Dalili nane za kuonyesha unaishi kwenye malango yaliyofungwa (closed gates) katika ulimwengu wa roho

Dalili nane za kuonyesha unaishi kwenye malango yaliyofungwa (closed gates) katika ulimwengu wa roho

Uafrika ni laana,Mungu wabariki wazungu.
braza ki2 usichokijua ni kwamba wazungu wachawi kuliko sisi,angalia moviea zao[hoorro movie] unahabari wajerumali enzi hizo walikuwa wanaua mtu na kumfukia huyo pamoja na hizo pesa? na mpaka leo izo ela hazichukuliki,ulishasika jini la kijeruman???,,,kuna nchi ipo ulaya mashariki,,ni noma!!!,,,,,ukienda kusoma unaambiwa kabisa usifanye utalii maporini,kwani kuna wa huko wanafanya matambiko yao,na wakimuona mgeni wanamtoa kafara!!!!sema tu uzuri wao uchawi wao wanautumia zaidi kwenye sayansi kwa asilimia kubwa kuliko kulogana,,,ila huko vijijni wazungu masikini wanaumizana sana,,ivi unajua sababu ya ukweli ya marekani kuivamia iraq kwa kisingizio cha kwa iraq ina silaha za maangamizi????....ukweli ni kwamba walikwenda kuiba vi2 vya thamani kwenye museum ya iraq amavyo inasemekana wairaq wa kale walikuwa wakibadilishana vi2 vya kimiujiza na wa2 kutoka sayari za mbali nao wa2 pia ndio walijenga pyramids za misri,pia walivunja maktaba nyingi za wairaq na kuiba vitabu vingi sana mbazo walipewa na hao wa2[ [hao wa2 wanajulikana kwa jinaALLIANCE]....hii dunia ina mambo ya siri sana,,nakumbuka nilipokuwa nafanza kazi geita kuna wazungu walikuwa wanakwenda wanatafuta waganga wa kienyeji wale wa ukweli na kwapa pesa nyigi ili wafundishwe uchawi,,,lengo lao ni wizi tu,,,,wanaiba kuanzia nyara za siri,madini,miti shamba ambazo ni tiba,wanaiba mpaaka rasilimali watu [wakigundua unakiapaji,,,,,si unaona kina mbape,,,timu ya taifa ya ya ufaransa asilimia kubwa imejaa wachezaji weusi{naamini unakumbuka biashara ya utmwa]
 
braza ki2 usichokijua ni kwamba wazungu wachawi kuliko sisi,angalia moviea zao[hoorro movie] unahabari wajerumali enzi hizo walikuwa wanaua mtu na kumfukia huyo pamoja na hizo pesa? na mpaka leo izo ela hazichukuliki,ulishasika jini la kijeruman???,,,kuna nchi ipo ulaya mashariki,,ni noma!!!,,,,,ukienda kusoma unaambiwa kabisa usifanye utalii maporini,kwani kuna wa huko wanafanya matambiko yao,na wakimuona mgeni wanamtoa kafara!!!!sema tu uzuri wao uchawi wao wanautumia zaidi kwenye sayansi kwa asilimia kubwa kuliko kulogana,,,ila huko vijijni wazungu masikini wanaumizana sana,,ivi unajua sababu ya ukweli ya marekani kuivamia iraq kwa kisingizio cha kwa iraq ina silaha za maangamizi????....ukweli ni kwamba walikwenda kuiba vi2 vya thamani kwenye museum ya iraq amavyo inasemekana wairaq wa kale walikuwa wakibadilishana vi2 vya kimiujiza na wa2 kutoka sayari za mbali nao wa2 pia ndio walijenga pyramids za misri,pia walivunja maktaba nyingi za wairaq na kuiba vitabu vingi sana mbazo walipewa na hao wa2[ [hao wa2 wanajulikana kwa jinaALLIANCE]....hii dunia ina mambo ya siri sana,,nakumbuka nilipokuwa nafanza kazi geita kuna wazungu walikuwa wanakwenda wanatafuta waganga wa kienyeji wale wa ukweli na kwapa pesa nyigi ili wafundishwe uchawi,,,lengo lao ni wizi tu,,,,wanaiba kuanzia nyara za siri,madini,miti shamba ambazo ni tiba,wanaiba mpaaka rasilimali watu [wakigundua unakiapaji,,,,,si unaona kina mbape,,,timu ya taifa ya ya ufaransa asilimia kubwa imejaa wachezaji weusi{naamini unakumbuka biashara ya utmwa]
Wazungu ndio mashetani kabisa. Romania kuna uchawi wa kutisha.
 
ZIFUATAZO NI BAADHI YA DALILI NANE MUHIMU ZINAZOONYESHA KUWA MALANGO YAKO YAMEFUNGWA NA ADUI🦸🦸🦸

1. UNAPOTEZA KIBALI NA BADALA YAKE UNATAWALIWA NA ROHO YA KUKATALIWA(SPIRIT OF REJECTION).
Inawezekana ikawa kwenye ndoa,uchumi, biashara,uzao,afya,familia,uchumba,kazi,siasa,uongozi(utawala).
Ukiona haupati kibali na unakataliwa basi ujue malango yako ya hiyo sehemu yamefungwa na wachawi.

2.KILA UANZALO KULIFANYA UNAJIKUTA HALIFIKII MWISHO WA UTUKUFU(LINAISHIA NJIANI)
Haijalishi ni biashara,kazi,mradi,kampuni,ndoa,familia,
Na mahali penginepo unashangaa unaanza vizuri lakini unaishia njiani(hauoni kuufikia mwisho wa malengo).

3.KUJIRUDIARUDIA KWA CHANGAMOTO AU TATIZO LINALOFANANA LINALOPELEKEA KUKUZUIA KUSONGA MBELE.
Changamoto hiyo inaweza kuwa ni kuanguka kwa mtaji,
Kuongezeka kwa madeni,ugonjwa,kuibiwa,kufilisiwa,kutapeliwa,kuachika,kufukuzwa,kuaibishwa,
Hali ambayo inajirudiarudia kila mara kwenye eneo hilo.

4.KUKUTANA NA VIZUIZI(VITA KALI) AMBAVYO INAPITA UWEZO AU NGUVU ULIZONAZO.
Ujue kwamba adui akifunga malango anao uhakika wa kwamba huwezi kuvuka kwa namba yoyote ya kibinadamu
Yaani akili zako,nguvu zako Wala uwezo wako.
Yaani vinginevyo Mungu mpaka aingilie kati.

5.JITAHADA YA NGUVU UNAZOTUMIA HAZIENDANI NA MATOKEO UNAYOPATA.
Yaani ni sawa na kupata hasara
Maana unajikuta unatumia nguvu kubwa lakini matokeo madogo,
Kuna waswahili wanasema
"Nguvu tembo,matokeo sisimizi,)

6.HUONI MIPENYO(BREAKTHROUGH)
KWA MUDA MREFU.
Yaani wakati wengine wanafanya hichohicho unachokifanya wanafanikiwa na kuongezeka,
Wewe ndio kwanza unarudi nyuma(backsliding) na muda unazidi kupotea.
🤔🤔

7.KILA MIPANGO YA MAFANIKIO UNAYOPANGA UNAJIKUTA INAHARIBIKA KABLA YA KUITEKELEZA.
Inaweza kuwa mipango ya ndoa, biashara,kazi ,uchumi,familia ,huduma,na mahali penginepo
Unajikuta inaharibika kabla ya kutekelezeka.

8.KUTAWALIWA NA MADENI YASIYO NA SURUHISHO....
Hapa ninamaanisha madeni ambayo ulipokopa unajikuta hufanyii mambo ya maana na kila ukijitahidi kuyaondoa inashindikana...
Na zaidi yanakusukuma kwenye utumwa mkubwa wa nafsi pasipo suruhisho lolote penginepo badala ya kupungua ndio kwanza yanaongezeka....🤔🤔

9.UNAKUWA UNAOTA NDOTO MBAYA ZA KUTISHA,😒😒😒
Mfano wa ndoto hizo ni kama zifuatazo:

✍️ Unakuwa Unaota unafukuzwa na wanyama wakali (wakiwemo ng'ombe).
✍️Unakuwa Unaota unaishi vijijini ulikozaliwa wakati kwa uhalisia hauishi huko.
✍️Unaota unazini na watu unaowafahamu na usiowafahamu.
✍️Kuota unasoma shule ya msingi au sekondari wakati kwa uhalisia ushapita huko.
✍️Unakuwa Unaota unatembea pekupeku(bila viatu)
Wakati mwingine Unaota uko uchi kabisa.
✍️Unaota umedumbukia chooni au kwenye shimo au unaishi chooni kabisa.
✍️Unaota unanyonyesha watoto wakati kwa uhalisia hauna mtoto mdogo.
✍️Unaota unanyolewa nywele.
✍️Unaota unazikwa ingali uko hai
Wakati mwingine jeneza linapita mbele Yako.
✍️Unaota unatolewa damu hospitalini.
✍️Unaota unakula chakula.
✍️Unaota unashirikiana na watu waliokufa.

Hizo ni baadhi ya ndoto.

10.Wengine wakiota ndoto wanapoamka asubuhi hawakumbuki chochote kabisa,
Nayo hiyo ni dalili ya malango Yako ya baraka kufungwa.
kwa Yesu tu, ndiko paliko na uhuru, uhuru wa kweli. Njooni kwa Yesu muokolewe kabla neema haijaondoka.

hakika: YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Ndoto ya kujirudia nipo secondary hii inanikera sana, yaaani hii kwangu imekuwa too much
 
Mtu anakuwa hana commitment kwenye mipango yake, anakuwa mvivu, anakopa madeni yasiyo na mipango, huna malengo, hujichanganyi au hutafuti connection kwa watu, huangalii ni wapi ulikosea kwenye maamuzi au machagua yaliyopita ukajirebisha, unasingizia kuna mtu kafunga milango yako kwa nguvu za giza kweli.
hakika chief
 
Ndoto ya kujirudia nipo secondary hii inanikera sana, yaaani hii kwangu imekuwa too much
Shetani anaondoa maarifa yako kila jambo unalofanya halitafanikiwa omba kemea hizo ndoto kataa kwa damu ya YESU unavyoingia kulala amka na usiku saa kumi kuomba kuomba huo ndio usalama

Au uwe unasoma Zaburi ya 91:1-7
Kila siku unapoingia kulala na amka usiku saa 10 kusoma tena hiyo zaburi
 
Mtu anakuwa hana commitment kwenye mipango yake, anakuwa mvivu, anakopa madeni yasiyo na mipango, huna malengo, hujichanganyi au hutafuti connection kwa watu, huangalii ni wapi ulikosea kwenye maamuzi au machagua yaliyopita ukajirebisha, unasingizia kuna mtu kafunga milango yako kwa nguvu za giza kweli.
Kuna suluhisho la kisayansi kwenye hayo Mambo...bad business location...stress zinazopelekea ulevi utakopa na kupoteza hisia za ndoa ...itapelekea nikatakiwa maana maongezi yako hayatavutia yatakuwa NI masikitiko tu...
 
Back
Top Bottom