Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo la kushurukuru hilo. Maana kwa huo moto ulivyo mkali ingekuwa habari ingineMadirisha ndio yalikuwa milango yao.
TUYAACHE TU KAKA ILA NASISITIZA ZIMAMOTO NI IDARA MUHIMU NA IKIWEKEWA MIUNDO MBINU VIZURI HAKUNA LINALOSHINDIKANA HIVI KIONGOZI HAYO MAENEO KUNA HYDRANT YEYOTE ILE KWELI AROUND AU NDIO VIBAO VYA 50 SPEED VINATAMALAKI TU HAPO?Nope, tupe somo mkurugenzi!
Ushachangia milioni 100 au 900 zako bima na biashara inaenda kufa hujawahi pata faida ya Bima kwanini wasiyachome wavute malipo wananunua toleo jipya.😂😂😂 ok mkuu nishaelewa somo.
Maana daldala zetu zinajaza watu kama mizigo. Mungu anatulinda sanaYani ni kumshukur Mungu sana, maana saa hizi tungekuwa tunaongea mengine. Huku machozi ya kupoteza watanzania wenzetu yakitububujika.
Mkuu kama unavyosema, hii idara ingeongezewa umakini na kufanywa kuwa moja ya idara muhimu nchini.TUYAACHE TU KAKA ILA NASISITIZA ZIMAMOTO NI IDARA MUHIMU NA IKIWEKEWA MIUNDO MBINU VIZURI HAKUNA LINALOSHINDIKANA HIVI KIONGOZI HAYO MAENEO KUNA HYDRANT YEYOTE ILE KWELI AROUND AU NDIO VIBAO VYA 50 SPEED VINATAMALAKI TU HAPO ?
Masharti hapo 🤠🤠Huu moto umekaa kama vile wa Mchongo moto kutoka kilingeni
Itakuwa tuMasharti hapo [emoji1783][emoji1783]
Kwenye biashara za mabasi ndio zaoItakuwa tu