Tetesi: Daladala route ya K.koo na Posta toka Mbezi na Kimara imezuiliwa

Tetesi: Daladala route ya K.koo na Posta toka Mbezi na Kimara imezuiliwa

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,644
Reaction score
1,648
Habari wana board..

Leo wakati Niko kwenye daladala toka Mbezi kwenda Simu2000 nilimsikia konda akitoa hii hoja.

Kwa maelezo yake ni kuwa kwa sasa ni magari ya mwendo kasi tuu ndio yanayo ruhusiwa kuchukua abira kutoka Mbezi, Kimara kwenda k.koo na Posta.

Daladala ambazo zilikuwa zinatumika kwa njia hiyo, kwa sasa zinatakiwa kuishia Ubungo.

Lakini kubwa zaidi ni hili, magari ya mwendo kazi hayabebi mzigo wa aina yoyote, sasa kama tujuavyo k.koo ni sehemu ambayo wafanyabiashara wengi wanaenda kuchukua bidhaa zao, hii kwa upanda Fulani itaongeza ugumu wa biashara kwa wafanyabiashara Hawa.

Lakini pia hata kwa wale wanaoenda Posta, yaani feri, Hawa pia watakutana na ugumu.

Baadhi ya watu wa daladala walienda Sumatra kulalamika, lakini jibu LA Sumatra ni kuwa na wao wamepewa order ya kufanya hivyo, ingawaje wanajua kuwa italeta changamoto kwa abiri.

Wakatoa ushauri kuwa, abiria na wadau wengine waandike barua ili wao wapate nguvu ya kupata sehemu ya kusimamia na kurudisha utaratibu wa awali.

Kumbuka, hizi ni tetesi, kama kuna mtu ana maelezo kamili tafadhali tujuze ili tuweze kulipinga Kwa pamoja.
 
Habari wana board..

Leo wakati Niko kwenye daladala toka Mbezi kwenda Simu2000 nilimsikia konda akitoa hii hoja.

Kwa maelezo yake ni kuwa kwa sasa ni magari ya mwendo kasi tuu ndio yanayo ruhusiwa kuchukua abira kutoka Mbezi, Kimara kwenda k.koo na Posta.

Daladala ambazo zilikuwa zinatumika kwa njia hiyo, kwa sasa zinatakiwa kuishia Ubungo.

Lakini kubwa zaidi ni hili, magari ya mwendo kazi hayabebi mzigo wa aina yoyote, sasa kama tujuavyo k.koo ni sehemu ambayo wafanyabiashara wengi wanaenda kuchukua bidhaa zao, hii kwa upanda Fulani itaongeza ugumu wa biashara kwa wafanyabiashara Hawa.

Lakini pia hata kwa wale wanaoenda Posta, yaani feri, Hawa pia watakutana na ugumu.

Baadhi ya watu wa daladala walienda Sumatra kulalamika, lakini jibu LA Sumatra ni kuwa na wao wamepewa order ya kufanya hivyo, ingawaje wanajua kuwa italeta changamoto kwa abiri.

Wakatoa ushauri kuwa, abiria na wadau wengine waandike barua ili wao wapate nguvu ya kupata sehemu ya kusimamia na kurudisha utaratibu wa awali.

Kumbuka, hizi ni tetesi, kama kuna mtu ana maelezo kamili tafadhali tujuze ili tuweze kulipinga Kwa pamoja.
Ni kweli mkuu wanadai t.l.b ya root hizo zimeisha na kila wakienda kukata tena wanaambiwa hairuhusiwi tena
 
Na hayo ni moja ya masharti yaliyofikiwa kati ya serikali na hao wanaoendesha huo mradi,kuwa pasiwepo na ruti ya daladala ktk njia hiZo kinyume na hapo ni kukiuka mkataba na kutawafanya hao waendeshaji wa huo mradi kusitisha na kuidai fidia serikali kwa kuvunja makubaliano yao,KINACHOWEZA KUFANYIKA NI KUWASHAWISHI HAO WAENDESHAJI WA HUO MRADI KUKUBALI KUBEBA MIZIGO NA SIO KURUHUSU DALADALA NJIA HIZO.
 
ndo maana nilihama dar nikaenda zangu mikoani kwa adha hiyo hiyo, na mamlaka kutoak juu ni visingizio tu, ni wao wenyewe watu wa kati ili wajipandishe rank
 
Habari wana board..

Leo wakati Niko kwenye daladala toka Mbezi kwenda Simu2000 nilimsikia konda akitoa hii hoja.

Kwa maelezo yake ni kuwa kwa sasa ni magari ya mwendo kasi tuu ndio yanayo ruhusiwa kuchukua abira kutoka Mbezi, Kimara kwenda k.koo na Posta.

Daladala ambazo zilikuwa zinatumika kwa njia hiyo, kwa sasa zinatakiwa kuishia Ubungo.

Lakini kubwa zaidi ni hili, magari ya mwendo kazi hayabebi mzigo wa aina yoyote, sasa kama tujuavyo k.koo ni sehemu ambayo wafanyabiashara wengi wanaenda kuchukua bidhaa zao, hii kwa upanda Fulani itaongeza ugumu wa biashara kwa wafanyabiashara Hawa.

Lakini pia hata kwa wale wanaoenda Posta, yaani feri, Hawa pia watakutana na ugumu.

Baadhi ya watu wa daladala walienda Sumatra kulalamika, lakini jibu LA Sumatra ni kuwa na wao wamepewa order ya kufanya hivyo, ingawaje wanajua kuwa italeta changamoto kwa abiri.

Wakatoa ushauri kuwa, abiria na wadau wengine waandike barua ili wao wapate nguvu ya kupata sehemu ya kusimamia na kurudisha utaratibu wa awali.

Kumbuka, hizi ni tetesi, kama kuna mtu ana maelezo kamili tafadhali tujuze ili tuweze kulipinga Kwa pamoja.

Kiukweli ni Mateso kwa abiria wa njia iyo pindi wawapo na mizigo,,,, na yule mwenyekiti wa wamiliki wa daladala nae hana msaada wowote zaidi ya kujali maslai yake
 
Taxi,Bajaji na Bododaba wale wapi?
Mie nawapongeza kwa kuikatisha route hii ili kipato kigawanyike.

Na nyie watu wa Mbezi na Kimara mmekuwa bahili kuliko wa Mbagala?alaaa
Kama unamzigo ukishuka chukua Bodaboda au taxi au Carry kabisaa na wao wapate
 
Back
Top Bottom