Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 597
- 549
- Thread starter
- #21
Poa mdauHaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mdauHaya.
Na anakwambia, baby hebu waambie unadate na mimi maana nawaambia hawaamini!Hivyo vyote ni lazima kama huna pesa.
Hawezi kuvunja appointment kuhofia kukosa pesa.
Anajali uwepo wako apate pesa.
Kila wakati anakutafuta hadi kero.
Anajichekesha kwako.
Hukutangazi kwa rafiki zake kuogopa kupinduliwa.
SMS moja anajibu kumi.
Tafuta pesa, basi.
Ukiwa name pesa yeye atasema anadate name wewe sio kinyume chake. Sterling ni mwenye pesa. Akidengua wengine wapo kwenye waiting list.Na anakwambia, baby hebu waambie unadate na mimi maana nawaambia hawaamini!
Umejuaje hii situationDalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Babu unajua haya yapo yanatokea kila mahali ivyo unajiongeza tuumejuaje hii situation
Kweli kabisa aiseeUnakuta mtu anaona dalili zote hizi na bado anajipa moyo ya kuwa anapendwa, siku zote akili ndo inasema kuwa upo upande sahihi au lah ila moyo ndio unasimama ktk kile ukipendacho, hivyo basi ni vyema ukaipa nafasi uwezo mkubwa wa kuamua na sio moyo.
Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Hapana aisee hakuna lililonipata aiseeNaona umeamua kutuelezea yaliyokupata / yaliyokusibu kwa aina yake na muundo wa Kipekee wa ' Kutuzuga ' ili tusijue kama siyo kukushtukia. Pole sana Mkuu.
Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Aisee hatari sanaUNgekuwa na Mwanamke Kama mimi ungeumia vibaya sana
Maana hii ndio michezo yangu
Nikikupenda nafanya haya yote ulioandika
Nisipokupenda nafanya kinyume na haya yote ulioandika!
Kila Mwanamke na mambo yake hatufanani!
Inamaanisha wanawake wote ambao mtu hana mahusiano nao kimapenzi watabehave hivi au ambaye mliwahi kupendana akabadilika? Kwa upande wangu nimegundua sipendi kupendwa wala kupenda!Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo
1.Anavunja appointment muda wowote
2.Hajali uepo wako
3.hakutafuti mpaka ww umtafute
4.Anacheka kwa dharau
5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki zake
6.Hajibu sms zako. Hivyo ukiona dalili hizi ndugu yangu jiongeze ila uking'ang'ania utaumia
Hapana ambao ndio mtu anafukuzia huwa ulionesha kumpenda sana anaanza sababu kumbe hakupendi bali anakupoteza muda wakoInamaanisha wanawake wote ambao mtu hana mahusiano nao kimapenzi watabehave hivi au ambaye mliwahi kupendana akabadilika? Kwa upande wangu nimegundua sipendi kupendwa wala kupenda!
Kila domo zege anaamini akiwa na pesa atapata kila dem mzuriHivyo vyote ni lazima kama huna pesa.
Hawezi kuvunja appointment kuhofia kukosa pesa.
Anajali uwepo wako apate pesa.
Kila wakati anakutafuta hadi kero.
Anajichekesha kwako.
Hukutangazi kwa rafiki zake kuogopa kupinduliwa.
SMS moja anajibu kumi.
Tafuta pesa, basi.
Haaaah we jamaaAnacheka kwa dharau! Weka picha kuhusu no 4