Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Mosi,unajua unaweza usikubaliane na watu baadhi ya mambo bila kuvunjiana heshima,na unaweza usikubaliane nao bila kupandisha sauti yako. Naam pamoja na kutokubaliana na watu katika baadhi ya mambo lakini haikupi sababu ya kuwavunjia watu heshima yao.
Pili,unaweza kuhudhuria sehemu kwa muda muafaka na kuondoka kwa mda muafaka mpaka watu wakujue kuwa wewe unaenda na mda,naam wengi wetu hakika hatuthamini mda kabisa yani kama tumejiwekea kautaratibu fulani hivi,shughuli saa moja jioni watu wanakuja saa saa mbili au saa tatu
Tatu,hauwajaji watu kwa muonekano wao,wala kwa kutoa maoni yao na unajua haupaswi kuwa katika mazungumzo ya kuwasema watu
Nne,unatambua kwamba unahitaji kuwapa watu moyo ili wafanye vizuri zaidi,na unajua kwa kufanya hivyo unakuwa mtu bora zaidi, naam usiwe mtu wa kukatisha tamaa watu,wape moyo hata kama machoni mwako unaona jambo hilo ni gumu,wakati mwingine tunachohitaji ni kusapotiwa kidogo tu
Tano, upo tayari kusimama imara kwa ajili ya watu wako hata kama hawapo hapo karibu,na ongea vizur kuhusu watu wako hata kama hawapo hapo.
Sita,unatambua kwamba ingawa unaona mambo mengi,lakini unaweza kuchagua kutosema au kuchangia chochote,si kila ukionacho au unachokijua lazima usema wakati mwingine piga kimya,si kila mjadala uchangie wakati mwingine unapita kimya
Saba, unaacha kuboreka au haukubali kuboreka kwasababu tu watu wengine wana kwambia hauwezi kufanya jambo fulani,kwasababu unaelewa kwamba huo ni mtizamo wao ni si wako,wakati mwingine watu wanaweza kukwambia mambo ambayo kwakuwa wao wameshindwa basi wataona nawe utashindwa,elewa kwamba hilo ni tatizo lao na si lako
Ni hayo tu!
Pili,unaweza kuhudhuria sehemu kwa muda muafaka na kuondoka kwa mda muafaka mpaka watu wakujue kuwa wewe unaenda na mda,naam wengi wetu hakika hatuthamini mda kabisa yani kama tumejiwekea kautaratibu fulani hivi,shughuli saa moja jioni watu wanakuja saa saa mbili au saa tatu
Tatu,hauwajaji watu kwa muonekano wao,wala kwa kutoa maoni yao na unajua haupaswi kuwa katika mazungumzo ya kuwasema watu
Nne,unatambua kwamba unahitaji kuwapa watu moyo ili wafanye vizuri zaidi,na unajua kwa kufanya hivyo unakuwa mtu bora zaidi, naam usiwe mtu wa kukatisha tamaa watu,wape moyo hata kama machoni mwako unaona jambo hilo ni gumu,wakati mwingine tunachohitaji ni kusapotiwa kidogo tu
Tano, upo tayari kusimama imara kwa ajili ya watu wako hata kama hawapo hapo karibu,na ongea vizur kuhusu watu wako hata kama hawapo hapo.
Sita,unatambua kwamba ingawa unaona mambo mengi,lakini unaweza kuchagua kutosema au kuchangia chochote,si kila ukionacho au unachokijua lazima usema wakati mwingine piga kimya,si kila mjadala uchangie wakati mwingine unapita kimya
Saba, unaacha kuboreka au haukubali kuboreka kwasababu tu watu wengine wana kwambia hauwezi kufanya jambo fulani,kwasababu unaelewa kwamba huo ni mtizamo wao ni si wako,wakati mwingine watu wanaweza kukwambia mambo ambayo kwakuwa wao wameshindwa basi wataona nawe utashindwa,elewa kwamba hilo ni tatizo lao na si lako
Ni hayo tu!