Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari zenu.?
Naomba kujua jina na hospitali pia mawasiliano ya daktari wa magonjwa ya wanaume.(specialist)
Mimi nipo Arusha.
Nisingependa kuandika hapa tatizo linalonisumbua ila nataka kuonana na daktari face to face.
Asanteni wote.
Naomba kujua jina na hospitali pia mawasiliano ya daktari wa magonjwa ya wanaume.(specialist)
Mimi nipo Arusha.
Nisingependa kuandika hapa tatizo linalonisumbua ila nataka kuonana na daktari face to face.
Asanteni wote.