelekeshwa na Mke, Mpenzi au Hawara niseme tu kuwa leo Dk. Charity na Mtangazaji Haji Kibwana mmeniangusha mno.
Mhe. Rais nakuunga mkono kwa hilo, kwa huu msimamo utaendelea kwenye nafasi yako tutaendelea kukupa kura za kutosha
 
Back
Top Bottom