Dalili za kupotezea maeneo inayotawala M23

Dalili za kupotezea maeneo inayotawala M23

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
1741086887706.png


1741089544454.png


Uongozi wa jimbo la Beni, umetaarifiwa na serikali ya rais wa DRC Tshisekedi, kutotambua bidhaa kutoka mji wa Goma, kwa njia ya ardhi au ya anga, maeneo ya Bunagana na Ishasha, maeneo yanayosemekana kuwa mikononi mwa jeshi la Rwanda.

Bidhaa zote kutoka maeneo hayo, zitatakiwa kulipa ushuru kama bidhaa zote zitokazo nje ya nchi.
Je, hizi na dalili za Kivu kumegwa au kuongozwa kama nchi tofauti?

Ikumbukwe pia, ni muda toka M23 imeiomba serikali ya DRC kuhakikisha huduma za kibenki zinapatikana katika maeneo wanayotawala; kushindwa kufanya hivyo, kutalazimu mamlaka ya M23 kutoa leseni kwa Benki nyingine kutoa huduma katika maeneo yao kwa sasa, ambayo ni Kivu kusini na Kivu kasikazini.
 
View attachment 3258484

View attachment 3258520

Uongozi wa jimbo la Beni, umetaarifiwa na serikali ya rais wa DRC Tshisekedi, kutotambua bidhaa kutoka mji wa Goma, kwa njia ya ardhi au ya anga, maeneo ya Bunagana na Ishasha, maeneo yanayosemekana kuwa mikononi mwa jeshi la Rwanda.

Bidhaa zote kutoka maeneo hayo, zitatakiwa kulipa ushuru kama bidhaa zote zitokazo nje ya nchi.
Je, hizi na dalili za Kivu kumegwa au kuongozwa kama nchi tofauti?

Ikumbukwe pia, ni muda toka M23 imeiomba serikali ya DRC kuhakikisha huduma za kibenki zinapatikana katika maeneo wanayotawala; kushindwa kufanya hivyo, kutalazimu mamlaka ya M23 kutoa leseni kwa Benki nyingine kutoa huduma katika maeneo yao kwa sasa, ambayo ni Kivu kusini na Kivu kasikazini.
Huyo raisi wa Congo ni kama katumwa, na anatekeleza kile alichoagizwa
 
Kuna taarifa maeneo mengi ya Bukavu yameanza kurudishwa na Wazalendo toka mikonono mwa RDF ambao wanajiita M23 ukweli juu ya hili upoje?
Hivi, mnaaiitaje M23 kuwa RDF? Najua hii mada ni ndefu, na naweza kuiongelea, lakini kwanza nisikie unachowaza!

Bro, mi nakupaga habari za uhakika, si mshabiki wa kundi lolote. Ikiwa wameloose, ntakwambia. Ikiwa wamewin, utajua. Lakini mpaka sasa, hakuna kitu kama hicho. Kilichotokea, ni kwamba badhi ya wazalendo wenye silaha, na kama inavyosemekana, hawapo mbali wapo hapo mjini, walivamia tu.

Kilichofuata, ni kitendo cha kusafisha mji. Kwa wanaojua kauli za jeshi, huu msamiati una maana yake.
 
Hiyo kuweka vikwazo ili wananchi wanao Unga mkono utawala wa kijeshi katika mgongo wa chama cha siasa Chenye jeshi lake.

Sio kuligawa jimbo bali kuwafanya wananchi waweze kukaa mbali na m23, japo inaweza kuleta hisia mchanganyiko kwa wanancchi kwa kuhisi ukandamizwaji, kutengwa nk

Mpaka sasa raia wengi wa DRC ina sadikiwa kuikimbia nchi kutoka maeneo yenye machafuko na kwenda sehemu zenye usalama ndani na nje ya DRC kama Burundi, Rwanda, Uganda nk
 
Kuna taarifa maeneo mengi ya Bukavu yameanza kurudishwa na Wazalendo toka mikonono mwa RDF ambao wanajiita M23 ukweli juu ya hili upoje?
Raia wengi na Askari pia wa DRC Wana repotiwa ni kama wasaliti kwa namna wanavyo shirikiana na waasi zidi ya serikali yao

Sio wamoja, sio wazalendo na watiifu kwa nchi yao. Hili ni tatizo linalo wasumbua kiasi hakuna mtu anaweza kwenda kusaidia kwa moyo mmoja kama wao wenyewe wanaweza kukugeuka

Uzalenda, until, umoja na mshikamano inatakiwa kuwa nguzo yao katika kufanikisha amani inapatikana

Huwezi ungana na waasi dhidi ya serikali halali, wananchi wanatakiwa kusimama kidete kuokoa nchi yao

Lakini wao wana ungana na waasi kubomoa nchi yao
 
Hivi, mnaaiitaje M23 kuwa RDF? Najua hii mada ni ndefu, na naweza kuiongelea, lakini kwanza nisikie unachowaza!

Bro, mi nakupaga habari za uhakika, si mshabiki wa kundi lolote. Ikiwa wameloose, ntakwambia. Ikiwa wamewin, utajua. Lakini mpaka sasa, hakuna kitu kama hicho. Kilichotokea, ni kwamba badhi ya wazalendo wenye silaha, na kama inavyosemekana, hawapo mbali wapo hapo mjini, walivamia tu.

Kilichofuata, ni kitendo cha kusafisha mji. Kwa wanaojua kauli za jeshi, huu msamiati una maana yake.
Sasa mboka ina maana hujui kama M23 Ni RDF kwamba Marekani,Canada,Uk,Belgium wanakuwa wanapuyanga kumhusisha Kagame ambaye anasimama kama RDF na M23?!

Ungekuwa kweli unafuatilia hivi vita ungejua kuna baadhi ya maofisa kibao wa RDF wamepoteza uhai katika vita kati ya M23 na FARDC sasa hapa cha kujiuliza walifuata nini mpaka kuuwawa?! Na hata Askari wengi wa M23 akiwemo Sultan Makenga mwenyewe ni moja ya wanajeshi waliohudumu RDF hili ni suala la kupinga?!
Na je Aftermath ya wazalendo kuwa hapo karibu na mji ni nini?! Kuna napambano yanaendelea?
 
Mpaka tumjue nyoka,kama yupo na ajitokeze kuitawala na kuongoza biashara.
 
Huyo raisi wa Congo ni kama katumwa, na anatekeleza kile alichoagizwa
Raia wengi na Askari pia wa DRC Wana repotiwa ni kama wasaliti kwa namna wanavyo shirikiana na waasi zidi ya serikali yao

Sio wamoja, sio wazalendo na watiifu kwa nchi yao. Hili ni tatizo linalo wasumbua kiasi hakuna mtu anaweza kwenda kusaidia kwa moyo mmoja kama wao wenyewe wanaweza kukugeuka

Uzalenda, until, umoja na mshikamano inatakiwa kuwa nguzo yao katika kufanikisha amani inapatikana

Huwezi ungana na waasi dhidi ya serikali halali, wananchi wanatakiwa kusimama kidete kuokoa nchi yao

Lakini wao wana ungana na waasi kubomoa nchi yao
Wewe ukitokea mtiti leo unaweza kuungana na ccm kwa haya wanayoyafanya?
 
Hiyo kuweka vikwazo ili wananchi wanao Unga mkono utawala wa kijeshi katika mgongo wa chama cha siasa Chenye jeshi lake.

Sio kuligawa jimbo bali kuwafanya wananchi waweze kukaa mbali na m23, japo inaweza kuleta hisia mchanganyiko kwa wanancchi kwa kuhisi ukandamizwaji, kutengwa nk

Mpaka sasa raia wengi wa DRC ina sadikiwa kuikimbia nchi kutoka maeneo yenye machafuko na kwenda sehemu zenye usalama ndani na nje ya DRC kama Burundi, Rwanda, Uganda nk
Napingana na kauli yako kwa namna moja.

Kwanza, hivi vita, usipolalia upande mmoja, vina vyanzo vingi mno.
Na raia kama raia, wanafuata mkumbo tu.

Mfano wa Bukavu. Kabla M23 haijaweka kambi, ilikuwa ikikebehiwa kama mbwa koko. Ilivyoingia, Ikapokelewa kifalme. Jana wazalendo walipovamia, wakapokelewa kama mashujaa. Sasa, kujua nini ni nini, si rahisi.

Kuhusu maeneo salama, Burundi isahau. Kwa sababu, Burundi imeshalalia upande wa kihutu. Ambao, japo hayasemwi, ilijua ikiipa kampani DRC, watutsi wa RED TABARA watamalizwa. Sasa hivi, ndo wanaenda kuungana na M23. Bujumbura, ipo umbali wa km kama 30 kutoka mpakani. Watutsi wa DRC waliopo Burundi, hasa wanyamulenge, wanataabika sana.

Sasa, ukisema ni kuwafanya raia wakae mbali na M23, hili kundi la M23, mifumo yake kama ya Rwanda. Jambo linalosababisha siku zote kuliona kama RDF. Kwa nchi kama Congo, ambapo watu wa kuanzia 1994, hawakuwahi kupata amani, nadhani miezi kama miwili sasa ndo wana uhakika wa kulala na kupata usingizi. Hawa watu ukiwambia waachane na M23, hutoweza. Lakini pia, raia na wao, wanaimani gani na M23? Bila raia utaongoza nini? Ndo maana unaona kuna vitu vingi M23 inafanya, vingine kama vipo nje ya uwezo wake, lakini lazima ihakikishe inaungwa mkono.

Unadhani DRC kuweza kurudisha hilo eneo mikononi mwake ni jambo jepesi? Ukizingatia nyuma ya hivi vita, kuna mataifa mazito, ambayo yanakoleza moto!!! Kauli Balkanization, iliongelewa miaka mingi siku za nyuma, watu wakapuuzia, lakini ndo hiki kinachoenda kutokea sasa.
Hakuna serikali inayoweza kuachia eneo lake kwa kigezo kama hicho. Hapo ni kwamba mifumo yote ya serikali ya awali inafumuliwa, na kuanzishwa mipya. Na huu utakuwa muda wa kujipanga sasa,kukabiliana na kila litakalotokea. Si kila mmoja ameshaona udhaifu wa mwenzake?
 
Raia wengi na Askari pia wa DRC Wana repotiwa ni kama wasaliti kwa namna wanavyo shirikiana na waasi zidi ya serikali yao

Sio wamoja, sio wazalendo na watiifu kwa nchi yao. Hili ni tatizo linalo wasumbua kiasi hakuna mtu anaweza kwenda kusaidia kwa moyo mmoja kama wao wenyewe wanaweza kukugeuka

Uzalenda, until, umoja na mshikamano inatakiwa kuwa nguzo yao katika kufanikisha amani inapatikana

Huwezi ungana na waasi dhidi ya serikali halali, wananchi wanatakiwa kusimama kidete kuokoa nchi yao

Lakini wao wana ungana na waasi kubomoa nchi yao
Hivi bro, hata kama ni wewe! Linchi likubwa vile, utoke jimbo moja uende lingine, pengine usafiri wa shida, unalipwa dola 100, na zenyewe uzipate baada ya miezi 6 au na zaidi. Utafanyaje? Huna wa kukutetea, ukifanya fujo unatoboa, hapo silaha inakuwa mtaji. Ndo maana, wananchi waliumizwa sana na jeshi la serikali, na ndio pona pona ya M23.

Pili, waasi ni M23, kama nimekuelewa. Je, kwa nini waitwe waasi?
 
Sasa mboka ina maana hujui kama M23 Ni RDF kwamba Marekani,Canada,Uk,Belgium wanakuwa wanapuyanga kumhusisha Kagame ambaye anasimama kama RDF na M23?!

Ungekuwa kweli unafuatilia hivi vita ungejua kuna baadhi ya maofisa kibao wa RDF wamepoteza uhai katika vita kati ya M23 na FARDC sasa hapa cha kujiuliza walifuata nini mpaka kuuwawa?! Na hata Askari wengi wa M23 akiwemo Sultan Makenga mwenyewe ni moja ya wanajeshi waliohudumu RDF hili ni suala la kupinga?!
Na je Aftermath ya wazalendo kuwa hapo karibu na mji ni nini?! Kuna napambano yanaendelea?
Hili jambo naliongelea mimi kama mimi na kwa uelewa wangu.

Ni kweli, Makenga aliwahi kuwa mwanajeshi wa RDF. Kama kina Kagame walikuwa wanajeshi Uganda.
Mpaka hapa, kila mkimbizi anaweza kulihudumia jeshi la nchi furani,hasa hizi zetu, lakini uhalisia akiwa si raia.

Kwa M23, hao unaowasema, historia yao, wengi wao wakiwa wakimbizi Rwanda, waliweza kuingia jeshini.
Penda usipende, watutsi wa DRC na Rwanda ni wamoja.
Jeshi la Rwanda, unalijua uwezo wake. Huo huo, ndo wa M23. Na nahisi pengine, ndo maana sasa hivi kutofautisha hizi pande mbili ni ngumu.

Jambo usilotaka kuongelea, ni uwepo wa mataifa makubwa yanayotumia mgongo wa watu kupata yanachokipata. Kwa taarifa za wanaojua, inasemekana hakuna nchi yenye utajili wa madini duniani kama DRC.

Nadhani ulisikia kesi ya Apple, kuzuiliwa kununua madini ya DRC. Sasa, itafunga kiwanda? Wengine, watafunga viwanda?
 
Sasa mboka ina maana hujui kama M23 Ni RDF kwamba Marekani,Canada,Uk,Belgium wanakuwa wanapuyanga kumhusisha Kagame ambaye anasimama kama RDF na M23?!

Ungekuwa kweli unafuatilia hivi vita ungejua kuna baadhi ya maofisa kibao wa RDF wamepoteza uhai katika vita kati ya M23 na FARDC sasa hapa cha kujiuliza walifuata nini mpaka kuuwawa?! Na hata Askari wengi wa M23 akiwemo Sultan Makenga mwenyewe ni moja ya wanajeshi waliohudumu RDF hili ni suala la kupinga?!
Na je Aftermath ya wazalendo kuwa hapo karibu na mji ni nini?! Kuna napambano yanaendelea?
Kitu kingine nachojiuliza, labda na wewe una maoni yako.

Unaamini kuna watu wanauliwa huko DRC, kisa ni watutsi?
Unaaamini kuna wakimbizi Rwanda na Burundi, wa kabila hilo linalouliwa?

Hiyo Canada, na USA, unajua zimewapeleka wangapi kwao huko ?

Je lengo la kutaka kuwaondoa unahisi ni nini labda?!!!!
 
Hivi, mnaaiitaje M23 kuwa RDF? Najua hii mada ni ndefu, na naweza kuiongelea, lakini kwanza nisikie unachowaza!
RDF Ina askari 4000+ wanaopigana bega kwa bega na M23 dhidi ya jeshi la Drc, ripoti za UN zimethibitisha hilo.

 
We m
Hivi bro, hata kama ni wewe! Linchi likubwa vile, utoke jimbo moja uende lingine, pengine usafiri wa shida, unalipwa dola 100, na zenyewe uzipate baada ya miezi 6 au na zaidi. Utafanyaje? Huna wa kukutetea, ukifanya fujo unatoboa, hapo silaha inakuwa mtaji. Ndo maana, wananchi waliumizwa sana na jeshi la serikali, na ndio pona pona ya M23.

Pili, waasi ni M23, kama nimekuelewa. Je, kwa nini waitwe waasi?
tusi
Hivi bro, hata kama ni wewe! Linchi likubwa vile, utoke jimbo moja uende lingine, pengine usafiri wa shida, unalipwa dola 100, na zenyewe uzipate baada ya miezi 6 au na zaidi. Utafanyaje? Huna wa kukutetea, ukifanya fujo unatoboa, hapo silaha inakuwa mtaji. Ndo maana, wananchi waliumizwa sana na jeshi la serikali, na ndio pona pona ya M23.

Pili, waasi ni M23, kama nimekuelewa. Je, kwa nini waitwe waasi?
We mtusi acha maneno yako.


Nchi kubwa inawahusu niji nyie watusi !


Naona mmeanza chokochoko kuwa Muleba ni ya kwenu pia turawafukuza kama mbwa
 
Hili jambo naliongelea mimi kama mimi na kwa uelewa wangu.

Ni kweli, Makenga aliwahi kuwa mwanajeshi wa RDF. Kama kina Kagame walikuwa wanajeshi Uganda.
Mpaka hapa, kila mkimbizi anaweza kulihudumia jeshi la nchi furani,hasa hizi zetu, lakini uhalisia akiwa si raia.

Kwa M23, hao unaowasema, historia yao, wengi wao wakiwa wakimbizi Rwanda, waliweza kuingia jeshini.
Penda usipende, watutsi wa DRC na Rwanda ni wamoja.
Jeshi la Rwanda, unalijua uwezo wake. Huo huo, ndo wa M23. Na nahisi pengine, ndo maana sasa hivi kutofautisha hizi pande mbili ni ngumu.

Jambo usilotaka kuongelea, ni uwepo wa mataifa makubwa yanayotumia mgongo wa watu kupata yanachokipata. Kwa taarifa za wanaojua, inasemekana hakuna nchi yenye utajili wa madini duniani kama DRC.

Nadhani ulisikia kesi ya Apple, kuzuiliwa kununua madini ya DRC. Sasa, itafunga kiwanda? Wengine, watafunga viwanda?
Nyie watusi mnadhani tuko miaka ya 1920


Hamjui hii ni mwaka 2025 technology Iko juu.


Kuna satellite evidence za uhakika zinaonesha Wanajeshi wa M23 wanaenda kuzikwa Kigali.


Sasa wewe endelea kupiga kelele hapa.



Nyie mkipigwa sanction kadhaa hako Ka Kijiji nchi kenu katapoteana
 
RDF Ina askari 4000+ wanaopigana bega kwa bega na M23 dhidi ya jeshi la Drc, ripoti za UN zimethibitisha hilo.

BBC achana nayo.

UN kwani nini? Si wale wale tu!! UN=USA. Unadhani USA haina faida yoyote mashariki mwa DRC?
Ukitaka kujua wazungu walivyo wanafiki, angalia Ufaransa. Si ndo ipo mstali wa mbele kukemea? Na mradi wake Cabo Delgado unalindwa na nani?

Wanajeshi hao kwa nini hawawezi kutambulika kama wa M23, na kutambulika kama wa RDF?
 
Nyie watusi mnadhani tuko miaka ya 1920


Hamjui hii ni mwaka 2025 technology Iko juu.


Kuna satellite evidence za uhakika zinaonesha Wanajeshi wa M23 wanaenda kuzikwa Kigali.


Sasa wewe endelea kupiga kelele hapa.



Nyie mkipigwa sanction kadhaa hako Ka Kijiji nchi kenu katapoteana
Kwani kuzikwa issue ni nini? Sanction mwaka 1994 zilikuwepo? walikufa wangapi kwa ajili ya hizo sanctions?
 
Back
Top Bottom