Dalili 16 ya kuonekana na mtu kuwa na ugonjwa wa UKIMWI

Dalili 16 ya kuonekana na mtu kuwa na ugonjwa wa UKIMWI

huu unga wa tangawizi unauzwa au nasaga tangawizi...af babu nilikua nakunywa asali na bapa kabla ya game na karanga ...vp hapo
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/7944be5c2e59a4bd16f3b44f268c6b3e.jpg[/IMG)
Unga wa Tangawizi huu hapa tshs 2000 tu. Kwa Dar unaletewa ulipo,mkoani utatumiwa.
 
huu unga wa tangawizi unauzwa au nasaga tangawizi...af babu nilikua nakunywa asali na bapa kabla ya game na karanga ...vp hapo
3fd5b13867ba61fa34e8d400fdfc8132.jpg

Unga wa Tangawizi(ginger) huu hapa tshs 2000 tu. Kwa Dar unaletewa ulipo,mikoani utatumiwa.
 
huu unga wa tangawizi unauzwa au nasaga tangawizi...af babu nilikua nakunywa asali na bapa kabla ya game na karanga ...vp hapo
Unauzwa unga waTangawizi ukikos aunaweza pia kutumia tangawizi mbichi ukaziponda Tangawizi mbichi kam nusu kilo kisha ukaziweka ndani ya Asali mbichi ya nyuki wadogo isiyo chakachuliwa ukatia ndani yake kisha ukaiacha ikae masaa 24 ndio siku ya pili unakula kijiko 1 asubuhi kabla ya kula kitu na kijiko mchana na kijiko 1 usiku tmia kila siku mpak umalize nenda kajribu kufanya mapenzi utakuja kuniambia mrejesho wako
 
Tiba ya Upungufu waKinga za Mwili aka (Ukimwi) Ipo kw amwenye kutaka anitafute kwa wakati wake niapte kumtibia.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
mpaka upime kwanza ndo utapata uhakika maana UKIMWI na STRESS dalili zake znaendana
 
Wengi huambukizwa kirahisi wakiwa katika hali ya Ulevi wa Pombe.
Usifanye tendo la ngono na mtu usiyemjua afya yake ukiwa umelewa.
Kondom husaidia kwa asilimia ndogo sana, kwa wale wanojua matumizi yake na pia wanafanya kwa tahadhali kubwa.
Dawa jubwa ni,
Kuwa na mpenzi (mke) (mume) mmoja mwaminifu.
 
Wengi huambukizwa kirahisi wakiwa katika hali ya Ulevi wa Pombe.
Usifanye tendo la ngono na mtu usiyemjua afya yake ukiwa umelewa.
Kondom husaidia kwa asilimia ndogo sana, kwa wale wanojua matumizi yake na pia wanafanya kwa tahadhali kubwa.
Dawa jubwa ni,
Kuwa na mpenzi (mke) (mume) mmoja mwaminifu.
Utajuaje kama ni mwaminifu 100%?
 
Dr Sebi Tells How He Cures A.I.D.S




HAYA TENA KWA WENYE MARADHI YA UKIMWI NITAFUTENI NIPATE KUWATIBIA MUPATE KUPONA DAWA IPO.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu
 
16 Signs That May Indicate HIV

View attachment 686699


Within a month or two of HIV entering the body, 40% to 90% of people experience flulike symptoms known as acute retroviral syndrome (ARS). Here are 16 signs that you may be HIV-positive:



Fever Homa zisizo kwishakila siku una maradhi ya Homa

One of the first signs of ARS can be a mild fever, up to about 102 degrees F and is often accompanied by other usually mild symptoms, such as fatigue, swollen lymph glands, and a sore throat.

Fatigue Unakuwa mtu wa kuchoka choka bila ya sababu.

The inflammatory response generated by your besieged immune system also can cause you to feel tired and lethargic. Fatigue can be both an early and later sign of HIV.

Achy muscles, joint pain, swollen lymph nodes kuwashwa washwa kwa misuli ya mishipa, kuumwa na viungo vya mwili,kuvimba kwa tesi ya shingo.

ARS is often mistaken for the flu, mononucleosis, or another viral infection, even syphilis or hepatitis.

Skin rash mwili kuwashwa washwa kusikosikia dawa.

Skin rashes can occur early or late in the course of HIV/AIDS.

Sore throat and headache Vidonda Sugu Vya Koo na kuumwa kwa kichwa kila mara kichwa kisicho sikia dawa.

As with other symptoms, sore throat and headache can often be recognized as ARS only in context, HIV is most infectious in the earliest stage.

Nausea, vomiting, diarrhea Kichefu chefu cha kila siku, Kutapika kusiko kwisha na kuharisha kusiko sikia dawa .

Anywhere from 30% to 60% of people have short-term nausea, vomiting, or diarrhea in the early stages of HIV, these symptoms can also appear as a result of antiretroviral therapy and later in the infection, usually as the result of an opportunistic infection.



Weight loss Kupunguwa mwili kwa kasi sana.

Weight loss is a sign of more advanced illness and could be due in part to severe diarrhea.

A person is considered to have wasting syndrome if they lose 10% or more of their body weight and have had diarrhea or weakness and fever for more than 30 days.

Dry cough Kifua Sugu kikavu kisicho sikia Dawa.

A dry cough that goes on for weeks and doesnt seem to resolve.

Pneumonia Homa ya Mapafu

A serious infection caused by a germ that wouldnt bother you if your immune system was working properly.

Other opportunistic infections include toxoplasmosis, a parasitic infection that affects the brain; a type of herpes virus called cytomegalovirus; and yeast infections such as thrush.

Night sweats Kutoak jasho usiku

These can be even more common later in infection and arent related to exercise or the temperature of the room.

Nail changes Rangi ya kucha kubadilika kuwa rangi nyeusi au rangi ya kahawa inayo sababishwa na Maradhi sugu ya Fungus.

Nails change such as clubbing (thickening and curving of the nails), splitting of the nails, or discoloration (black or brown lines going either vertically or horizontally) due to fungal infection.

Yeast infections Maradhi ya Fungus Sehemu za siri kwa wanawake

Thrush, a mouth infection caused by Candida, a type of yeast.

Confusion or difficulty concentrating kuchanganyikiwa akili unakuw akam vile mtu unaye taka kupatwa na wenda wazimu

In addition to confusion and difficulty concentrating, AIDS-related dementia might also involve memory problems and behavioral issues such as anger or irritability.

Cold sores or genital herpes Malenge lenge mdomoni na Virusi vya visunzua Vilivyoko Sehemu za siri ukeni au kwenye uume visivyo sikia Dawa.

Having herpes can also be a risk factor for contracting HIV. This is because genital herpes can cause ulcers that make it easier for HIV to enter the body during sex.

Tingling and weakness Mwili kutetemeka kusikia uchovu wa mwili bila ya hata kufanya kazi

This is called peripheral neuropathy, which also occurs in people with uncontrolled diabetes.

Menstrual irregularities Matatizo ya hedhi

Advanced HIV disease appears to increase the risk of having menstrual irregularities, such as fewer and lighter periods.


Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu



View attachment 686700
Kaka rudisha avatar yako ya judge Othmane Chande
 
New #57
Hivi MTU Mwenye maambukizi tayari dani ya miaka miwili anaweza kuwa anaongezeka uzito bila kutumia Dawa yoyote,,?? Yani hanywi dozi za ARV na kaambukizwa miaka miwili imepita na akawa anaongezeka uzito??
 
Kama una presha usiende kupima mana waweza ukafa kabla hata majibu hayajaja.
Kweli mkuu. Mie nakumbuka kuna siku watu wa Benki ya Damu walikuja kanisani kwetu kuomba tuchangie damu, basi mie nikawa mmojawapo wa waliochangia damu. Wakatuambia kuwa kama unataka kupata majibu ya damu yako, unaruhusiwa kwenda Bugando huko kwenye benki ya damu utapewa majibu ya damu yako.
Mie nikaona isiwe tabu nikaenda.

Kilichofuatia hapo acha kabisa: Yule mtoa majibu akaniambia maneno ambayo siku sikiliza vizuri zaidi ya kusikia neno POSITIVE.
Nikajikuta makamasi yanatoka, machozi yanatoka. Basi akabaki ananishangaa. Akaniuliza kulikoni mbona unalia?
Nikamjibu "WEWE SI UMESEMA MIMI NI POSITIVE"

Hapo sasa nikaanza kulia kwa sauti kubwa, hadi wenzie wakaja pale kuuliza kuna nini?

Yule dada akawaambia wenzie kuwa "Huyu, nimemwambia kuwa DAMU YAKE NI GROUP O POSITIVE, SASA NASHANGAA AMEPANIC"

😀😀😀😀😀😀😀 looooooh! hapo ndio nikashuka kidogo, nikamwambia mimi sikusikia kama umeongelea group la damu, nimekusikia tu ukisema mimi ni positive. hahahahahhah

Basi wakaniambia kuwa mimi niko FRESH kabisa sina ngoma, wakanipa kadi yao, wakaniomba niwe nachangia damu mara kwa mara.

KUPOKEA MAJIBU SIO MCHEZO aisee
 
Back
Top Bottom