braza ki2 usichokijua ni kwamba wazungu wachawi kuliko sisi,angalia moviea zao[hoorro movie] unahabari wajerumali enzi hizo walikuwa wanaua mtu na kumfukia huyo pamoja na hizo pesa? na mpaka leo izo ela hazichukuliki,ulishasika jini la kijeruman???,,,kuna nchi ipo ulaya mashariki,,ni noma!!!,,,,,ukienda kusoma unaambiwa kabisa usifanye utalii maporini,kwani kuna wa huko wanafanya matambiko yao,na wakimuona mgeni wanamtoa kafara!!!!sema tu uzuri wao uchawi wao wanautumia zaidi kwenye sayansi kwa asilimia kubwa kuliko kulogana,,,ila huko vijijni wazungu masikini wanaumizana sana,,ivi unajua sababu ya ukweli ya marekani kuivamia iraq kwa kisingizio cha kwa iraq ina silaha za maangamizi????....ukweli ni kwamba walikwenda kuiba vi2 vya thamani kwenye museum ya iraq amavyo inasemekana wairaq wa kale walikuwa wakibadilishana vi2 vya kimiujiza na wa2 kutoka sayari za mbali nao wa2 pia ndio walijenga pyramids za misri,pia walivunja maktaba nyingi za wairaq na kuiba vitabu vingi sana mbazo walipewa na hao wa2[ [hao wa2 wanajulikana kwa jinaALLIANCE]....hii dunia ina mambo ya siri sana,,nakumbuka nilipokuwa nafanza kazi geita kuna wazungu walikuwa wanakwenda wanatafuta waganga wa kienyeji wale wa ukweli na kwapa pesa nyigi ili wafundishwe uchawi,,,lengo lao ni wizi tu,,,,wanaiba kuanzia nyara za siri,madini,miti shamba ambazo ni tiba,wanaiba mpaaka rasilimali watu [wakigundua unakiapaji,,,,,si unaona kina mbape,,,timu ya taifa ya ya ufaransa asilimia kubwa imejaa wachezaji weusi{naamini unakumbuka biashara ya utmwa]