Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi la zimamoto litafika hapo kesho asubuhi
Kwa hiyo sasa ni jivu tu limebakiaGari imewaka hadi imeisha tangu asubuhi mapema sana.
sasa fafa anafaa hapoStage three
Kuwe na mkazo, na ongezeko la adhabu kwa yule ambae atakutwa hana huo mtungi ndani ya gari yake.Itunge sheria ziwe mbili? Au ya sasa zile fire extinguisher hazifai?
Sheria ipo mkuu, ila wahusika hawaifuatilii.Serikali itunge sheria kwamba kila basi linalobeba abiria liwe na fire protection system, kwa ajili ya usalama wa abiria, dereva pamoja na gari zenyewe. Hii itasaidia kuepusha ajali mbalimbali zitokanazo na moto.
Watanzania wengi bado hawajawahi na elimu ya kudhibiti moto pale unapoanza kuwaka katika magari au majumba mbali mbali. Wengi hukimbilia kuuzima moto huo kwa njia ya maji na mchanga, kitu ambacho huchochea ongezeko la moto katika sehem husika.
Hapo zimamoto wame fail maana hiyo gari imeteketea 80%Nimepita hapo saa 1 asbh lilikua linawaka
Moto utakua ushazimwa maana fire walikuwepo muda ule
UNAJUA MAN POWER ILIOPO NCHI NZIMA MZEE UKIONDOA VITENDEA KAZI ?Sheria ipo mkuu, ila wahusika hawaifuatilii.
Yapo hayaKivipi mkuu 😂😂😂? Ulitakiwa uanze kuwapa kwanza pole, afu ukishajua chanzo ndo ulaumu.
By that time naliona moto ulikua umekolea balaa hata kama wamezima ila gari lishaharibika halifai tenaHapo zimamoto wame fail maana hiyo gari imeteketea 80%
Hawajafa wadau?By that time naliona moto ulikua umekolea balaa hata kama wamezima ila gari lishaharibika halifai tena
Sijajua, i hope abiria waliwahi kutoka.Hawajafa wadau?
NDIO MANA NIMEMUULIZA MWAMBA KWANI APO HAKUNA CHOCHOTE BADO HATUA MBILI TU TUANZE KUONA JIBU HATA OBJECT YENYEWE ISHAANZA KUBADILIKA SHAPE MANDaladala ndo naisha hivo.