Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Check up ni ya damu,au mwili mzima ni kiasi ganiKipimo ni rahisi sana
Sifahamu bei mkuuCheck up ni ya damu,au mwili mzima ni kiasi gani
Nashukuru asanteDogo,waskutishe ,hyo sio kansa...hyo itakua diabetes/kisukari..we jarib kuanza diet za wenye kisukar utaona unapata nafuu
RBG, samahani sijaelewa ni abbreviation ya ugonjwa ganiEmbu kacheki RBG mzee.
Ni Random Blood Glucose testRBG, samahani sijaelewa ni abbreviation ya ugonjwa gani
RBG, samahani sijaelewa ni abbreviation ya ugonjwa ganiEmbu kacheki RBG mzee.
Dooo asanteNi Random Blood Glucose test
nashukuru, hivi ni muhimbili pekee ndo waotoa vipimo vikubwa ?nenda kapime kisukari na kansa na uti malaria pia kumbuka minyooo kama huna tabia ya kula vidoge vya minyoo minyoo husumbua mwili na unahisi kila maumivu
Asante ila Huyo doctor wa kunifuatilia mimi hali ya chini ntapata wapiKuwa na daktari mmoja atakaye fuatilia historia ya matatizo yako badara ya kubadili madaktari mara kwa mara
Usijikatae mwenyewe mkuu hujajaribu muombe mungu atakupatia huyo doctor unajua doctor akikuona zaidi ya mara moja huweza kukufuatilia kujua nini hasa tatizo lako sio pesa zako jaribu mkuuAsante old Huyo doctor wa kunifutilia mimi hali ya chini ntapata wapi
Asante, ila nilikua nauliza kama unaweza jua gharama ya check upRBG kwa zahanati za kawaida hizidi dk 10 unapata majibu na gharama yake haizidi 5000
Kwa Mungu hakuna wa hali ya juu wala ya chini. Zingatia tiba na uhakikishe iko controlled mengine mwachie MunguAsante ila Huyo doctor wa kunifuatilia mimi hali ya chini ntapata wapi
NashukuruKwa Mungu hakuna wa hali ya juu wala ya chini. Zingatia tiba na uhakikishe iko controlled mengine mischief Mungu
Asante ntajaribuUsijikatae mwenyewe mkuu hujajaribu muombe mungu atakupatia huyo doctor unajua doctor akikuona zaidi ya mara moja huweza kukufuatilia kujua nini hasa tatizo lako sio pesa zako jaribu mkuu