Dalili za mke au mume aliyekuchoka

πŸ˜‚yaan vikorokoro kibao
 
Yaan kakuchoka au hajawahi kukupenda na aliingia kwenye ndoa akiwa na malengo yake
Mi naanza na;
1. Kosa dogo tu kakasirika au kudai talaka kabisa.
2.
3.
4.
5.
6.Nakuendelea....

Kupopolewa ruksa maana katika maisha lazima upokee hasi na chanya.
Ukipigwa simu huyu nae zombie anapiga ovyoooyvo
3: Ukimuomba game em usinisumbue unaendekeza ngono tu
4: Mama J maji ya kunywa Yako wapi
Yako chooni
5: Hivi humu ndani mbona chakula kinachelewa kuiva
Ungewai kuja mapema ukapika mi sio house girl wako
6: Mam j nipo njian na rfk zangu tunakuja hapo nyumbani
eeeeeeh wewewe hiii nyumba sio chooo kwamba kila malaya wenzio waingie hapa ndani mfyuuuuuh
7: Jumapil twende kwa nyumbani kwetu tukasalimie ukamuone
Ww siuende mwenyewe me Sina hamu ya kusalimia mtu
 
Namba 4 ngoja atuthibitishie DeepPond πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…