Daladala za Masaki - Gerezani ni chafu, baadhi zina kunguni

Ngoja nije kupanda japo hata sijui nitakuwa naenda wapi ili nami nitalii na kuona wadudu hao wamba.
 
Yaani hizo biashara wacha kupiga kelele, hata upige nyuklia zitabaki hivyo hivyo kwa kuwa wenyewe ni hao hao trafik, latra na wala nchi
 
Mi naona tatizo ni RUSHWA, matraffic wamesimama balabalani kila siku!.. Na pia umoja wao (uwadar) kati ya majukumu yao ni haya na inabidi isimamiwe na mamlaka husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…