ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Bila kusahau watu wa Mwanza na shombo la samaki 😂😂Hao watu wa dar walishazoea harufu za mizoga kunuka kwa daladala sio ishu kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau watu wa Mwanza na shombo la samaki 😂😂Hao watu wa dar walishazoea harufu za mizoga kunuka kwa daladala sio ishu kwao.
Hakuna siku ikaisha bila kuitaja Mwanza, nenda kapunguze mabanda ya nguruwe ya uko mbeya.Bila kusahau watu wa Mwanza na shombo la samaki 😂😂
Ngoja nije kupanda japo hata sijui nitakuwa naenda wapi ili nami nitalii na kuona wadudu hao wamba.Nina uhakika andiko langu hapa Jamii Forums linaweza kuwafikia watu wengi hasa wenye mamlaka ili ziweze kuchukua hatu.
Hapa Dar usafiri wa watu wengi ni Daladala, kina sisi ambao hatuna uwezo wa kununua magari usafiri huo ndio tunaoutegemea kwa kiasi kikubwa/
Kuna daladala zimekuwa na kawaida ya kuwa chafu kiasi kwamba inakera sana unapoingia kwa ajili ya kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Nakumbuka zamani trafiki wengi walikuwa wakiwakamata madereva na makonda na kuwakagua kuhusu usafi wa mavazi yao. Moja kati ya changamoto kubwa ni daladala za Masaki hadi Gerezani, zimekithiri kwa uchafu.
Nyingi kati ya zinazopiga ruti kwenye njia hizo zimechoka hatari hadi kufikia hatua hadi mnakuta kunguni kwenye daladala, hali ambayo inatia kinyaa sana.
Unaweza kukuta ipo siku kunguni anakuingia mwilini, unafika ofisini au nyumbani unamtoa mdufu huyo.
View attachment 2658333