Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Matumizi ya AI yameshika kasi, uwezo wa program hizi kutengeneza picha kutokana na maono au mawazo ya mtumiaji, kumeongeza wimbi kubwa la picha hizo zikitumika katika maeneo tofauti.
Wasi wasi wangu ni kwamba itafika wakati hakutokuwa na haja ya kuwa na wachoraji wa picha, kwasababu program hizi zinaweza kutafsiri mawazo ya mtu na kutengeneza kitu au picha ambayo inaendana na matakwa ya mtumiaji.
Program hizi zitaeneza uvivu wa kutumia muda mrefu kuchora au kubuni picha, picha za wachoraji zitakosa soko kwani kila mtu anaweza tengeneza picha anayo taka akiwa amekaa nyumbani kwake au katika simu yake tu.
Wengi wanadhani AI ni mkombozi lakini ni vyema kukumbuka kwamba matumizi yake huzidisha uvivu wa kufikiri na kutenda.
#BM
Wasi wasi wangu ni kwamba itafika wakati hakutokuwa na haja ya kuwa na wachoraji wa picha, kwasababu program hizi zinaweza kutafsiri mawazo ya mtu na kutengeneza kitu au picha ambayo inaendana na matakwa ya mtumiaji.
Program hizi zitaeneza uvivu wa kutumia muda mrefu kuchora au kubuni picha, picha za wachoraji zitakosa soko kwani kila mtu anaweza tengeneza picha anayo taka akiwa amekaa nyumbani kwake au katika simu yake tu.
Wengi wanadhani AI ni mkombozi lakini ni vyema kukumbuka kwamba matumizi yake huzidisha uvivu wa kufikiri na kutenda.
#BM