Dalili za mke au mume aliyekuchoka

Dalili za mke au mume aliyekuchoka

Ukichokwa dah tabu sana yaani inakuwa kama mgonjwa asiyena radha mdomoni, ukimpa uji anataka chai, ukimpa chai anataka maji balaa.
2. Mwenza/mpenzi kupunguza ama kuacha kabisa kuhudumia kimahitaji mwenzie.
3. Kukulinganisha na kukutoa kasoro ambazo mwanzo kwake zilikuwa ni sawa.
Yaani mwanaume unanuka kwapa bora mbususu yangu nikampe mbwa/ yaani mwanamke gani hujui kupika ugali, unapika ugali mgumu kuliko maisha yangu.
#kasheshe
😂yaan vikorokoro kibao
 
Yaan kakuchoka au hajawahi kukupenda na aliingia kwenye ndoa akiwa na malengo yake
Mi naanza na;
1. Kosa dogo tu kakasirika au kudai talaka kabisa.
2.
3.
4.
5.
6.Nakuendelea....

Kupopolewa ruksa maana katika maisha lazima upokee hasi na chanya.
Ukipigwa simu huyu nae zombie anapiga ovyoooyvo
3: Ukimuomba game em usinisumbue unaendekeza ngono tu
4: Mama J maji ya kunywa Yako wapi
Yako chooni
5: Hivi humu ndani mbona chakula kinachelewa kuiva
Ungewai kuja mapema ukapika mi sio house girl wako
6: Mam j nipo njian na rfk zangu tunakuja hapo nyumbani
eeeeeeh wewewe hiii nyumba sio chooo kwamba kila malaya wenzio waingie hapa ndani mfyuuuuuh
7: Jumapil twende kwa nyumbani kwetu tukasalimie ukamuone
Ww siuende mwenyewe me Sina hamu ya kusalimia mtu
 
Ukipigwa simu huyu nae zombie anapiga ovyoooyvo
3: Ukimuomba game em usinisumbue unaendekeza ngono tu
4: Mama J maji ya kunywa Yako wapi
Yako chooni
5: Hivi humu ndani mbona chakula kinachelewa kuiva
Ungewai kuja mapema ukapika mi sio house girl wako
6: Mam j nipo njian na rfk zangu tunakuja hapo nyumbani
eeeeeeh wewewe hiii nyumba sio chooo kwamba kila malaya wenzio waingie hapa ndani mfyuuuuuh
7: Jumapil twende kwa nyumbani kwetu tukasalimie ukamuone
Ww siuende mwenyewe me Sina hamu ya kusalimia mtu
Namba 4 ngoja atuthibitishie DeepPond 😂
 
Back
Top Bottom